StudentTeacher
JF-Expert Member
- Jan 30, 2019
- 4,153
- 4,301
Wakilambishwa asali je?Kweli kabisa.
Tuombe Mungu watokee kama Traole JW na TISS
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wakilambishwa asali je?Kweli kabisa.
Tuombe Mungu watokee kama Traole JW na TISS
Du!!!!!....Alipotoa hoja akapigiwa makofi mengi sana hiyo ilikuwa ni kiashiria kwamba wajumbe wameikubali hoja !
Lakini Mwenyekiti alipoikataa hiyo hoja The same wajumbe wakapiga makofi mengi mengi sana kuliko walivyompigia mtoa hoja wa kwanza 😅😅🤣 !
Hapo unaweza ukaona who are these so called Wajumbe 😳 !!
Shida ni kwamba ukiiondoa CCM hatuna chama kingine ambacho kinaweza kutusimamia. Yaani madhara tunayopata kwa kutawaliwa na CCM ni machache sana ukilinganisha na madhara yatakayopatikana kama chama kingine kitashika hatamu, kitaifa. Hivyo ni bora tuendelee na hawahawa CCM na huku tukijaribu kuboresha madhaifu yao kwa ajili ya maslahi ya taifa.Yalianza kama masikhara ila sasa tuvumilie kuvuna matunda yake.
Kuanguka kwa Tanzania ni suala lililochukua muda kidogo. Tuliopata nafasi ya kuonya, tulionya ili kulikomboa Taifa ila hakuna yaliyofanyika na matokeo yake ndo haya tunayoyaona leo.
Ilianza kwa kuanza kutoa nafasi za utendaji Serikalini za Makatibu Wakuu, Makatibu Tawala wa Mikoa na Wakurugenzi wa Halmashauri kwa Makada wa Chama cha Mapinduzi.
Tuliopewa macho ya rohoni tulionya kuwa suala hili lilikuwa linaenda kuharibu sehemu nyeti ya Utumishi nchini kwa sababu watu hawa ni watu wanaopaswa kupatikana kwa merit kutokana na kuwa sehemu muhimu ya maamuzi nchini hivyo ni vizuri masuala ya competence, integrity na experience kuzingatiwa kwenye teuzi zao ila kwa kuwa CCM waliamua kupuuza maoni ya wenye akili walitupuuza kwa maslahi yao ya muda mfupi.
Haikuishia hapo. Siasa ikaingia hadi kwenye majeshi na vyombo vya Ulinzi. Kubadilishwa kwa Wakuu wa Idara ya Usalama wa Taifa zaidi ya mara 4 ndani ya miaka 3 ni kielelezo kingine kuwa Siasa ilianza kuingia huko.
Kupandishwa vyeo kwa maofisa wa Polisi wanaoonekana kuzungumza mbele ya vyombo vya habari masuala yanayowafurahisha wanasiasa nako kuliendelea kuonesha kwa namna gani siasa imeingia kwenye vyombo vyetu hivi.
Matokeo ya haya:
1. Sasa Tanzania imepoteza nafasi yake ya kuwa Think Tank na Main determinant wa Siasa za Maziwa Makuu. Nafasi hii wamechukua Rwanda na Uganda baada ya kufanikiwa kupenyeza mamluki wengi kwenye mfumo wa Tanzania. Sasa Rasmi Rwanda anaenda kuichukua Mashariki ya Congo.
2. Mfumo wa Maamuzi wa Tanzania umeshakuwa fully penetrated na Majasusi wa Bahima Empire. Inasemwa sehemu nyeti zote zimeshakuwa Penetrated. Hadi sasa Naibu PM wa TZ ni product wa Bahima Empire. Na onasemwa BOT, Hazina, Mipango kote wamejaa wao.
3. JWTZ kuanza kuwa Jeshi la Kisiasa na kupoteza nafasi yake kama Jeshi Bora na linaloheshimika Afrika Mashariki. Jeshi hili saivi limekuwa Jeshi la Maonesho, kupenda sifa badala ya Jeshi la Mikakati na Mipango Kabambe. Kichapo walichokipata huko Congo hadi saivi Malawi wameamua kuondoka ni kielelezo tosha.
