Tulioacha wake zetu kwa sababu ya usaliti waliotufanyia tukutane hapa

Eti Wamataifa yeye mteule πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
🀣Eeh hawa walokole,waprotestant na the like huwa wanatuona waroma,kama ukristo wetu haujakamilika,wakati sie tunaomba na kureason pia.

Mimi kuna wakati nilipata changamoto fulan kazini,mdogo wangu,mtoto wa mama mdogo akawa ananiombea na wenzie,yeye ni mlokole wale wa kulialia🀣Sasa siku nimekwenda kwake kumtembelea asubuh ya jpil,ananiamsha ananambia nijiandae tuende ibada huko chachi kwao,nikamwambia muda wetu wa ibada kanisan kwangu bado(roma)naendaga ibada ya tatu.

Basi akaondoka akajiendea huko kanisani kwao,muda wa ibada ya roma ulipofika nikaenda kanisan kwangu roma ya huo mji anaoishi yeye,alooo alikasirika,ikageuka kesi hadi kupiga siku kwa ndugu mbalimbali wa familia.Ila mie nikasimamia msimamo wangu,kuwa mie jpil lazima niabudu roma,popote ninapokuwa na si kwa mtume ama nabii yeyote.πŸ™πŸ™
 
Ule ushauri wa baadhi ya vijana hapa Jf ya kwamba kataa ndoa kwa vyovyote vile upo sawa!
 
Okay..tuendelee na mengine
πŸ˜‚πŸ˜‚ Yani Ivan ni hivi mi mwnyw hapa dogo wangu toka nitoke kabambikiziwa mtoto mwenyewe yuko na moto wa kulea hakuwahi kuwa na mtotoπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ lakini mtoto sio wake na hajui km kapigwa, namcheka tu mambo mengine wanaume mnayataka wenyewe,, huyo binti nilikiwa namkuta amebambiwa mara kibao, mtoto wa kike kazaliwa anafanana na jamaa mmoja niliyewahi kumshtukia na dogo nilimwambia kabla,, baada ya miezi km 2 napewa taarifa kuna mimba,, nikatulia,,,,,, miezi 9 hii hapa mtoto ana mwezi na nusu sasa ila ndo nilipotumiwa picha tu,,,,nikashtuka nikamkubuka jamaa km shangazi mtu nikaumia lakini ndo hivyo nimebaki kutoa macho tu,, na kabla ya kujifungua niliota ndoto isiyo na ishara njema

Kwahiyo sometimes mnapigwa kwa uzembe na kutojali kwenu,
 
sasa unamlingishia nn,,, kumulingishia mtu ni zahili kwamba bado unampenda,, mve on kwanza hatakiwa hata kukuona et una dem fanya ka humjuw...
 
Aisee ..so sad !.. unamsaidiaje sasa huyo kijana hayo ni mambo makubwa sana kuyakalia kimya.Ya Mungu mengi, what if kama mdogo ako atatangulia kuondoka duniani, je mtaweza kutunza watoto wasio wa kwenu na hali mnajua kabisa?
Ujue vijana sometime ni wajinga sana hasa hawa wa leo hii hivyo kuna muda lazima wasaidiwe hata kwa lazima!!!!
 
unakataa ndoa then unaenda kuzaa nao huko nje unawaacha single mother.....tatizo juu ya tatizo
Ndoa lazima zikataliwe kwa sasa kwa sababu aina ya vijana wa leo hawana nguvu ya kubeba usaliti!
Wazee wazamani waliweza kuwa na watoto wasio wao kwenye ndoa zao na maisha yakaenda, siku hizi mke wa kijana kijana wa leo akitongozwa tu anaachwa! Marriage must be a challenge for many
 
Hivi wanawezaje kukaa na Siri kubwa na mbaya kias hiko hawakondi kweli aisee Kwa mawazo?
 
wasiwasi wangu huenda kukatokea maafa ktk malumbano kuhusu huyo mtoto,,, nilishaongea sana inatosha Ivan, wakiuana tutazikaπŸ™ŒπŸ™Œwanaume mko wajinga sana mlisisitizwa mtumie akili kuishi na mwanamke, huwa hamzingatii hiyo sentensi
 
Wazee walikuwa wajinga sana
 
Hivi wanawezaje kukaa na Siri kubwa na mbaya kias hiko hawakondi kweli aisee Kwa mawazo?
Na nilimuuliza muhusika kuwa mtoto hajafanana na yoyote iwe kwako wala kwetu,, akajibu tu kwa aibu hata sijui kafanana na nani huyu mtoto ila hakuwa na furaha,,πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚nikacheka tuπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…