Tulioacha wake zetu kwa sababu ya usaliti waliotufanyia tukutane hapa

Tulioacha wake zetu kwa sababu ya usaliti waliotufanyia tukutane hapa

Nipo sasa nimerudiana na mdada wa kinyarwanda, sijui kama anampango wa kuolewa huko kwao sijui ila nipo nae sasa japo tunakutana siku moja moja sana.
Ila napanga siku my ex wife anikute na mrembo wa kitutsi japo kanizidi urefu kidogo, si unajua watutsi walivyo warefu.

Nataka siku anikute nae nimringishe mwezi uliopita nilijaribu ila sikufanikiwa coz maeneo tuliokuwepo kulikuwa na watu wazima na wengine nafaamiana nao so nikaona noma.
.
Ukiona unafanya jambo ili ''umkomoe'' ex wao ujie bado una feelings nae mkuu wether you wouldlike to admit it or not.
.
Kama umeamua kuachana nae, piga block kila mahali, futa kumbukumbu zote ulikuwa nazo then move on.
 
Better nimepata sehem ya kutoa story yangu
True story
Itakuwa fupi kidogo kutowachosha wasomaji
Mwaka 2010 nilikutana na binti mmoja kwenye kongamano la dini chuoni (University) mm ni Rc but naendaga matamasha ya dini nyingine
It happen sometimes.
Bana tumekaa sehem jilan kila nikimuangalia roho inasema hapa ndo ile nchi ya ahadi
Nchi ya maziwa na asali
Mahali furaha na amani yako ipo
Nikamweleza ya rohon.dana dana mbilu tatu tukawa kwenye mahusiano.
Akila Diploma nikiwa degree kuna magali tutapishana mwaka mmoja
Kwa jinsi nilivyokuwa seruous na yule dada
Nishamtambulisha kila corner ya dunia including ndugu zangu.
Sitaki mtu alete story za ooo mapenzi na shule huwezi changanya
Hii ni big no kila.mmoja ana njia yake bana.
So
Good thing nilikuwa mpambanaji mno
Tena sana,niko chuo napata mkopo ila nina biashara zangu
Napata like 10,000 to 20,000 daily you can imagine na sikuwa mtu wa kwenda bar wala bata najua kanisani tu na restautants za mjin.
Ni kati ya wanafunzi chuoni niliishi maisha ya furaha sana ukichangia na baby wangu haaaaa
Full amani
Hapo kati panakuwaga na mapito ila hayakuwa magum
So
Mwaka 2011 mwezi wa 9 baby angu huyu kaja
Mji niliopo yeye kwao ni Dar
Lakin hakuna na furaha usoni
Na mwenye hofu kidogo
Nikamdadisi hakuweza sema lolote
Kama.kawa ile.game nilikuwa napiga pale it was a next level to date nasikiaga ile sauti masikion
Ile love cry.aisee its was a such beatifull moment.sijui unajua ile hali ya kupiga game na mwenza mnaependana na mnajuana vizuri
Ile ndo love feeling nzuri.
Sasa baada ya week mbili nikapewa taharifa ya mimba.
Kumbuka nilishaanza maandalizi ya engegement kimya kimya
Ile mimba ikafanya nisimamishe kila kitu.
Kama.kawaidia nikaanza kuhudumia
Yeye kamaliza chuo tukakubaliana nenda home kwenu.
Then i will support kila kitu na trust me mm ndo mme wako
So.its was ok maisha yakaenda.
Mm ni wale tunapataga ndoto ya matukio sometimes before hayajayokea
Usiku mmoja nikapata ndoto
Ikiwa na maelekezo yenye options