4. Kukwama kwa mipango kabambe ya maendeleo ya Taifa. Hii ni kwa sababu nafasi za DED, KM na RAS zimeshikwa na makada wa Chama cha Mapinduzi ambao wao kazi yao ni kuangalia uhai wa Chama cha Mapinduzi ila sio mustakabali mzuri wa Taifa letu kwa miaka mingi ijayo. Watu hawa hawawezi kufanya analysis ya masuala ya msingi zaidi ya kuangalia siasa na Chama chao ambacho wanaamini bila hicho wasingekuwepo hapo.
5. Kuibuka kwa watu ambao kazi yao ni kuwalamba miguu Viongozi na Kuwasifia huku wakilipwa fedha ambazo ni kodi za wananchi. Watu hawa wanaharibu vijana kwa kuwaonesha kuwa maisha ni kuwa Chawa na inawezekana usijishughulishe na kufanya kazi kwa bidii ila ukawa chawa wa kiongozi na maisha yakaenda.
Kwenye haya maamuzi mengi sasa yamekuwa yakifanywa kwa mtazamo wa kisiasa na sio kwa ajili ya kuijenga Tanzania imara Kiuchumi na Kimaisha kwa miaka mingi ijayo.
6. Kuendelea kushuka kwa kiwango kikubwa na cha kutisha masuala ya Utawala Bora na Utawala wa Sheria. Hili linapelekea wananchi wenye mawazo tofauti kutekwa, kuuwawa na wengine kupotezwa bila hatua zozote kuchukuliwa.
Matukio ya Soka, Ben Saanane, Mzee Kibao na Sativa ni mfano mdogo tu wa wapi tumefika kama Taifa.
Poleni sana Watanzania.
Kilaaniwe CHAMA CHA MAPINDUZI.
Tupambane kufa na kupona tupate KATIBA MPYA.
Ongea unalolijua siyo hisiaHaya mambo yalianza wakati wa Magufuli.
Andiko Bora kabisa hili. Nipo mkoa Fulani Kwa kazi Fulani, huyu Boss anasema oogh huwezi kwenda kufanya KAZI huko Hadi tukupatie Afisa Mawasiliano maana tunataka kila sehemu CCM alimaanisha Serikali, itajwe kila kwenye shughuliYalianza kama masikhara ila sasa tuvumilie kuvuna matunda yake.
Kuanguka kwa Tanzania ni suala lililochukua muda kidogo. Tuliopata nafasi ya kuonya, tulionya ili kulikomboa Taifa ila hakuna yaliyofanyika na matokeo yake ndo haya tunayoyaona leo.
Ilianza kwa kuanza kutoa nafasi za utendaji Serikalini za Makatibu Wakuu, Makatibu Tawala wa Mikoa na Wakurugenzi wa Halmashauri kwa Makada wa Chama cha Mapinduzi.
Tuliopewa macho ya rohoni tulionya kuwa suala hili lilikuwa linaenda kuharibu sehemu nyeti ya Utumishi nchini kwa sababu watu hawa ni watu wanaopaswa kupatikana kwa merit kutokana na kuwa sehemu muhimu ya maamuzi nchini hivyo ni vizuri masuala ya competence, integrity na experience kuzingatiwa kwenye teuzi zao ila kwa kuwa CCM waliamua kupuuza maoni ya wenye akili walitupuuza kwa maslahi yao ya muda mfupi.
Haikuishia hapo. Siasa ikaingia hadi kwenye majeshi na vyombo vya Ulinzi. Kubadilishwa kwa Wakuu wa Idara ya Usalama wa Taifa zaidi ya mara 4 ndani ya miaka 3 ni kielelezo kingine kuwa Siasa ilianza kuingia huko.
Kupandishwa vyeo kwa maofisa wa Polisi wanaoonekana kuzungumza mbele ya vyombo vya habari masuala yanayowafurahisha wanasiasa nako kuliendelea kuonesha kwa namna gani siasa imeingia kwenye vyombo vyetu hivi.
Matokeo ya haya:
1. Sasa Tanzania imepoteza nafasi yake ya kuwa Think Tank na Main determinant wa Siasa za Maziwa Makuu. Nafasi hii wamechukua Rwanda na Uganda baada ya kufanikiwa kupenyeza mamluki wengi kwenye mfumo wa Tanzania. Sasa Rasmi Rwanda anaenda kuichukua Mashariki ya Congo.
