Tulioacha wake zetu kwa sababu ya usaliti waliotufanyia tukutane hapa

Tulioacha wake zetu kwa sababu ya usaliti waliotufanyia tukutane hapa

😂😂Mm wa kujishtukia ningeshahama na nyumba
😂😂😂Ni kinyaa, ni huzuni ni udhalilishaji kumbabikizia mtoto mwanaume, namtizama dogo naumia lkn namcheka namdharau namuona km fala la mwisho ametuvua nguo, ila akili bado haijamsogea muda upo litaibuka nitampa vidonge😂😂😂nitaalika na ulinzi maana anaweza kunibutua
 
Rejea hapa: Msamehe kama kakiri kosa lake na anaonesha kujutia, Maandiko yanatuasa kusameheana, Msamehe na usahau yote aliyotenda ila narudia tena ILA NAMAANISHA KWAMBA USIJE KAMWE UKARUDIA KUISHI NAE PAMOJA. Baba yangu aliwahi kuniambia kwamba iwapo tu we kufanya hivyo 'UTAKUFA'
 
Robert Heriel Mtibeli mzabzab
Njooni huku, hawa wadada wanasema kuwa wanataka mume ambaye atampa uhuru, sasa uhuru wakipewa na kigari juu wanabadilika ,
Ukisema wakae home mda water hawataki wanasema mume wangu anipi uhuru, ukisema basi tuwe wote mda wote pia wanasema mume wangu hanipi uhuru.
Sasa dada yetu Kapeace anasema tusiwaache wake zetu kama Adam alimuacha mkewe mpaka akadangaywa na Joka.
(Ni kweli alichosema maana MUNGU alisema mke na mume wawe wote all time)
Sasa iweje sometimes wanataka uhuru wa kwao?
Aisee sasa uhuru gani tena wanataka hawa? Wakienda makazini wanagegedwa, wakiwa nyumbani wanagegedwa...shida tupu
 
😂😂😂Ni kinyaa, ni huzuni ni udhalilishaji kumbabikizia mtoto mwanaume, namtizama dogo naumia lkn namcheka namdharau namuona km fala la mwisho ametuvua nguo, ila akili bado haijamsogea muda upo litaibuka nitampa vidonge😂😂😂nitaalika na ulinzi maana anaweza kunibutua
Kabisa Yani Bora udai talaka tu aisee kuliko Kuishi na mateso ya kujishtukia kma umejikojolea 😂
 
Kuna jamaa nae nilisikia watoto 2 kati ya wanne sio wake nikiwaona wale watoto roho inaniuma balaa utasema nduguyangu nyie 😂😂😂watu Wana Siri ndoa Ina miaka 16 mamamtu mkavu😂🙌
Kuna wanawake washenzi ila na mwanaume anakuwa poyoyo zaidi ni kama tahira tu asiyetema udenda, mi navojua mwanaume inabidi ukae chonjo shtua mara moja kawapime watoto, na ukisoma wengi humu walipata dalili lkn wakapuuzia
 
😂😂😂Ni kinyaa, ni huzuni ni udhalilishaji kumbabikizia mtoto mwanaume, namtizama dogo naumia lkn namcheka namdharau namuona km fala la mwisho ametuvua nguo, ila akili bado haijamsogea muda upo litaibuka nitampa vidonge😂😂😂nitaalika na ulinzi maana anaweza kunibutua
Kabisa Yani Bora udai talaka tu aisee kuliko Kuishi na mateso ya kujishtukia kma umejikojolea 😂
 
😂😂 Yani Ivan ni hivi mi mwnyw hapa dogo wangu toka nitoke kabambikiziwa mtoto mwenyewe yuko na moto wa kulea hakuwahi kuwa na mtoto😂😂😂 lakini mtoto sio wake na hajui km kapigwa, namcheka tu mambo mengine wanaume mnayataka wenyewe,, huyo binti nilikiwa namkuta amebambiwa mara kibao, mtoto wa kike kazaliwa anafanana na jamaa mmoja niliyewahi kumshtukia na dogo nilimwambia kabla,, baada ya miezi km 2 napewa taarifa kuna mimba,, nikatulia,,,,,, miezi 9 hii hapa mtoto ana mwezi na nusu sasa ila ndo nilipotumiwa picha tu,,,,nikashtuka nikamkubuka jamaa km shangazi mtu nikaumia lakini ndo hivyo nimebaki kutoa macho tu,, na kabla ya kujifungua niliota ndoto isiyo na ishara njema

Kwahiyo sometimes mnapigwa kwa uzembe na kutojali kwenu,
Sasa sisi tutajali mambo mangapi? Huku tuko bizekutafuta maisha tena tuwe bize kuchunga watu wazima? Kosa ni la mbambikiaji.

Kwa nini unibambikie kama hunitaki si uniambie tu?
 
Kapeace msemo wa kitanda hakizai haramu haukuanza unfortunately, kuna kitu kilitokea wahenga waka conclude kwa huo msemo.
Wewe acha iwe hivyo ilivyo kwa bro wako maana Isha kiwa hivyo na na chochote kinachokuwa huwa hakiwi bila makusudi, acha kusudio liwe.
Unafikiri nina neno basi kaka namshukuru Mungu kanijalia uzao na mwanaume wa kunikeep bize,, ila ikitokea dogo kalala usingizi wa milele bila hili kushtukiwa hiyo dogo sitashiriki hata kwa sh 100, bora mtoto uliyemkuta ukajua sio wako kuliko wa kubambikiwa aisee
 
Back
Top Bottom