Soulja boy
JF-Expert Member
- Oct 3, 2015
- 4,052
- 7,375
Maan wanatutisha mzeeHeri kubaki hivihivi tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Maan wanatutisha mzeeHeri kubaki hivihivi tu
DaaaHiki ndio kinatuuma sana sisi wanaume😅😅
Nyege tu angalau uliondoka umempiga miti bao tatu lakini wiki mbili tu anadai ana mimbaNdo maana siamni kwenye bahati mbaya , kivipi bahati mbaya , how????????
UmeonaSiku mwenza wako aki cheat ndoa inapaswa kuishia hapo. Ukilazimisha ndio matokea yako utakuja kuua mtoto wa watu. Afadhali ukishikilia msimamo.
Kwani wewe upoje? Yaani wanakuchukuliaje?Nilimwambia kuwa mtoto ni mweupe mbona
Alijitahidi kuniomba msahama , pamoja na mama yake na dada yake kwa pamoja ila mimi wala.
Mama yake alienda mbali na kusema kama mtoto hutamkubali basi yeye atakaa na mtoto ila mwanae nisiwache.
Kwani wewe upoje? Yaani wanakuchukuliaje?Kuna kipindi mke wangu alijaribu kumtumia my brother ili kunisamehe ila ilishindikana.
Bado najiuliza, upoje upoje, yaani watu huwa wanakuchukuliaje?Na alileta kisingizio cha ndoa yetu ni ya kanisani.
umestresishwa na mahusiano unaenda kupunguzia stress kwenye mahusiano??Mwishowe nilijikuta naingia kwenye mahusiano na mnyarwanda mmoja mdada nilikutanane zanzibar, katika safari zangu za kupunguza stress.
Bado najiuliza kama watu wanakuchukuli serious au comedian?Sasa tangu ex wife wangu kujua hio kuwa nina mtoto na mama yake katangulia ,
Sms , simu sana anaomba turudiane ili anisaidie kunilelea mtoto.
Dah...hadi wazazi wako nao wanaingilika kabisa? Is there something wrong in your family?Simu ni nyingi mpaka naona kero, kuna siku alienda mpaka kwa wazazi wangu anawaomba wajaribu kunishawishi yeye yupo tayari kulea mtoto kama wake.
Msimamo mzuri sana, ila wanakuona haupo serious.Ila mimi kwa usaliti ule daaa. Sina hisia nae kabisa.
Hilo la kung'ang'ania mrudiane nabaki najiuliza sana. Sijui jamii yako inakuona fresh prince, sijui inakuonaje? Maana sielewi kabisa.Ila najua kwa nini anataka kurudiana na mimi.
Mimi kwa sasa maisha yangu yapo fresh sana tena fresh.
Jeeesuuu...kwenu kabisa??? Aisee, there is something wrong huko kwenu.Home wananishauri turudiane coz wote tunawatoto nje.
Na je, anaposema shetani alimpitia, Je huyo jamaa aliyempa mimba ni shetani kweli au ni mtu tu wa kawaida?Ila mimi kwangu nimesema NO.
NB; AKINA DADA SISI WANAUME MNAVYOTUCHEAT UWA TUNAWAZA VITU VINGI SANA , JUST IMAGE UMEMTOLEA MAHARI MKE KAMA MIMI NILITOA 3.5 MILLION, NDOA UNAGHARAMIA, UNAMLETA NYUMBANI KWAKO, UNAMUHUDUMIA , MPAKA UNAMPA NA GARI MWISHOWE UNAAMBULIA USALITI , SISI WANAUME TUNAUMIA SANA NA KUWAZA MENGE, WHY KAFANYA HIVI????
Bado anampenda hapa anajifariji tu🤣🤣🤣 So unataka kumdolishia?msamehe bana alipitiwa tu,ila mwandikishane kuwa hakuna mali yako yoyote itamuhusu,uone reaction yake,nyie ni wazazi msamehe mlee mtoto wenu meembo🙏
Utashangaa hata huyo uliyekuwa umemwoa aliua mwenyewe...Kaz unayoKivipi ni bahati mbaya.
Nielezee hio bahati mbaya inakuwaje?
Fucking shitWanazingu sana 😅
Ndo maana tunaona bora tutunze tu vibunda vyetu
Jamaa kalipia mahari 3.5m na kamnunulia Harrier bado anamtunza af anaenda kumvulia chupi kashikaji tu karibu na mke anapofanya kazi
NdiyoVipi na wewe ulizas nje
Na wewe unamjibu nini mume wako.Siwezi kushindana na mwanaume,,mmewangu huwa ananiuliza hivi ukicheat utaniambia ni nini umekosa maana kila kitu nakupa.Mimi mjanja bwana ukipendwa kaa kwa kutulia ule mema ya nchi.
Sawa.Sijawahi ona kitanda kinazaa
Mumeo anajua ?Ndiyo
KweliOya hayo maumivu sio poa mkuu, Kuna jamaa alisema Ni Bora ufiwe na mwenza wako ila sio ugundue mwenza wako anakusaliti....(namuunga mkono)
Robert Heriel Mtibeli mzabzab
Njooni huku, hawa wadada wanasema kuwa wanataka mume ambaye atampa uhuru, sasa uhuru wakipewa na kigari juu wanabadilika ,
Ukisema wakae home mda water hawataki wanasema mume wangu anipi uhuru, ukisema basi tuwe wote mda wote pia wanasema mume wangu hanipi uhuru.
Sasa dada yetu Kapeace anasema tusiwaache wake zetu kama Adam alimuacha mkewe mpaka akadangaywa na Joka.
(Ni kweli alichosema maana MUNGU alisema mke na mume wawe wote all time)
Sasa iweje sometimes wanataka uhuru wa kwao?
Ndio🤣🤣🤣 So unataka kumdolishia?
Nilikuwa baada ya kuachana na wife na kabla ya kuzaa na niseme mchumbaHatimaye umependa tena
Angemnunulia DILDOBasi hayo ndo matokeo ya kumuacha mke mpweke hamjifunzi kwa Adam tu
🤣🤣Ushalipiza imetosha,msamehe muyajenge,maisha ndo haya haya,huyo mnyarwanda ana mtu wake kwao,huoni mke wa ay alisharud kwao pamoja na harusi babkubwa vile🙏Ndio