Tulilalamika sana siasa kuingilia Utendaji. Sasa tumeanza kuvuna matokeo yake

Tulilalamika sana siasa kuingilia Utendaji. Sasa tumeanza kuvuna matokeo yake

Na zile kauli za apende, asipende, ndio utajua watanzania ni zaidi ya makondoo.

Hawa mbwa wanatuona sisi wote ni mazuzu.
Kuna mamba moja nzee inazunguka nchini kuzidi kuharibu maono mema ya watanzani. Inatembea na msururu wa magari ikisaga pesa kukusanya watu. Agenda ni kuwaeleza watanzania ubaya wa vyama vya upinzani. Bullshit.!!!
 
Yalianza kama masikhara ila sasa tuvumilie kuvuna matunda yake.

Kuanguka kwa Tanzania ni suala lililochukua muda kidogo. Tuliopata nafasi ya kuonya, tulionya ili kulikomboa Taifa ila hakuna yaliyofanyika na matokeo yake ndo haya tunayoyaona leo.

Ilianza kwa kuanza kutoa nafasi za utendaji Serikalini za Makatibu Wakuu, Makatibu Tawala wa Mikoa na Wakurugenzi wa Halmashauri kwa Makada wa Chama cha Mapinduzi.

Tuliopewa macho ya rohoni tulionya kuwa suala hili lilikuwa linaenda kuharibu sehemu nyeti ya Utumishi nchini kwa sababu watu hawa ni watu wanaopaswa kupatikana kwa merit kutokana na kuwa sehemu muhimu ya maamuzi nchini hivyo ni vizuri masuala ya competence, integrity na experience kuzingatiwa kwenye teuzi zao ila kwa kuwa CCM waliamua kupuuza maoni ya wenye akili walitupuuza kwa maslahi yao ya muda mfupi.

Haikuishia hapo. Siasa ikaingia hadi kwenye majeshi na vyombo vya Ulinzi. Kubadilishwa kwa Wakuu wa Idara ya Usalama wa Taifa zaidi ya mara 4 ndani ya miaka 3 ni kielelezo kingine kuwa Siasa ilianza kuingia huko.

Kupandishwa vyeo kwa maofisa wa Polisi wanaoonekana kuzungumza mbele ya vyombo vya habari masuala yanayowafurahisha wanasiasa nako kuliendelea kuonesha kwa namna gani siasa imeingia kwenye vyombo vyetu hivi.

Matokeo ya haya:
1. Sasa Tanzania imepoteza nafasi yake ya kuwa Think Tank na Main determinant wa Siasa za Maziwa Makuu. Nafasi hii wamechukua Rwanda na Uganda baada ya kufanikiwa kupenyeza mamluki wengi kwenye mfumo wa Tanzania. Sasa Rasmi Rwanda anaenda kuichukua Mashariki ya Congo.

2. Mfumo wa Maamuzi wa Tanzania umeshakuwa fully penetrated na Majasusi wa Bahima Empire. Inasemwa sehemu nyeti zote zimeshakuwa Penetrated. Hadi sasa Naibu PM wa TZ ni product wa Bahima Empire. Na onasemwa BOT, Hazina, Mipango kote wamejaa wao.

3. JWTZ kuanza kuwa Jeshi la Kisiasa na kupoteza nafasi yake kama Jeshi Bora na linaloheshimika Afrika Mashariki. Jeshi hili saivi limekuwa Jeshi la Maonesho, kupenda sifa badala ya Jeshi la Mikakati na Mipango Kabambe. Kichapo walichokipata huko Congo hadi saivi Malawi wameamua kuondoka ni kielelezo tosha.

4. Kukwama kwa mipango kabambe ya maendeleo ya Taifa. Hii ni kwa sababu nafasi za DED, KM na RAS zimeshikwa na makada wa Chama cha Mapinduzi ambao wao kazi yao ni kuangalia uhai wa Chama cha Mapinduzi ila sio mustakabali mzuri wa Taifa letu kwa miaka mingi ijayo. Watu hawa hawawezi kufanya analysis ya masuala ya msingi zaidi ya kuangalia siasa na Chama chao ambacho wanaamini bila hicho wasingekuwepo hapo.

5. Kuibuka kwa watu ambao kazi yao ni kuwalamba miguu Viongozi na Kuwasifia huku wakilipwa fedha ambazo ni kodi za wananchi. Watu hawa wanaharibu vijana kwa kuwaonesha kuwa maisha ni kuwa Chawa na inawezekana usijishughulishe na kufanya kazi kwa bidii ila ukawa chawa wa kiongozi na maisha yakaenda.

