Kabisa mkuu.Huhendekeza ngono ndio chanzo za ongezeko la single mother, street childreni na umaskini wa kutupwa kwenye familia.
Nchi yenye watu wa namna hii itakuwa maskini hadi Yesu anarudi
Nimemaanisha mwanaume wangu unafanana nae ktk hilo la kumuacha mwanamke hata kwa miaka kadhaa,Sina element za huyu maana Mimi nisingemchukua hata huyo mtoto wa kike aliyefanana naye, ningemwambia aende na wanaye na wasitumie jina langu.
Ningewafuta wote kichwani. Wanawake wako wengi na sisi ni masperm donor.
Yeah ndo maana Mimi sigawi attention kabisa.Mwanamke hata umfanyie nini hawi wa njia moja wakati wote!
Nazungumza katika ushahidi wangu binafsi kuna mwanamke nilimpa maisha yangu! Achana na kumpa muda nilimpa maisha yangu! Sina lugha rahisi ninayo weza vile nilimpa maisha yangu.
Lakini aliniacha nikiwa naona na macho yangu haya mawili , tena asubuhi kabisa kabla ya mapambazuko , baada ya jana yake kuliwa na jamaa!
Vile ilivyo niuma kipindi kile nilihitimisha mwanamke hata umpe nini kesho anaweza kuwa tofauti sana na jana.
Anhaa....inategemea na sababu lakini unajua sio kwamba unamuacha mtu makusudi.Nimemaanisha mwanaume wangu unafanana nae ktk hilo la kumuacha mwanamke hata kwa miaka kadhaa,
Pole mnapigwa matukio sanaMwanamke hata umfanyie nini hawi wa njia moja wakati wote!
Nazungumza katika ushahidi wangu binafsi kuna mwanamke nilimpa maisha yangu! Achana na kumpa muda nilimpa maisha yangu! Sina lugha rahisi ninayo weza vile nilimpa maisha yangu.
Lakini aliniacha nikiwa naona na macho yangu haya mawili , tena asubuhi kabisa kabla ya mapambazuko , baada ya jana yake kuliwa na jamaa!
Vile ilivyo niuma kipindi kile nilihitimisha mwanamke hata umpe nini kesho anaweza kuwa tofauti sana na jana.
Mniandalie tuzo😂😂😂Anhaa....inategemea na sababu lakini unajua sio kwamba unamuacha mtu makusudi.
Anyway Respect kwako kama unajitunza.
Aisee tuzo utaikuta Kwa Mungu.Mniandalie tuzo😂😂😂
Inataka kukana na kuirarua nafsi mara 3,Aisee tuzo utaikuta Kwa Mungu.
Maana mpo wachache sana duniani.
Kabisa ni ngumu sana.Inataka kukana na kuirarua nafsi mara 3,
Sasa ndio azae kabisa? Na hata akizaa anibambikie?😂😂😂Una vielement km vya huyu shemejio, sio vizuri lakini kumuacha mtoto wa watu miaka,, hata akifanya dhambi hapo kiukweli hata Mungu atamsamehe
Na muda mwingi unapotea pamoja na uwekezaji mkubwaKabisa mkuu.
Ngono kupitiliza na umaskini huwa vinaendana, kufanya ngono sana inapunguza sana thinking capacity.
Mwanamke hawezi kutumikia mabwana wawili hata maandiko yameandika.Mwanamke akitoka nje ya Ndoa
Ukathibitisha hupaswi msamehe kabisa
Mwanamke ukimdaka na mwanaume hupaswi kabisa kuendelea nae au kuongea naye, we muache hata kama mna watoto muache atajijua mwenyewe
Ulikosea wapi mkuu? Usije ikawa unaamini kwamba kumpa pesa ndio umemaliza kila kituMwanamke hata umfanyie nini hawi wa njia moja wakati wote!
Nazungumza katika ushahidi wangu binafsi kuna mwanamke nilimpa maisha yangu! Achana na kumpa muda nilimpa maisha yangu! Sina lugha rahisi ninayo weza vile nilimpa maisha yangu.
Lakini aliniacha nikiwa naona na macho yangu haya mawili , tena asubuhi kabisa kabla ya mapambazuko , baada ya jana yake kuliwa na jamaa!
Vile ilivyo niuma kipindi kile nilihitimisha mwanamke hata umpe nini kesho anaweza kuwa tofauti sana na jana.
Brother niliwaza sana sehemu nilipokosea nikakosa, yaani ile unajichinguza a mpaka z sehemu ulipokesea unakosa!Ulikosea wapi mkuu? Usije ikawa unaamini kwamba kumpa pesa ndio umemaliza kila kitu
Kwani alizaa nje? Au alipata bwana mpya?Brother niliwaza sana sehemu nilipokosea nikakosa, yaani ile unajichinguza a mpaka z sehemu ulipokesea unakosa!
Baada ya miaka kumi hivi nilikuja kumuuliza yeye binafsi nilipokosea alikiri hakukua na kosa toka kwanbjy hata yeye mwenyewe hakujua nini kilichomtokea.
Mwanamke ndugu yangu mwache awe mama, awe dada awe mwana lakini nje ya hapo Aisee chukua tahadhari sana.
Pesa sio Kila kitu.Ulikosea wapi mkuu? Usije ikawa unaamini kwamba kumpa pesa ndio umemaliza kila kitu
Wanawake wote hawafanani , ni upumbavu kuchukia wanawake kisa malaya mmoja.Pole sana, umenifurahisha hujachukia wanawake wote sababu ya mwanamke mmoja asiyejitambua huo ndio uwanaume[emoji4]
Cc [mention]cocastic [/mention] uduguu hii story inafanana na ya jamaa yetu wa kibaha [emoji1787][emoji1787]