Odhiambo cairo
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 15,989
- 22,078
Kweli nimeamini Lumumba hamna jema. Mlitaka Cdm wafanyeJe kwa kesi iliokuwa mahakamani ?!. Mungu ametusaidia kutuondolea dictator tena kilaini .Hateswi kwa ajili yangu labda anatetea bangi zake
Tatizo la mdude ni kukosa akili za kawaida! Ajifunze kwa mbowe huyo huyo, alishawahi kumuona akimtukana kiongozi yeyote hadharani? Afanye siasa safi, habari za kukososa kwa kuwatukana viongozi wa juu kabisa ambao kicha ya uongozi wao hata kiumri ni sawa na baba zake au kaka zake sio sawa kabisa. Japokuwa kabambiwa kesi ila kuna la kujifunza katika kila ujinga na upumbavu
A=BKesi yake ni kutukana uongozi au ni madawa ya kulevya?
Sasa kafungwaje kabla hukumu ambayo ni kesho au una maanisha hakimu wa hiyo kesi kafa!Hata akifungwa lakini ataendelea kuwa hai, aliyeagiza afungwe yeye anaoza ardhini taratibu
Nenda katibiweSasa kafungwaje kabla hukumu ambayo ni kesho au una maanisha hakimu wa hiyo kesi kafa!
Chadema ni wahuni na husubiri matukio!amemtaja sana. na wale vijana wao wametafuta wakili kwa ajili ya hii kesi. labda ww ndio hufuatilii
Hayo ni mawazo yako kuwa A=A haizuii A=B=C, bado kesi nyingine atakazokutana nazo huko huko, tusubiri muda utaongeaMhhh!
A=A, B=B but A can't B or else why A or B as distinct?!
Rudia kusoma ulichoandika!Nenda katibiwe
Ndiyo sababu unafundisha tuisheni kwa kuwa huna sifa umebaki kutapeli watu!Hateswi kwa ajili yangu labda anatetea bangi zake
Mmeathirika na madawa ya kulevyaNdiyo sababu unafundisha tuisheni kwa kuwa huna sifa umebaki kutapeli watu!
Sina muda mchafuRudia kusoma ulichoandika!
Hayo ni mawazo yako kuwa A=A haizuii A=B=C, bado kesi nyingine atakazokutana nazo huko huko, tusubiri muda utaongea
Nina hakika usingekuwa unatumia dawa za kulevya ungekuwa na akili timamu na ungefanikiwa!Mmeathirika na madawa ya kulevya
Kafanikiweni kwanza kumtoa mdude ndo mje hapa, naona mnatapatapaNina hakika usingekuwa unatumia dawa za kulevya ungekuwa na akili timamu na ungefanikiwa!
Angesaidiwaje nawakati kulikuwa na jabali dictator liloangamiza wenzake bila huruma, limetwaliwa Sasa...ndo haki inatokea tenaUnafiki mbaya sana kwa wanasiasa miaka 5 hakuwahi hata kumtaja kinywani mwake isingekua hiyo ziara ya kuzindua mavazi na vitambulisho vya saccos angehudhuria lini!
We sokomoko je umepitiaWe pimbi umepitia jalada la kesi?
Kwa mwenendo wako, utatwaliwa wiki ijayo....mwenzio alikuwaga hivyo hivyo na ukatili dhidi ya wenzakeWazee wa hashtag wa twitter wakamtoe, ufipa mnajazanaga ujinga mkiongozwa na mbowe tapeli
Unakunywa gongo mpaka jumapili, utaangukia mtaroni kama makengezaKwa mwenendo wako, utatwaliwa wiki ijayo....mwenzio alikuwaga hivyo hivyo na ukatili dhidi ya wenzake
Hata hizo biashara anazofanya leo kuna watu walisacrifice maisha yao ili kuwa na uhuru wa kufanya biashara kwa kila mtu.Selfishness at its best!!
Ingekuwa kila mtu alikuwa na mawazo kama ya kwako. Tusinge pata uhuru 1961!!
Wakati una enjoy freedom leo. Elewa kuna wana harakati walipoteza maisha yao wakipigania uhuru!!!