Kwenye haya maamuzi mengi sasa yamekuwa yakifanywa kwa mtazamo wa kisiasa na sio kwa ajili ya kuijenga Tanzania imara Kiuchumi na Kimaisha kwa miaka mingi ijayo.


6. Kuendelea kushuka kwa kiwango kikubwa na cha kutisha masuala ya Utawala Bora na Utawala wa Sheria. Hili linapelekea wananchi wenye mawazo tofauti kutekwa, kuuwawa na wengine kupotezwa bila hatua zozote kuchukuliwa.

Matukio ya Soka, Ben Saanane, Mzee Kibao na Sativa ni mfano mdogo tu wa wapi tumefika kama Taifa.

Poleni sana Watanzania.

Kilaaniwe CHAMA CHA MAPINDUZI.

Tupambane kufa na kupona tupate KATIBA MPYA.
Mimi kinachoniuma kwenye hili taifa ni the so called the state vile jamaa wanavyofanya compromise na wanasiasa kwenye madudu yao wakiogopa kuwawajibisha Kwa sababu ya uhuru wa kikatiba uliopo!

Hawa jamaa wangekua pro active mapema hasa kipindi Cha pili Cha mkapa tukapata hiyo katiba mpya Leo tungekua na uwezo was uwajibishaji was viongozi walioharibu hili taifa la uchawa!!

Swala la bahima si tatizo kihivyo Bali katiba ingehakikisha anaekuja awe msukuma ,mtutsi wa kyerwa au vinginevyo asiharibu kama pale America!!


The state imelea uozo Sana kiasi kwamba ccm chama changu kinaonekana ustawi wake ninmuhimu kuliko Taifa yaani typo tayari kuvunja Sheria za jamuhuri ili kulinda Chama na mafisadi viongozi waliopo chamani!!

SIASA HAIPASWI KUWA KAZI YA KUTAJIRIKIA BALI UADILIFU NA UZALENDO,MAPATO YA KWENYE SIASA YAPUNGUZWE. YAENDANE NA UHALISIA WA UCHUMI WA NCHI NA WANANCHI NA SIO KUPIGA DEALS KAMA SASA!!
 
Tanzania tumeshapotea.

Kama wanaoibeba CCM hawajaamka hii nchi ndo inaenda kufa kabisa.

Tuesabu tu siku.
Kuna yule aliyemuomba Mwenyekiti awapishe wajadili zawadi yake angekuwa na support kubwa
 
Mimi kinachoniuma kwenye hili taifa ni the so called the state vile jamaa wanavyofanya compromise na wanasiasa kwenye madudu yao wakiogopa kuwawajibisha Kwa sababu ya uhuru wa kikatiba uliopo!

Hawa jamaa wangekua pro active mapema hasa kipindi Cha pili Cha mkapa tukapata hiyo katiba mpya Leo tungekua na uwezo was uwajibishaji was viongozi walioharibu hili taifa la uchawa!!

Swala la bahima si tatizo kihivyo Bali katiba ingehakikisha anaekuja awe msukuma ,mtutsi wa kyerwa au vinginevyo asiharibu kama pale America!!


The state imelea uozo Sana kiasi kwamba ccm chama changu kinaonekana ustawi wake ninmuhimu kuliko Taifa yaani typo tayari kuvunja Sheria za jamuhuri ili kulinda Chama na mafisadi viongozi waliopo chamani!!

SIASA HAIPASWI KUWA KAZI YA KUTAJIRIKIA BALI UADILIFU NA UZALENDO,MAPATO YA KWENYE SIASA YAPUNGUZWE. YAENDANE NA UHALISIA WA UCHUMI WA NCHI NA WANANCHI NA SIO KUPIGA DEALS KAMA SASA!!
The State ni akina nani ??!
Na wanapatikanaje ???!
Wanawekwa au wanateuliwa ??!
Na nani anakuwa Boss wao ??!
 
Kuna yule aliyemuomba Mwenyekiti awapishe wajadili zawadi yake angekuwa na support kubwa
Alipotoa hoja akapigiwa makofi mengi sana hiyo ilikuwa ni kiashiria kwamba wajumbe wameikubali hoja !
Lakini Mwenyekiti alipoikataa hiyo hoja The same wajumbe wakapiga makofi mengi mengi sana kuliko walivyompigia mtoa hoja wa kwanza 😅😅🤣 !

Hapo unaweza ukaona who are these so called Wajumbe 😳 !!
 
Huyo CDF mwenyewe anawaogopa wanasiasa kama sio CDF.

Yanayosemwa kumuhusu sio mazuri. Ajirekebishe na asimame kwenye nafasi yake kama CDF na sio kupelekeshwa pelekeshwa na wanasiasa. Aangalie wenzake kina Twalipo, Mwamunyange, Mabeyo na Mboma walivyokuwaga.

