Tulioacha wake zetu kwa sababu ya usaliti waliotufanyia tukutane hapa

Tulioacha wake zetu kwa sababu ya usaliti waliotufanyia tukutane hapa

Aisee ..so sad !.. unamsaidiaje sasa huyo kijana hayo ni mambo makubwa sana kuyakalia kimya.Ya Mungu mengi, what if kama mdogo ako atatangulia kuondoka duniani, je mtaweza kutunza watoto wasio wa kwenu na hali mnajua kabisa?
Ujue vijana sometime ni wajinga sana hasa hawa wa leo hii hivyo kuna muda lazima wasaidiwe hata kwa lazima!!!!
Tena utakuta , binti anang'ang'ania mali kabisa za mdogo wenu kisingizio cha mtoto watafanya nn
Kapeace
Kama ndo hivyo sio kweli unataka kuchangamsha uzi tuu
 
wasiwasi wangu huenda kukatokea maafa ktk malumbano kuhusu huyo mtoto,,, nilishaongea sana inatosha Ivan, wakiuana tutazika🙌🙌wanaume mko wajinga sana mlisisitizwa mtumie akili kuishi na mwanamke, huwa hamzingatii hiyo sentensi
Kama ulishamwambia anakogoma basi sawa.
 
Tena utakuta , binti anang'ang'ania mali kabisa za mdogo wenu kisingizio cha mtoto watafanya nn
Kapeace
Kama ndo hivyo sio kweli unataka kuchangamsha uzi tuu
Siletagi story za abunuwasi, wanaume nyie ni wajinga mnaviona viashiria ila mnapuuza, ndg zenu wa karibu wanawaonesheni lkn mnafumba macho yakiwakuta ndo mnaanza kujiliza liza, komeni
 
Ah sii unaona mwanawane....hapo moral of the story ni kuwa na hela = more options. Ulikuwa unajienjoy na mnyarwanda ukasahau huyo boya.
Mwanaume bwana ukiwa na hela yaani wanawake wee ni kuchakata tuu wala huna atashida ya kuoa.

Ila bwana wee ebu fanya kitu kimoja. Huyo former wife ebu fanya kumrudisha nyumbani hapo. Mke kutombwa sio kitu cha kumaindi mzeya. Mbususu sii bado ipo pale pale. Hela unayo sasa shida iko wapi? Ameshajifunza huyo akirudi hapo nakwambia ata tigo atakupa😜
No kurudiana nae, kashazaaa ni usaliti mkubwa sana
 
Mimi nashangaa sana,
Kuna jamaa mmoja aliambukizwa HIV na mkewe.
Hivi mtu unaenda kuzini na mtu ambaye hakuusu, ujali kama ana HIV wala nini
Daaa
Mie niseme ukweli tuu...wengi wetu wenye hiv tuna roho ya visasi yaani tunajua kabisa huyu namuambukiza makusudi. Acha tuu tukachomwe motoni maana kama mie ndio kabisaaa
 
Rejea hapa: Msamehe kama kakiri kosa lake na anaonesha kujutia, Maandiko yanatuasa kusameheana, Msamehe na usahau yote aliyotenda ila narudia tena ILA NAMAANISHA KWAMBA USIJE KAMWE UKARUDIA KUISHI NAE PAMOJA. Baba yangu aliwahi kuniambia kwamba iwapo tu we kufanya hivyo 'UTAKUFA'
Mwanamke akikufanyia kitu kibaya afu ukasamehe anakuona kama boya hivi.
 
Kuna wanawake washenzi ila na mwanaume anakuwa poyoyo zaidi ni kama tahira tu asiyetema udenda, mi navojua mwanaume inabidi ukae chonjo shtua mara moja kawapime watoto, na ukisoma wengi humu walipata dalili lkn wakapuuzia
Ni kweli asee ni vyema wanaume wakaenda kulima watoto wao ili wajue kama ni wao au la.
 
Kuwa karibu na mke sio guarantee ya kutopigwa tukio, hawajitambui tu.

Tumeshuhudia Mara kibao tu mume na mke Wana ofisi moja kariakoo wanatoka wote home wanashinda wote kwenye biashara zao na wanarudi wote home wakiwa kwenye range yao.

Siku mwanangu alivyoenda kufunga mzigo kariakoo jimama jeupe lenye mshape wake likamzimia mwana na kubadilishana namba.

Jimama Sasa hv Safari za mkoani haziishi linamzuga mmewake kuwa linakuja mkoa kutafuta wateja wapya wa bidhaa kumbe anaishia guest nzuri na kupakuliwa na mjeshi wangu.

Na kila likija linakuja na mizawadi na mapochopocho ya kila aina badi ni full mserereko.

Unajua nn? Mwana alimuuliza siku moja kwa nn unasaliti kambi jimama likamjibu " kijana kula maisha hizi ndoa zinakinaisha wkt mwingine, kwake anapata kila kitu isipokuwa kuna muda wanatamani kupata changamoto ya mjegeje sehemu nyingine"

Pia muda wote kushinda na husband wake inampotezea mood ya kumiss na kumuona mume wake Ni wakawaida hivyo hujihisi hayupo sawa kwa maelezo yake.

Hv tunapoongea mwana yupo kumalizia kupauwa nyumba yake kwa mshiko anaopewa na jimama Kama payback ya kumsugua vizuri.

Mume yy analinda frem kariakoo akiamini kweli jimama linatafuta wateja wapya huku mkoani.

Aisee dunia ina mambo mengi na hayaishi, usijiapize kabla halijakukuta.
Siku akilambwa risasi uje kutoa ushuhuda
 
Nipo sasa nimerudiana na mdada wa kinyarwanda, sijui kama anampango wa kuolewa huko kwao sijui ila nipo nae sasa japo tunakutana siku moja moja sana.
Ila napanga siku my ex wife anikute na mrembo wa kitutsi japo kanizidi urefu kidogo, si unajua watutsi walivyo warefu.

Nataka siku anikute nae nimringishe mwezi uliopita nilijaribu ila sikufanikiwa coz maeneo tuliokuwepo kulikuwa na watu wazima na wengine nafaamiana nao so nikaona noma.
Kukaza kote huko kumbe bado unampenda hujamove on, akiongeza kasi ya kuomba msamaha unamsamehe huyo.

Sasa umringishie ili iweje, nae akipata kibopa aje akuringishie uanze wew kuomba misamaha, maisha ya kipuuzi kabisa hayo..

Kama umemuacha for good unaweza hata kumpa mtaji ajiendeleze, huna hisia nae unamtafuta ili umuumize halafu wewe unafaidika nini??
 
Back
Top Bottom