2. Mfumo wa Maamuzi wa Tanzania umeshakuwa fully penetrated na Majasusi wa Bahima Empire. Inasemwa sehemu nyeti zote zimeshakuwa Penetrated. Hadi sasa Naibu PM wa TZ ni product wa Bahima Empire. Na onasemwa BOT, Hazina, Mipango kote wamejaa wao.
3. JWTZ kuanza kuwa Jeshi la Kisiasa na kupoteza nafasi yake kama Jeshi Bora na linaloheshimika Afrika Mashariki. Jeshi hili saivi limekuwa Jeshi la Maonesho, kupenda sifa badala ya Jeshi la Mikakati na Mipango Kabambe. Kichapo walichokipata huko Congo hadi saivi Malawi wameamua kuondoka ni kielelezo tosha.
4. Kukwama kwa mipango kabambe ya maendeleo ya Taifa. Hii ni kwa sababu nafasi za DED, KM na RAS zimeshikwa na makada wa Chama cha Mapinduzi ambao wao kazi yao ni kuangalia uhai wa Chama cha Mapinduzi ila sio mustakabali mzuri wa Taifa letu kwa miaka mingi ijayo. Watu hawa hawawezi kufanya analysis ya masuala ya msingi zaidi ya kuangalia siasa na Chama chao ambacho wanaamini bila hicho wasingekuwepo hapo.
5. Kuibuka kwa watu ambao kazi yao ni kuwalamba miguu Viongozi na Kuwasifia huku wakilipwa fedha ambazo ni kodi za wananchi. Watu hawa wanaharibu vijana kwa kuwaonesha kuwa maisha ni kuwa Chawa na inawezekana usijishughulishe na kufanya kazi kwa bidii ila ukawa chawa wa kiongozi na maisha yakaenda.
Kwenye haya maamuzi mengi sasa yamekuwa yakifanywa kwa mtazamo wa kisiasa na sio kwa ajili ya kuijenga Tanzania imara Kiuchumi na Kimaisha kwa miaka mingi ijayo.
6. Kuendelea kushuka kwa kiwango kikubwa na cha kutisha masuala ya Utawala Bora na Utawala wa Sheria. Hili linapelekea wananchi wenye mawazo tofauti kutekwa, kuuwawa na wengine kupotezwa bila hatua zozote kuchukuliwa.
Matukio ya Soka, Ben Saanane, Mzee Kibao na Sativa ni mfano mdogo tu wa wapi tumefika kama Taifa.
Poleni sana Watanzania.
Kilaaniwe CHAMA CHA MAPINDUZI.
Tupambane kufa na kupona tupate KATIBA MPYA.
Yule mabasi ya kijani yamedhihirisha yasemwayoHuyo CDF mwenyewe anawaogopa wanasiasa kama sio CDF.
Yanayosemwa kumuhusu sio mazuri. Ajirekebishe na asimame kwenye nafasi yake kama CDF na sio kupelekeshwa pelekeshwa na wanasiasa. Aangalie wenzake kina Twalipo, Mwamunyange, Mabeyo na Mboma walivyokuwaga.
Pia Majenerali wamekuwa watu wa kujali maslahi na sio kuboresha jeshi letu. Jeshi letu halipaswi kupoteza nafasi yake kama Jeshi Bora zaidi katika kipindi chake.
Haya Mawazo ya ajabu mno mnoShida ni kwamba ukiiondoa CCM hatuna chama kingine ambacho kinaweza kutusimamia. Yaani madhara tunayopata kwa kutawaliwa na CCM ni machache sana ukilinganisha na madhara yatakayopatikana kama chama kingine kitashika hatamu, kitaifa. Hivyo ni bora tuendelee na hawahawa CCM na huku tukijaribu kuboresha madhaifu yao kwa ajili ya maslahi ya taifa.
Siungi mkono hoja
CCM wameharibu Nchi, sasa hivi chochote kinachofanywa ni Kwa maslahi ya CCM ibaki madarakaniHuu ni ukweli mchungu lakini utabaki kuwa ukweli tu, nakumbuka wakati ule CDF alipoonya kuhusu wahamiaji haramu kujipenyeza hadi kuwa kwenye nafasi za juu za maamuzi katika serikali yetu wengi waliponda na kumkejeli. Ukicheka na nyani utavuna mabua.