(Ndoto ikanambia mwenzio anajifungua leo mtoto wa kiume,fine mpe jina la John and imediately muite mama Johh,but when it happen in either way jina likaombwa kibadiliswa then mtoto si wako)
Da its was a very difficult message to me usiki ule
Kweli alfajil naamka na simu ya baby ananambia Baby mbona hunipi Hongera
Nilajibu hongera my love kwa kuniletea mtoto wa kiume (jembe) please rename him John
Sawa mama John mke wangu mtarajiwa
Aisee ilikuwa trh 6 June.2012
Hapa nishawambia washkaji zangu chuo ndo tunaingue final exams bado kama week 3 ama 4.
Inafika trh 10 june napokea ujumbe usiniite mama John niite mama Brian
Sikui unaweza hata hisi ile feeling niliyopitia
Kale ka chozi ka uchungu
Ile.stress ya kujua tu ukweli.
Aisee nilipiga simu kama 3 ni kweli aliogopa na kunambia ukweli
Nakauliza why this.
Kajibu niliogopa kukupoteza maana ww ni mwanaumw bora sana nimewahi ona and sikuwa na jinsi niliona ww ndo chaguo sasa ni shetani amenipitia.
Nimepunguza vitu
But laana zipo bana
Nilimwabia nakufungia baraka na leo mm nalia kwa uchungu siku nikinyamaza utaanza kulia wewe unless nikufutie kifungo.
Hapo kuna story nyingine achana nayo kwanza.
Kwa sasa niko na familia yangu
Mwanamke mwingine mwema tu
Watoto 3 maisha mazuri yenye baraka na amani.
Story ya dada ilihitimishwa na mmoja wa rafiki zake alinambia jambo moja
SHEM HUYU HAKUWA CHAGUO LAKO TOKA KWA BWANA.SONGWA MBELE ATAKUJA SAHIHI.
end ingawa nimepunguza contents.
 
Nataka siku anikute nae nimringishe
Mkuu, Hili halina umuhimu na usipokuwa makini utaanza kufanya mambo sio kwa ajili yako bali kwa ajili yake na ndo maigizo huanzia hapo.

Kesho kapata mwenza mwenye uwezo na heshima kwenye jamii huku ww umeachana na mnyarwanda utaanza maigizo ukijaribu kumuonyesha kuwa una furaha kuliko yeye.

Furahia maisha yako bila kumjali, ushamuacha kwann ujali kuhusu hisia zake? Achana nae, Atajua mwenyewe huko.
 
Inafika trh 10 june napokea ujumbe usiniite mama John niite mama Brian
Sikui unaweza hata hisi ile feeling niliyopitia
Kale ka chozi ka uchungu
Ile.stress ya kujua tu ukweli.
Aisee nilipiga simu kama 3 ni kweli aliogopa na kunambia ukweli
Mzee kama nakuona hivi.
 
Better nimepata sehem ya kutoa story yangu
True story
Itakuwa fupi kidogo kutowachosha wasomaji
Mwaka 2010 nilikutana na binti mmoja kwenye kongamano la dini chuoni (University) mm ni Rc but naendaga matamasha ya dini nyingine
It happen sometimes.
Bana tumekaa sehem jilan kila nikimuangalia roho inasema hapa ndo ile nchi ya ahadi
Nchi ya maziwa na asali
Mahali furaha na amani yako ipo
Nikamweleza ya rohon.dana dana mbilu tatu tukawa kwenye mahusiano.
Akila Diploma nikiwa degree kuna magali tutapishana mwaka mmoja
Kwa jinsi nilivyokuwa seruous na yule dada
Nishamtambulisha kila corner ya dunia including ndugu zangu.
Sitaki mtu alete story za ooo mapenzi na shule huwezi changanya
Hii ni big no kila.mmoja ana njia yake bana.
So
Good thing nilikuwa mpambanaji mno
Tena sana,niko chuo napata mkopo ila nina biashara zangu
Napata like 10,000 to 20,000 daily you can imagine na sikuwa mtu wa kwenda bar wala bata najua kanisani tu na restautants za mjin.
Ni kati ya wanafunzi chuoni niliishi maisha ya furaha sana ukichangia na baby wangu haaaaa
Full amani
Hapo kati panakuwaga na mapito ila hayakuwa magum
So
Mwaka 2011 mwezi wa 9 baby angu huyu kaja
Mji niliopo yeye kwao ni Dar
Lakin hakuna na furaha usoni
Na mwenye hofu kidogo
Nikamdadisi hakuweza sema lolote
Kama.kawa ile.game nilikuwa napiga pale it was a next level to date nasikiaga ile sauti masikion
Ile love cry.aisee its was a such beatifull moment.sijui unajua ile hali ya kupiga game na mwenza mnaependana na mnajuana vizuri
Ile ndo love feeling nzuri.
Sasa baada ya week mbili nikapewa taharifa ya mimba.
Kumbuka nilishaanza maandalizi ya engegement kimya kimya
Ile mimba ikafanya nisimamishe kila kitu.
Kama.kawaidia nikaanza kuhudumia
Yeye kamaliza chuo tukakubaliana nenda home kwenu.
Then i will support kila kitu na trust me mm ndo mme wako
So.its was ok maisha yakaenda.
Mm ni wale tunapataga ndoto ya matukio sometimes before hayajayokea
Usiku mmoja nikapata ndoto
Ikiwa na maelekezo yenye options

