Tulilalamika sana siasa kuingilia Utendaji. Sasa tumeanza kuvuna matokeo yake

Wa kulaumiwa ni CCM
 
Walio ndani ya CCM wenye kutaka Katiba mpya ni wengi kuliko wasioitaka,

TUNDU Lissu aanze tu, watamalizia wengine.
Sasa wameshajua ni kitu gani alimaanisha Mwalimu Nyerere alipotoa tahadhari kuhusu Katiba !!

Wameshazijua nguvu za yule aliyepewa na Katiba akitaka kuzitumia inakuwa ni patashika nguo kuchanika hata huko Chamani kwao 😳 !

Watu huwa wanapatwa na vigugumizi vya ghafla kwa kuziogopa Nguvu za Kiti ambazo wanazijua na wanajua nguvu hizo anatembea nazo kila mahali mpaka hapo kwenye kikao chao nguvu zile zimejaa tele kama pishi ya mchele ! 😅😅😂😂

Wanajua mtu akijichanganya tu kwa kuleta ujuaji au kiherehere ajue itakula kwake 😅😂 !!
Locuta causa finita 🙏🙏🙏 🙌
 
Magufuli atabakia kuwa tatizo kwa muda mrefu
Magufuli ndiye aliyewafumbua macho watu kuziona na kuzijua nguvu alizopewa Rais wa Nchi katika Katiba yetu iliyopo !

Maana Nyerere alipoonya kuhusu nguvu za Rais zilivyo kwa mujibu wa Katiba watu wengi hata hao wakubwa hawakumuelewa Mwalimu !

Lakini baada ya Magufuli kuzionyesha nguvu zile japo kidogo tu sasa nadhani baadhi yao ambao wanaendelea kukutana na hizo Nguvu hata sasa watakuwa wameanza kuamini ule wasiwasi aliouonyesha Mwalimu kuhusu Katiba ile 😳 !
 
,MAPATO YA KWENYE SIASA YAPUNGUZWE. YAENDANE NA UHALISIA WA UCHUMI WA NCHI NA WANANCHI NA SIO KUPIGA DEALS KAMA SASA!!
Hili ni la mhimu sana. Sio sawa daktari, mwalimu, na wataalamu mbalimbali walijopatia maarifa kwa gharama kubwa, na wanatimiza majukumu nyeti, walipwe 600,000~3,000,000, wakati wapayukaji wakijolipa 18,000,000.
 
Unachotakiwa kukifahamu kwanza kabisa ni kwamba kukitokea mabadiliko yoyote ya utawala wa chama kuondolewa madarakani sio kwamba eti watumishi wote wa Serikali na taasisi zake watakuwa wamepoteza kazi zao !

Watumishi wote wa ngazi zote wataendelea kubaki kwenye ofisi zao kama walivyokuwa kabla ya Uchaguzi !

Watakao badilika ni wanasiasa tu na porojo zao za siasa lakini wataalamu na watendaji wote watabaki ni wale wale under new administration !

Ofisi yeyote utakayokwenda baada ya kung’olewa Chama kilichoshindwa Uchaguzi utawakuta watumishi ni wale wale waliokuwepo siku zote kasoro yule wa Majukwaani ndiye atakayekuwa amebadilika kwenye hiyo ofisi uliyokwenda , !
 
Hii comment ni ya kijinga kiwango cha PHD. It's garbage from a dustbin (DustBin).
 
Tumia akili kufikiria,
 
 
Zanzibar wana GSO. HII ni idara ya kuidhinisha ajira baada ya usaili wa kitaaluma kukamilika.

Idara inaangalia utiifu kwa CCM.

Inasikitisha sana, Zanzibar ndio kumezidi hasa, kila kitu uwe mwanachama wa CCM
 
Kweli kabisa.

Tuombe Mungu watokee kama Traole JW na TISS
Labda Kagame au Malawi watupige tupime uzalendo wetu kama watakuwa sawa na wakati wa Nyerere. Lakini tofauti kubwa ya kipato cha chini na viongozi/watawala wetu inaua uzalendo. Mfano: Kiongozi analipwa mioni 5 kwa mwezi na kima cha chini laki 4 kwa mwezi,, uzalendo utatoka wapi.
 
Kwa hali hii, siku tukivamiwa,, serikali itathubutu kututaka tujitolee kulipigania Taifa letu kama wakati wa Nyerere ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…