Mkuu samahani, ulishawahi kutumia BVR machine,Mfumo wa uandikishaji uatumia BVR na Vishikwambi ambavyo ni vya bei ya juu Kwahyo wanaogopa kuwapa watu ambao sio watumishi wasije kuondoka na vifaa vya serikali ndio maana wanatumia watumishi ili wakialibu wanapakuwataftia.
Solution ni ss,Huelewi kuwa shule ulienda kusomea ujinga?
Kwenye sensa madogo walizingua sana!Kwani siyo watanzania kwamba hawatapatikana Tena? Sema mifumo ya upigaji tu inatutesa watanzania.
FYI watumishi wengi wa serikali ni wafuasi wa upinzani kimya kimya... japo mimi sijawahi kuwakubali upinzani hata siku moja na moja ni kama hii wamelala vibaya mno.
Nilitegemea muda kama huu wawe wameshafika mahakamani kuweka pingamizi au kuingia hata barabarani kupinga hii hatua lakini walivyo wehu na vichaa wote kimya mitaa vitongoji na vijiji wakichukua ccm wataanza kulia lia hapa poor upinzani.
Kwan hvy vifaa watu wanapewa kukaa navyo makwao?Mfumo wa uandikishaji uatumia BVR na Vishikwambi ambavyo ni vya bei ya juu Kwahyo wanaogopa kuwapa watu ambao sio watumishi wasije kuondoka na vifaa vya serikali ndio maana wanatumia watumishi ili wakialibu wanapakuwataftia.
Mbona usemacho mkuu kimefanyika Kuna kesi inanguruma huko mahakamani kuhusu kupinga huu mchakato wa uchaguzi huo.Umeandika utadhani wote wameona tangazo.
Labda tu niwasaidie ambao hawatoelewa ni hivi serikali imetangaza nafasi uandikishaji wa majina ya wapiga kura serikali za mitaa na kigezo namba moja ni uwe mtumishi wa umma.
Nikirudi kwenye hoja yangu ni kweli kwenye mfumo kuna shida sehemu japo mimi sijawahi kuwakubali upinzani hata siku moja na moja ni kama hii wamelala vibaya mno.
Nilitegemea muda kama huu wawe wameshafika mahakamani kuweka pingamizi au kuingia hata barabarani kupinga hii hatua lakini walivyo wehu na vichaa wote kimya mitaa vitongoji na vijiji wakichukua ccm wataanza kulia lia hapa poor upinzani.
Wewe jamaa muongo uandikishaji wa daftari la uchaguzi wa serikali za mitaa ni manual unaandikwa jina na pen kwenye dodoso.Mfumo wa uandikishaji uatumia BVR na Vishikwambi ambavyo ni vya bei ya juu Kwahyo wanaogopa kuwapa watu ambao sio watumishi wasije kuondoka na vifaa vya serikali ndio maana wanatumia watumishi ili wakialibu wanapakuwataftia.
Sio kweli mkuu! Hamna kitu kigeni kwenye hizo mashine hata wewe unawez kuzioperate kabisa! Ni sheria za uchaguzi zinawataka wafanye hivyo! Ndo maana mnaambiwa tupate katiba mpyaMfumo wa uandikishaji uatumia BVR na Vishikwambi ambavyo ni vya bei ya juu Kwahyo wanaogopa kuwapa watu ambao sio watumishi wasije kuondoka na vifaa vya serikali ndio maana wanatumia watumishi ili wakialibu wanapakuwataftia.
Eti walisema sisi ambayo hatuna ajira tunaweza kuharib na hawana pa kutukamatia tukiaribuJe umuhimu wa Degree zetu upo wapi huku mtaani, tunasota na tunahangaika na mabahasha kutafuta ajira huku serikali ikiweka ahadi kede kede ambazo hazitekelezeki
Haya hata hizi kazi mbalimbali za muda ambazo zingekuwa hata kifuta machozi kwetu Kwa kupunguza machungu ya kukaa mtaani bila ajira nazo sasa hivi wanapewa watumishi wa serikali je sisi tukale wapi yani tumesoma na bado tunaishi Kwa stress hii sio fair kabisa ni muda sasa wa serikali kuona ni namna gani hawa wasomi ambao hawana ajira wanaweza kupewa fursa mbalimbali huenda zikaenda kuwa sehemu ya kupata mtaji kwao na kufanya shughuli zao nyingine bila kuitegemea serikali tenaView attachment 3114078
Siyo kweli ulichoandika yaani hadi wanaona una sifa za kusimamia uchaguzi/uandikishaji halafu wasijue wapi watakupata seriously?Mfumo wa uandikishaji uatumia BVR na Vishikwambi ambavyo ni vya bei ya juu Kwahyo wanaogopa kuwapa watu ambao sio watumishi wasije kuondoka na vifaa vya serikali ndio maana wanatumia watumishi ili wakialibu wanapakuwataftia.
Sasa Kwa nn walituambia tufanye application?Mfumo wa uandikishaji uatumia BVR na Vishikwambi ambavyo ni vya bei ya juu Kwahyo wanaogopa kuwapa watu ambao sio watumishi wasije kuondoka na vifaa vya serikali ndio maana wanatumia watumishi ili wakialibu wanapakuwataftia.
nnMfumo wa uandikishaji uatumia BVR na Vishikwambi ambavyo ni vya bei ya juu Kwahyo wanaogopa kuwapa watu ambao sio watumishi wasije kuondoka na vifaa vya serikali ndio maana wanatumia watumishi ili wakialibu wanapakuwataftia.
Sasa uandikishaji na wizi wa kura wapi na wapi, kinachoendelea sasa hivi ni mchakato wa kuandikisha wapiga kura na siyo kupiga kura, by the way mashine zinazotumika sasa ni mpya siyo zile za zamani zenye laptop kwa sasa ni tablet na zinaambatana na vifaa tofauti tofauti kama power bank, external hard drive, power adapter, type c charger, nk ambavyo vinaibika kirahisiMkuu samahani, ulishawahi kutumia BVR machine,
Kitu ambacho MTU anaweza iba pale ni min laptop TU,
Hakuna kijana jobless anayeweza kuhatarisha kazi yake kwa laptop yenye uwezo mdomo.
Kikwete, kazi kama hizi aliwapatia vijana ,Tena kama una degree ndio first priority. Ndio maana unaona jk anapendwa sana na vijana.
Lakini lengo linajulikana ni kwa ajili ya wizi wa kura , ndio maana Wana watumia walimu wanajua wataficha siri ya wizi wa kura,. Yale Yale ya JPM
Lakini kijana degree holder jobless, hawezi kufumbia macho wizi wa kura coz , haimunufaishi chochote.
Jobless ni waaminifu ,na wachapakazi damu Bado changa,