(Ndoto ikanambia mwenzio anajifungua leo mtoto wa kiume,fine mpe jina la John and imediately muite mama Johh,but when it happen in either way jina likaombwa kibadiliswa then mtoto si wako)
Da its was a very difficult message to me usiki ule
Kweli alfajil naamka na simu ya baby ananambia Baby mbona hunipi Hongera
Nilajibu hongera my love kwa kuniletea mtoto wa kiume (jembe) please rename him John
Sawa mama John mke wangu mtarajiwa
Aisee ilikuwa trh 6 June.2012
Hapa nishawambia washkaji zangu chuo ndo tunaingue final exams bado kama week 3 ama 4.
Inafika trh 10 june napokea ujumbe usiniite mama John niite mama Brian
Sikui unaweza hata hisi ile feeling niliyopitia
Kale ka chozi ka uchungu
Ile.stress ya kujua tu ukweli.
Aisee nilipiga simu kama 3 ni kweli aliogopa na kunambia ukweli
Nakauliza why this.
Kajibu niliogopa kukupoteza maana ww ni mwanaumw bora sana nimewahi ona and sikuwa na jinsi niliona ww ndo chaguo sasa ni shetani amenipitia.
Nimepunguza vitu
But laana zipo bana
Nilimwabia nakufungia baraka na leo mm nalia kwa uchungu siku nikinyamaza utaanza kulia wewe unless nikufutie kifungo.
Hapo kuna story nyingine achana nayo kwanza.
Kwa sasa niko na familia yangu
Mwanamke mwingine mwema tu
Watoto 3 maisha mazuri yenye baraka na amani.
Story ya dada ilihitimishwa na mmoja wa rafiki zake alinambia jambo moja
SHEM HUYU HAKUWA CHAGUO LAKO TOKA KWA BWANA.SONGWA MBELE ATAKUJA SAHIHI.
end ingawa nimepunguza contents.
🤣🤣🤣Binti mlokole alikuwa analiwa na mlokole mwenzie,wewe Roman alikuona jau,mimi pia wakati nikiwa chuo nilikuwa nahudhuria Sana mikesha ya walokole ilhal mie mroma,nilikuwa napenda vibe lao.

Tulikuwa tunaishi hostel na shost angu cecy,saivi injinia🤣cha ajabu tuko mwaka wa 4,cecy ananambia mjamzito,wakati alikuwa full mlokole,wa kuniombea mie 🤣🤣mie wa mataifa nimetoka chuo na clean sheet🙏🤔 anyways ilikuwa sehemu ya growth.
 
Better nimepata sehem ya kutoa story yangu
True story
Itakuwa fupi kidogo kutowachosha wasomaji
Mwaka 2010 nilikutana na binti mmoja kwenye kongamano la dini chuoni (University) mm ni Rc but naendaga matamasha ya dini nyingine
It happen sometimes.
Bana tumekaa sehem jilan kila nikimuangalia roho inasema hapa ndo ile nchi ya ahadi
Nchi ya maziwa na asali
Mahali furaha na amani yako ipo
Nikamweleza ya rohon.dana dana mbilu tatu tukawa kwenye mahusiano.
Akila Diploma nikiwa degree kuna magali tutapishana mwaka mmoja
Kwa jinsi nilivyokuwa seruous na yule dada
Nishamtambulisha kila corner ya dunia including ndugu zangu.
Sitaki mtu alete story za ooo mapenzi na shule huwezi changanya
Hii ni big no kila.mmoja ana njia yake bana.
So
Good thing nilikuwa mpambanaji mno
Tena sana,niko chuo napata mkopo ila nina biashara zangu
Napata like 10,000 to 20,000 daily you can imagine na sikuwa mtu wa kwenda bar wala bata najua kanisani tu na restautants za mjin.
Ni kati ya wanafunzi chuoni niliishi maisha ya furaha sana ukichangia na baby wangu haaaaa
Full amani
Hapo kati panakuwaga na mapito ila hayakuwa magum
So
Mwaka 2011 mwezi wa 9 baby angu huyu kaja
Mji niliopo yeye kwao ni Dar
Lakin hakuna na furaha usoni
Na mwenye hofu kidogo
Nikamdadisi hakuweza sema lolote
Kama.kawa ile.game nilikuwa napiga pale it was a next level to date nasikiaga ile sauti masikion
Ile love cry.aisee its was a such beatifull moment.sijui unajua ile hali ya kupiga game na mwenza mnaependana na mnajuana vizuri
Ile ndo love feeling nzuri.
Sasa baada ya week mbili nikapewa taharifa ya mimba.
Kumbuka nilishaanza maandalizi ya engegement kimya kimya
Ile mimba ikafanya nisimamishe kila kitu.
Kama.kawaidia nikaanza kuhudumia
Yeye kamaliza chuo tukakubaliana nenda home kwenu.
Then i will support kila kitu na trust me mm ndo mme wako
So.its was ok maisha yakaenda.
Mm ni wale tunapataga ndoto ya matukio sometimes before hayajayokea
Usiku mmoja nikapata ndoto
Ikiwa na maelekezo yenye options