Pia Majenerali wamekuwa watu wa kujali maslahi na sio kuboresha jeshi letu. Jeshi letu halipaswi kupoteza nafasi yake kama Jeshi Bora zaidi katika kipindi chake.
Huko Jeshini ndio hamna kitu sababu siasa imeingia jeshi limekuwa sio kuandikishwa bali limekuwa ajira. Ahahahahaaa.

Cha ajabu ndani ya jeshi ni ccm na ccm ni Jeshi, yaani hata ukitamka neno au jina la Tundu Lissu utafuatiliwa na wanojiita usalama ndani ya jeshi na utaundiwa mizengwe.

JWTZ ni jeshi la ccm, na ikitokea vita hata na rwanda tunaweza pigwa kama paka aliyekula mayai.

Kipindi cha 2016 hadi 2021 wanajeshi wengi walisingiziwa kujihusisha na siasa au kumtukana magufuli. Iwe ni kwa kusoma story au ku comment ujumbe huko kwenye mitandao ya kijamii.

Jeshi limeozaaa kabisaa.
 
Mfumo wa Maamuzi wa Tanzania umeshakuwa fully penetrated na Majasusi wa Bahima Empire. Inasemwa sehemu nyeti zote zimeshakuwa Penetrated. Hadi sasa Naibu PM wa TZ ni product wa Bahima Empire. Na onasemwa BOT, Hazina, Mipango kote wamejaa wao.
Duh!..
 
Tatizo lilianza kwenye utawala wa Magufuli.
I hate that devil
Imagine wote waliofeli kwenye kura za maoni za ubunge CCM 2015 aliwapa nafasi za kiutendaji serikalini
Pumbavu mkubwa wewe uchawa ulianza enzi ya Kikwete anagombea urais akawamtumia Tido Mhando wa BBC kumuumbia sifa na kuendesha kura za maoni feki..baada ya kuingia madarakani akamtumia Prince Bagenda kuandika kitabu cha "Tumaini lililopotea" miaka michache watu wakashangaa mambo yanayoimbwa kuhusu Kikwete mbona yalikuwa tofauti na utendaji kazi wake ?
 
Huko Jeshini ndio hamna kitu sababu siasa imeingia jeshi limekuwa sio kuandikishwa bali limekuwa ajira. Ahahahahaaa.

Cha ajabu ndani ya jeshi ni ccm na ccm ni Jeshi, yaani hata ukitamka neno au jina la Tundu Lissu utafuatiliwa na wanojiita usalama ndani ya jeshi na utaundiwa mizengwe.

JWTZ ni jeshi la ccm, na ikitokea vita hata na rwanda tunaweza pigwa kama paka aliyekula mayai.

Kipindi cha 2016 hadi 2021 wanajeshi wengi walisingiziwa kujihusisha na siasa au kumtukana magufuli. Iwe ni kwa kusoma story au ku comment ujumbe huko kwenye mitandao ya kijamii.

Jeshi limeozaaa kabisaa.
Kuna haja ya kutokea vijana wanaofikiri vizuri kama kina Tamimu na kina Kapteni Kadego huko JWTZ kama ndo wameingia kwenye ujinga wa kupelekeshwa na wanasiasa namna hii.
 
Kuna haja ya kutokea vijana wanaofikiri vizuri kama kina Tamimu na kina Kapteni Kadego huko JWTZ kama ndo wameingia kwenye ujinga wa kupelekeshwa na wanasiasa namna hii.
Hilo Squad walikuwa wamejipanga vizuri km sio kutibuliwa na yule Dreva taksi leo tusingekuwa na CCM.. nakumbuka Mjeshi Eugene Maganga alikuwa akija likizo pale Itobo Nzega.. akilewa pombe alikuwa akiropoka kuwa anakwenda kuwa na cheo kikubwa katika nchi ya Tanzania ... lkn haikuwa hivyo..
 
CCM, Oops Imetuchosha Ila Mwisho October Hii 2025
 
Hilo Squad walikuwa wamejipanga vizuri km sio kutibuliwa na yule Dreva taksi leo tusingekuwa na CCM.. nakumbuka Mjeshi Eugene Maganga alikuwa akija likizo pale Itobo Nzega.. akilewa pombe alikuwa akiropoka kuwa anakwenda kuwa na cheo kikubwa katika nchi ya Tanzania ... lkn haikuwa hivyo..
Ni maombi yangu litokee sasa na lifanikiwe. CCM imetufikisha pabaya sana kwa kulewa kwao madaraka
 
Yalianza kama masikhara ila sasa tuvumilie kuvuna matunda yake.

