Masanja
JF-Expert Member
- Aug 1, 2007
- 5,319
- 10,416
Hilo ndio tatizo kubwa na la msingi, na halijaanza kupigiwa kelele leo.. Zamani zile za Flying horse bandari ya Zenji ilikuwa inafungwa saa nne usiku kwahiyo inabidi chombo kiondoke bandarini na kwenda kupaki huko katikati ya bahari mpaka saa tisa alfajiri ndio kianze safari ya Dar.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ila masikini tuna vituko. Hivi na huu umasikini na unemployment ya kutisha, tunapata wapi ujasiri wa kulala usingizi? Kabisa?
Personally naamini hakuna biashara inayostahi kufunga usiku. Waajiri watu wapokezane/wapeane shift.