(Ndoto ikanambia mwenzio anajifungua leo mtoto wa kiume,fine mpe jina la John and imediately muite mama Johh,but when it happen in either way jina likaombwa kibadiliswa then mtoto si wako)
Da its was a very difficult message to me usiki ule
Kweli alfajil naamka na simu ya baby ananambia Baby mbona hunipi Hongera
Nilajibu hongera my love kwa kuniletea mtoto wa kiume (jembe) please rename him John
Sawa mama John mke wangu mtarajiwa
Aisee ilikuwa trh 6 June.2012
Hapa nishawambia washkaji zangu chuo ndo tunaingue final exams bado kama week 3 ama 4.
Inafika trh 10 june napokea ujumbe usiniite mama John niite mama Brian
Sikui unaweza hata hisi ile feeling niliyopitia
Kale ka chozi ka uchungu
Ile.stress ya kujua tu ukweli.
Aisee nilipiga simu kama 3 ni kweli aliogopa na kunambia ukweli
Nakauliza why this.
Kajibu niliogopa kukupoteza maana ww ni mwanaumw bora sana nimewahi ona and sikuwa na jinsi niliona ww ndo chaguo sasa ni shetani amenipitia.
Nimepunguza vitu
But laana zipo bana
Nilimwabia nakufungia baraka na leo mm nalia kwa uchungu siku nikinyamaza utaanza kulia wewe unless nikufutie kifungo.
Hapo kuna story nyingine achana nayo kwanza.
Kwa sasa niko na familia yangu
Mwanamke mwingine mwema tu
Watoto 3 maisha mazuri yenye baraka na amani.
Story ya dada ilihitimishwa na mmoja wa rafiki zake alinambia jambo moja
SHEM HUYU HAKUWA CHAGUO LAKO TOKA KWA BWANA.SONGWA MBELE ATAKUJA SAHIHI.
end ingawa nimepunguza contents.
Mkuu Difo hii story yaoo inabidi ukipata muda ufungue uzi kabisa.
 
🤣🤣🤣Binti mlokole alikuwa analiwa na mlokole mwenzie,wewe Roman alikuona jau,mimi pia wakati nikiwa chuo nilikuwa nahudhuria Sana mikesha ya walokole ilhal mie mroma,nilikuwa napenda vibe lao.

Tulikuwa tunaishi hostel na shost angu cecy,saivi injinia🤣cha ajabu tuko mwaka wa 4,cecy ananambia mjamzito,wakati alikuwa full mlokole,wa kuniombea mie 🤣🤣mie wa mataifa nimetoka chuo na clean sheet🙏🤔 anyways ilikuwa sehemu ya growth.
Eti Wamataifa yeye mteule 😀😀😀
 
Ni jambo jepesi mno kwa sisi wanaume ambao tunavuta bangi.

1. Mwanamke ni dhaifu kosa lolote likitokea msamehe Saba mara sabini.

2. Jifunze kuwa mwepesi wa kusamehe haijalishi ni kosa gani umetendewa.

3. Tumia Sana bangi kupanua wigo wa akili, mtazamo chanya, maamuzi sahihi, kwa siku vuta pisi 8.

4. Kuna makosa mangapi unafanya ila Mungu Mwenyezi anakusamehe, wewe ni Nani hasa ushindwe kusamehe wengine.

5. Mrudie mkeo tunza ndoa, tunza watoto, maisha mengine yaendelee acha kuwa na Mambo mengi.

😊🙃
 
Back
Top Bottom