Kwa hiyo unachosema ni kuwa ata wewe mumeo utamcheat na unatarajia akisamee?Nimekuja mshauri huyu mdau asimwache mke wa ujana wake,manake hata bibilia imekataza Hilo🙏
Ila jamani kama mnacheat hakikisheni haichomoki alafu mkairudisha ndani kwa mikono yenu....hicho ndicho kinakujaga akilini kwanza