Tulienda shule kufanyaje kama hata hizi kazi za muda wanapewa watumishi wa serikali

If you want a peace start a war!!
 

Attachments

  • FB_IMG_1728023755203.jpg
    52.1 KB · Views: 2
Hata wewe unaweza kwenda mahakamani ukastopisha hiyo issue haliitaji daktari hiyo.
 
Kwani wanalipa hela kiasi gani mpaka zinakutoa roho?
 
Kwamba mwenye nacho anaongezewa!


Mamlaka husika walifanyie kazi hilo kiukweli linaumiza


Cc Smart911
 
Hata wewe unaweza kwenda mahakamani ukastopisha hiyo issue haliitaji daktari hiyo.
Chief mimi siwezi maana mimi ni mwanaccm na kadi yangu inasoma yaan kwa aina hii ya upinzani niangaike nao?
 
Mstaafu anaweza pata hizi kazi ila sio jobless wa mtaani mwenye degree😅
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…