Tulimwambia achana na mambo ya kuoa, hakusikia cheki yaliyomkuta

Daah
 
Kwa jinsi wake za watu wanavyoslide kwa kasi ya 5G kwene dm zetu wakitaka faraja kwa vile wanavyofanyiwa na waume zao me naogopa sana, as for the moment mwanamke mmoja nlikuwa napiga keshaolewa kanizamia dm anataka nitafute siku nikamkaze mumewe mvivu kukaza na huyu mwanamke nshamkwepa sana toka aolewe daaah, anasema mvua ya mjini imempa mihemko ? Najiuliza maswali mengi ivi na mimi mwanamke wangu anajinyegesha kwa mabaharia hivyo hivyo ? Daaah inauma kwakweli
 
Walevi na ndoa wapi na wapi. Mtu yeyote anayeleweshwa na kuyumbishwa na kimiminika kwenye chupa au mfano wake, mke lazima atamyumbusha tu.

Miongoni mwa mambo mema na kipimo cha utimamu wa akili ni sisi kuoa na wanawake waolewe.

Sisi wengine tumeoa tukiwa chini ya miaka 28 na bado tunadunda na ndoa zetu, na tunazidi kumuomba Mola atudumishe katika ndoa zetu,mpaka tuzikwe na wake zetu au tuwazike wake zetu. (Wenye akili timamu sote kwa Pamoja tusemeni "AMIIN").
 
Amin sheikh, nami pia nimeoa mapema nambo murua kabisa
 
K
sema kuoa ni kutafta stress
 
Subiri siku umkute mkeo anabinjuliwa guest then uje kutupostia hapa.

#YNWA
 
Maombi sometimes yanadunda kwa sababu mnaemuombea hana direct connection na Mungu,,ni mwendo wa kamati za mambo yetu ya asili tu. Fanyeni juu chini ili mshkaji aokolewe.
 
Diamond hajaowa mpaka sasa hivi ila wanawake wote aliopita nao ni respect.

wanawake wa sasa hivi ni wa kuwavizia tu akikaa vibaya nyanya nyanya tu! shabash
Kula maisha.
Kufanya jambo huku unajua lina stress kibaoo ni UZUZU.

#YNWA
 
Hata uoe na hiyo miaka 40 kama ni wakubinuliwa ni wa kubunuliwa tu mkuu.
Iko hivi...
1. Kuusema moyo huzalisha majuto sanaa
Kama unajua kuwa atabinjuliwa tu YA NINI KUOA?

2. Nafsi iliyoumizwa hutafuta njia ya kulipiza kisasi.
Ngoja siku arudishe ubaya wotee uliomfanyia.

#YNWA
 
Hivi kwa nini Wanaume ndiyo wanaongoza kwa mipasho ya kuumizwa? Ni nadra kukuta Mwanamke analia lia hapa JF kwamba katendwa, ...
Walisema "wanaume hufa mapema kwasababu hawaongei, wanajikaza na mateso yao ya duniani hivyo hupelekea kufa mapema"

Hivi hapo NIMELALAMIKA au nimetoa GENERAL RULE ili wewe utafute exceptions?

#YNWA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…