Magufuli alifanya kwa ukubwa ujinga alioanzaga kuufanya Kikwete
Anajiita mwenyewe dustbin, yani garbage can au trash, au refusal bin!Haya Mawazo ya ajabu mno mno
KWELI jina Lina reflect Mawazo ya MTU, sikua nimesoma jina lakeAnajiita mwenyewe dustbin, yani garbage can au trash, au refusal bin!
Yes Magufuli alifanya kwa sehemu kubwa haya ila mwanzilishi alikuwa Jakaya KikweteMagufuli ndiye aliyeingiza watendaji wengi nje ya mfumo bila kuzingatia uwezo. Magufuli ndiye alitengeneza compromise na Ofisi ya Taifa ya ukaguzi kwa kumwondoa Assad kwa nguvu
Hizi ni fikra mgando. Upinzani umeshakomaa vya kutosha kuweza kuiongoza Tanzania.Shida ni kwamba ukiiondoa CCM hatuna chama kingine ambacho kinaweza kutusimamia. Yaani madhara tunayopata kwa kutawaliwa na CCM ni machache sana ukilinganisha na madhara yatakayopatikana kama chama kingine kitashika hatamu, kitaifa. Hivyo ni bora tuendelee na hawahawa CCM na huku tukijaribu kuboresha madhaifu yao kwa ajili ya maslahi ya taifa.
Siungi mkono hoja
Saana. Ila upuuzi huu ulianza hata kabla yeye hajawa Rais kipindi cha Jakaya Kikwete.Nchi hii magufuli aliikosea sana aisee!! Ni vile tu Watanzania wanapenda kuangalia vitu juu juu. Watanzania ni watu wa kuzuzuka na vitu vidogo vidogo ambavyo havina Future. Ila kwa watu wenye maono na jicho la kuona mbali watakubaliana na Mimi kwamba magufuli ametuharibia nchi.
Umewaza mbali sana mkuu ( nakuunga mkono) lkn huu udhaifu unaoonekana wa vyama vya upinzani unatokana na mfumo wenyewe hauko tayari kutengeneza /kulea chama mbadala wa ccm.Shida ni kwamba ukiiondoa CCM hatuna chama kingine ambacho kinaweza kutusimamia. Yaani madhara tunayopata kwa kutawaliwa na CCM ni machache sana ukilinganisha na madhara yatakayopatikana kama chama kingine kitashika hatamu, kitaifa. Hivyo ni bora tuendelee na hawahawa CCM na huku tukijaribu kuboresha madhaifu yao kwa ajili ya maslahi ya taifa.
Siungi mkono hoja
Ajirekebishe. Akakae na Wastaafu wamwelekeze.Yule mabasi ya kijani yamedhihirisha yasemwayo
Jaribu kutofautisha kufanya kazi kwa sifa au ili uonekane unafanya kazi na kufanya kazi kwa weredi.Tuweni wakweli, enzi za Magufuli watendaji wa serikali walikua wakifanya kazi, waziri wa maji kwamfano, enzi za Magufuli kweli alikomesha mgao wa maji, wa umeme as well; hospital ukienda una uhakika wa kuhudumiwa, hata kama dawa zilikua hazitoshelezi but kuna kazi ilikua inafanyika. Tutamkaumu Magufuli kwasababu ya chuki zetu but the guy showed the way and he made a lot of transformation in our government and it's organs. RIP JPM
Unyumbu wa kisiasa ni tabia ya wanaopewa dhamana huahirisha kufikiri kwa nafsi kwasababu ya kujipendekeza ama kulitumikia kundi fulani kwa masilahi binafsi na uoga wa kuigiza kwa viongozi wao, (unafiki), a.k.a chawa tuseme kuahirisha kufikiri kizalendoYalianza kama masikhara ila sasa tuvumilie kuvuna matunda yake.
Kuanguka kwa Tanzania ni suala lililochukua muda kidogo. Tuliopata nafasi ya kuonya, tulionya ili kulikomboa Taifa ila hakuna yaliyofanyika na matokeo yake ndo haya tunayoyaona leo.
Ilianza kwa kuanza kutoa nafasi za utendaji Serikalini za Makatibu Wakuu, Makatibu Tawala wa Mikoa na Wakurugenzi wa Halmashauri kwa Makada wa Chama cha Mapinduzi.