Kuanguka kwa Tanzania ni suala lililochukua muda kidogo. Tuliopata nafasi ya kuonya, tulionya ili kulikomboa Taifa ila hakuna yaliyofanyika na matokeo yake ndo haya tunayoyaona leo.

Ilianza kwa kuanza kutoa nafasi za utendaji Serikalini za Makatibu Wakuu, Makatibu Tawala wa Mikoa na Wakurugenzi wa Halmashauri kwa Makada wa Chama cha Mapinduzi.

Tuliopewa macho ya rohoni tulionya kuwa suala hili lilikuwa linaenda kuharibu sehemu nyeti ya Utumishi nchini kwa sababu watu hawa ni watu wanaopaswa kupatikana kwa merit kutokana na kuwa sehemu muhimu ya maamuzi nchini hivyo ni vizuri masuala ya competence, integrity na experience kuzingatiwa kwenye teuzi zao ila kwa kuwa CCM waliamua kupuuza maoni ya wenye akili walitupuuza kwa maslahi yao ya muda mfupi.

Haikuishia hapo. Siasa ikaingia hadi kwenye majeshi na vyombo vya Ulinzi. Kubadilishwa kwa Wakuu wa Idara ya Usalama wa Taifa zaidi ya mara 4 ndani ya miaka 3 ni kielelezo kingine kuwa Siasa ilianza kuingia huko.

Kupandishwa vyeo kwa maofisa wa Polisi wanaoonekana kuzungumza mbele ya vyombo vya habari masuala yanayowafurahisha wanasiasa nako kuliendelea kuonesha kwa namna gani siasa imeingia kwenye vyombo vyetu hivi.

Matokeo ya haya:
1. Sasa Tanzania imepoteza nafasi yake ya kuwa Think Tank na Main determinant wa Siasa za Maziwa Makuu. Nafasi hii wamechukua Rwanda na Uganda baada ya kufanikiwa kupenyeza mamluki wengi kwenye mfumo wa Tanzania. Sasa Rasmi Rwanda anaenda kuichukua Mashariki ya Congo.

2. Mfumo wa Maamuzi wa Tanzania umeshakuwa fully penetrated na Majasusi wa Bahima Empire. Inasemwa sehemu nyeti zote zimeshakuwa Penetrated. Hadi sasa Naibu PM wa TZ ni product wa Bahima Empire. Na onasemwa BOT, Hazina, Mipango kote wamejaa wao.

3. JWTZ kuanza kuwa Jeshi la Kisiasa na kupoteza nafasi yake kama Jeshi Bora na linaloheshimika Afrika Mashariki. Jeshi hili saivi limekuwa Jeshi la Maonesho, kupenda sifa badala ya Jeshi la Mikakati na Mipango Kabambe. Kichapo walichokipata huko Congo hadi saivi Malawi wameamua kuondoka ni kielelezo tosha.

4. Kukwama kwa mipango kabambe ya maendeleo ya Taifa. Hii ni kwa sababu nafasi za DED, KM na RAS zimeshikwa na makada wa Chama cha Mapinduzi ambao wao kazi yao ni kuangalia uhai wa Chama cha Mapinduzi ila sio mustakabali mzuri wa Taifa letu kwa miaka mingi ijayo. Watu hawa hawawezi kufanya analysis ya masuala ya msingi zaidi ya kuangalia siasa na Chama chao ambacho wanaamini bila hicho wasingekuwepo hapo.

5. Kuibuka kwa watu ambao kazi yao ni kuwalamba miguu Viongozi na Kuwasifia huku wakilipwa fedha ambazo ni kodi za wananchi. Watu hawa wanaharibu vijana kwa kuwaonesha kuwa maisha ni kuwa Chawa na inawezekana usijishughulishe na kufanya kazi kwa bidii ila ukawa chawa wa kiongozi na maisha yakaenda.

Kwenye haya maamuzi mengi sasa yamekuwa yakifanywa kwa mtazamo wa kisiasa na sio kwa ajili ya kuijenga Tanzania imara Kiuchumi na Kimaisha kwa miaka mingi ijayo.


6. Kuendelea kushuka kwa kiwango kikubwa na cha kutisha masuala ya Utawala Bora na Utawala wa Sheria. Hili linapelekea wananchi wenye mawazo tofauti kutekwa, kuuwawa na wengine kupotezwa bila hatua zozote kuchukuliwa.

Matukio ya Soka, Ben Saanane, Mzee Kibao na Sativa ni mfano mdogo tu wa wapi tumefika kama Taifa.

Poleni sana Watanzania.

Kilaaniwe CHAMA CHA MAPINDUZI.

Tupambane kufa na kupona tupate KATIBA MPYA.
Unapata wapi muda wakuandika gazeti refu hivyo lililojaa shithole tupu!!?
 
Back
Top Bottom