Tulioacha wake zetu kwa sababu ya usaliti waliotufanyia tukutane hapa

Tulioacha wake zetu kwa sababu ya usaliti waliotufanyia tukutane hapa

Sina element za huyu maana Mimi nisingemchukua hata huyo mtoto wa kike aliyefanana naye, ningemwambia aende na wanaye na wasitumie jina langu.
Ningewafuta wote kichwani. Wanawake wako wengi na sisi ni masperm donor.
Nimemaanisha mwanaume wangu unafanana nae ktk hilo la kumuacha mwanamke hata kwa miaka kadhaa,
 
Mwanamke hata umfanyie nini hawi wa njia moja wakati wote!
Nazungumza katika ushahidi wangu binafsi kuna mwanamke nilimpa maisha yangu! Achana na kumpa muda nilimpa maisha yangu! Sina lugha rahisi ninayo weza vile nilimpa maisha yangu.
Lakini aliniacha nikiwa naona na macho yangu haya mawili , tena asubuhi kabisa kabla ya mapambazuko , baada ya jana yake kuliwa na jamaa!
Vile ilivyo niuma kipindi kile nilihitimisha mwanamke hata umpe nini kesho anaweza kuwa tofauti sana na jana.
Yeah ndo maana Mimi sigawi attention kabisa.
Natoa attention for a season tu, nataka nimuonyeshe kwamba wewe ni material ambayo naweza pata sehemu yoyote , kikubwa mbususu isikutumikishe.
 
Mwanamke hata umfanyie nini hawi wa njia moja wakati wote!
Nazungumza katika ushahidi wangu binafsi kuna mwanamke nilimpa maisha yangu! Achana na kumpa muda nilimpa maisha yangu! Sina lugha rahisi ninayo weza vile nilimpa maisha yangu.
Lakini aliniacha nikiwa naona na macho yangu haya mawili , tena asubuhi kabisa kabla ya mapambazuko , baada ya jana yake kuliwa na jamaa!
Vile ilivyo niuma kipindi kile nilihitimisha mwanamke hata umpe nini kesho anaweza kuwa tofauti sana na jana.
Pole mnapigwa matukio sana
 
Mwanamke akitoka nje ya Ndoa

Ukathibitisha hupaswi msamehe kabisa

Mwanamke ukimdaka na mwanaume hupaswi kabisa kuendelea nae au kuongea naye, we muache hata kama mna watoto muache atajijua mwenyewe
Mwanamke hawezi kutumikia mabwana wawili hata maandiko yameandika.

Lakini Mwanamume anaweza kuhudumia wanawake wawili na kuwapenda wote. wachache lakini.
 
Mwanamke hata umfanyie nini hawi wa njia moja wakati wote!
Nazungumza katika ushahidi wangu binafsi kuna mwanamke nilimpa maisha yangu! Achana na kumpa muda nilimpa maisha yangu! Sina lugha rahisi ninayo weza vile nilimpa maisha yangu.
Lakini aliniacha nikiwa naona na macho yangu haya mawili , tena asubuhi kabisa kabla ya mapambazuko , baada ya jana yake kuliwa na jamaa!
Vile ilivyo niuma kipindi kile nilihitimisha mwanamke hata umpe nini kesho anaweza kuwa tofauti sana na jana.
Ulikosea wapi mkuu? Usije ikawa unaamini kwamba kumpa pesa ndio umemaliza kila kitu
 
Ulikosea wapi mkuu? Usije ikawa unaamini kwamba kumpa pesa ndio umemaliza kila kitu
Brother niliwaza sana sehemu nilipokosea nikakosa, yaani ile unajichinguza a mpaka z sehemu ulipokesea unakosa!

Baada ya miaka kumi hivi nilikuja kumuuliza yeye binafsi nilipokosea alikiri hakukua na kosa toka kwanbjy hata yeye mwenyewe hakujua nini kilichomtokea.

Mwanamke ndugu yangu mwache awe mama, awe dada awe mwana lakini nje ya hapo Aisee chukua tahadhari sana.
 
Brother niliwaza sana sehemu nilipokosea nikakosa, yaani ile unajichinguza a mpaka z sehemu ulipokesea unakosa!

Baada ya miaka kumi hivi nilikuja kumuuliza yeye binafsi nilipokosea alikiri hakukua na kosa toka kwanbjy hata yeye mwenyewe hakujua nini kilichomtokea.

Mwanamke ndugu yangu mwache awe mama, awe dada awe mwana lakini nje ya hapo Aisee chukua tahadhari sana.
Kwani alizaa nje? Au alipata bwana mpya?
 
Ulikosea wapi mkuu? Usije ikawa unaamini kwamba kumpa pesa ndio umemaliza kila kitu
Pesa sio Kila kitu.
Mwanamke ukitaka umuweze ni kitandani tu, ukifeli apo na akawa na ex ambaye alikuwa anamtosheleza , anaanza kukufanyia comparison.
Mwanamke akifikia hatua hiyo sio wako tena ndo maana wanaume wenye akili hupenda sana kujua historical background ya mwanamke.
Ukidate mwanamke umemtoa bar au club, usiexpect uwe naye maisha maana amekutana na dicks nyingi sana ila kama dick yako ikiwa Bora atakuganda if not you're dead in her memory.
Pia wanawake wapenda church nao ni redflag sana ila sio wote.
 
Pole sana, umenifurahisha hujachukia wanawake wote sababu ya mwanamke mmoja asiyejitambua huo ndio uwanaume[emoji4]

Cc [mention]cocastic [/mention] uduguu hii story inafanana na ya jamaa yetu wa kibaha [emoji1787][emoji1787]
Wanawake wote hawafanani , ni upumbavu kuchukia wanawake kisa malaya mmoja.
 
Back
Top Bottom