Tuliopewa macho ya rohoni tulionya kuwa suala hili lilikuwa linaenda kuharibu sehemu nyeti ya Utumishi nchini kwa sababu watu hawa ni watu wanaopaswa kupatikana kwa merit kutokana na kuwa sehemu muhimu ya maamuzi nchini hivyo ni vizuri masuala ya competence, integrity na experience kuzingatiwa kwenye teuzi zao ila kwa kuwa CCM waliamua kupuuza maoni ya wenye akili walitupuuza kwa maslahi yao ya muda mfupi.
Haikuishia hapo. Siasa ikaingia hadi kwenye majeshi na vyombo vya Ulinzi. Kubadilishwa kwa Wakuu wa Idara ya Usalama wa Taifa zaidi ya mara 4 ndani ya miaka 3 ni kielelezo kingine kuwa Siasa ilianza kuingia huko.
Kupandishwa vyeo kwa maofisa wa Polisi wanaoonekana kuzungumza mbele ya vyombo vya habari masuala yanayowafurahisha wanasiasa nako kuliendelea kuonesha kwa namna gani siasa imeingia kwenye vyombo vyetu hivi.
Matokeo ya haya:
1. Sasa Tanzania imepoteza nafasi yake ya kuwa Think Tank na Main determinant wa Siasa za Maziwa Makuu. Nafasi hii wamechukua Rwanda na Uganda baada ya kufanikiwa kupenyeza mamluki wengi kwenye mfumo wa Tanzania. Sasa Rasmi Rwanda anaenda kuichukua Mashariki ya Congo.
2. Mfumo wa Maamuzi wa Tanzania umeshakuwa fully penetrated na Majasusi wa Bahima Empire. Inasemwa sehemu nyeti zote zimeshakuwa Penetrated. Hadi sasa Naibu PM wa TZ ni product wa Bahima Empire. Na onasemwa BOT, Hazina, Mipango kote wamejaa wao.
3. JWTZ kuanza kuwa Jeshi la Kisiasa na kupoteza nafasi yake kama Jeshi Bora na linaloheshimika Afrika Mashariki. Jeshi hili saivi limekuwa Jeshi la Maonesho, kupenda sifa badala ya Jeshi la Mikakati na Mipango Kabambe. Kichapo walichokipata huko Congo hadi saivi Malawi wameamua kuondoka ni kielelezo tosha.
4. Kukwama kwa mipango kabambe ya maendeleo ya Taifa. Hii ni kwa sababu nafasi za DED, KM na RAS zimeshikwa na makada wa Chama cha Mapinduzi ambao wao kazi yao ni kuangalia uhai wa Chama cha Mapinduzi ila sio mustakabali mzuri wa Taifa letu kwa miaka mingi ijayo. Watu hawa hawawezi kufanya analysis ya masuala ya msingi zaidi ya kuangalia siasa na Chama chao ambacho wanaamini bila hicho wasingekuwepo hapo.
Kwenye haya maamuzi mengi sasa yamekuwa yakifanywa kwa mtazamo wa kisiasa na sio kwa ajili ya kuijenga Tanzania imara Kiuchumi na Kimaisha kwa miaka mingi ijayo.
5. Kuibuka kwa watu ambao kazi yao ni kuwalamba miguu Viongozi na Kuwasifia huku wakilipwa fedha ambazo ni kodi za wananchi. Watu hawa wanaharibu vijana kwa kuwaonesha kuwa maisha ni kuwa Chawa na inawezekana usijishughulishe na kufanya kazi kwa bidii ila ukawa chawa wa kiongozi na maisha yakaenda.
6. Kuendelea kushuka kwa kiwango kikubwa na cha kutisha masuala ya Utawala Bora na Utawala wa Sheria. Hili linapelekea wananchi wenye mawazo tofauti kutekwa, kuuwawa na wengine kupotezwa bila hatua zozote kuchukuliwa.
Matukio ya Soka, Ben Saanane, Mzee Kibao na Sativa ni mfano mdogo tu wa wapi tumefika kama Taifa.
Poleni sana Watanzania.
Kilaaniwe CHAMA CHA MAPINDUZI.
Tupambane kufa na kupona tupate KATIBA MPYA.