Tulifika Dar saa 9 usiku kutoka Zanzibar, kitu cha ajabu tukaambiwa kushuka ni saa 12 asubuhi

Kabisa bandari ikeshe..soko la kariakoo likeshe..etc
Bandari zinakesha, hapa inachoongelewa ni boti moja tu ya Unguja kuja Dar.

Uzembe unaofanyika safari ilipoanzia na kampuni binfasi ambayo haifati muda wa "schedule" zake. Inawawacha abiria kwenye boti ikifahamu kuwa imekiuka muda wa kuingia bandarini italambwa faini ikishusha abiria muda huo.
 
Unasema alichelewa kwa vigezo vipi vyoko au vya mleta mada? Au unakurupuka na kukariri kuwahi ni asubuhi tu?
Wewe unaongea nini?
Kasema mwenyewe alichelewa akalazwa majini kwamba wateremke muda custom wako hai.
Kawaida tu hiyo.
Si tulikaa Russia masaa manne ndio kutoka na hatukufika mbali tukaanza kughasiwa.
Tukarudi ndani kutulia.
Kulikua na kila kitu mle so
watoto hawakuboreka
chochote.
Nimekujibu kistaarabu kwasababu hujaongea matusi.
Kaa kwa Amani
 
Huenda mlimsindikiza mtu ambaye hamkujua mnaye kwenye chombo
 
..boat za kisasa zimeboreshwa na ni high speed hiyo inatembea ka konokono unasema ya kisasa? hiyo ni kwa ajili ya wachelewaji ndo maana mnaondoka usiku
 
Tatizo ni nini mpaka kuwasubirisha watu masaa matatu? Giza au kukosa wafanyakazi, unaonekana akili zako ndio za hao hao anaowaongelea.
Nani anafanya kazi sa 12 asubuhi hapo bongo?
Mtu atoke mbezi kimara afike kazini foleni ni saa 2 saa 3.
Ndio mana hao jamaa wanapark mlale humo mpk wafungue.
Ni kawaida tu,wakikiuka watapigwa ban,leseni italambwa na kila kitu kinaishia hapo..
So follow the rules,
Umechelewa mwenyewe unakuja kuita watu Maskini.
Upumbavu gani huu
 
Hiyo uliyopanda ni meli ya mizigo siyo boat. Azam sealink siyo boat. Siku nyingine uwe unafahamu umepanda nini na utaratibu ukoje.
Kwa nini meli ya mizigo inapakiza abiria?
Meli ya mizigo inaruhusiwa kubeba abiria?
 
Meli za mizigo zinaruhusiwa kubeba abiria au wanakula vichwa kinyamela?
 
Usitetee vitu vya ajabua ajabu,
Kwa nini bandarani hawafanyi kazi masaa 24?
DP World hawajaanza kufanya kazi??
 
Hiyo ya benk za marekani hata huku ndio utaratibu
 
Hapo bandarini hakuna wahudumu na maafisa usalama muda wote ambao wangeona kuna boti imefika ila haishushi abiria wakaulize shida ni nini?! Huu ni ufanyaji kazi wa wapi??

Wewe utakuwa na wajomba zako wanaofanya kazi bandarini unawatetea.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…