Tuliofanikiwa kwa michongo hatari baada ya kuona hakuna njia ya kutoboa

Tuliofanikiwa kwa michongo hatari baada ya kuona hakuna njia ya kutoboa

mr pipa

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2021
Posts
3,074
Reaction score
6,472
Miaka kumi nyuma nimemaliza zangu shule naingia mtaani sina ramani ya kipi kifanyike nitoboe kimaisha

Nikaanza harakati za hapa na pale kuchimba vyoo nipo, ukuli nipo, nk piga kazi kwa nguvu zote kila mchongo ukitokea nipo

Lakini kila nikitazama malengo na kazi ninazofanya imani ya kutoboa inagoma

Nikaamua kwenda machimbo ya dhahabu asee kule nikakutana na miamba yenye bahati zao yaani yeye lengo lake kushika milion mia tano ile akipata milioni kumi ni kula bata siku tatu imekata anarudi tena job

Nikamwambia Mungu nisaidie na mimi nipate japo m5 tu nikaanzishe japo ka biashara

Basi nikaanza kupambana sana miezi 8 ikakata nakuja ambulia laki 5 hapo familia inaitaji pesa ikabidi nigawe laki 3 niwatumie

Hapo sina nguo na mademu sikuwagusa kitambo niko na haam hatari miezi nane kwa mwanaume acha tu!

Nikajikuta pesa imekata nikaanza upya nakumbuka nimesota chimbo kalibu miaka miwili

Nikawaza umri nao unaenda nikisema ni base kwenye jambo moja nitafeli nakumbuka nilikuwa na shilingi milioni moja

Nikarudi kitaa kuja kulima msimu umefika nikapata Junia za mahindi kama 30

Enzi zile ndio anajitokeza yule tajiri wa mkako basi nikapeleka kuuza kilichofuata hakuna mtanzania asiye jua yule mwamba alitufanya nini wakulima

Ikanipasa kuanza upya naingia wapi sielewi nikajikuta napanda gari naelekea mkoa x nimefika ule mkoa baada ya wiki kama tatu nikapata kazi ya kufyatua matofali ya block nikapiga

Hadi msimu unakata nikajikuta nina laki 8 nikarudi kufanya biashara ya mbao nimepambana, nikajikuta nimejenga kanyumba kakimtindo nikanunua na kapikipiki nikasema asante Mungu

Nikakopa bank kama milioni 8 hivi ili kubusti mtaji kujazia mtaji kwenye mbao ile pesa ndani ya miezi 6 ikakua mpaka ikafikia milion 30

Nikasema kwa kuwa nimekuwa ngoja nitafute soko la nje ya mkoa
Nikapatana na mfanyabiashara mwenzangu tukapata mteja Dar es Salaam

Asee ile siku sitoisahau picha linaanza tumewasili dar majira ya saa moja jioni tukiwa na mzigo wa mbao kama gari Scania mbili hivi

Tukazishusha nikapewa shilingi milioni 1 kwa ajili ya hapa na pale asubuhi tuje tupige hesabu tulipane

Ile nakuja asubuhi kwenye lile eneo hakuna kitu yaani tulipo shusha zile mbao ni peupe hata ubao hakuna

Pigia simu kwa wale jamaa hawapatikani kumbe dili lilishasukwa kitambo na yule jamaa ambaye nilifanya nae biashara mwanzo

Aisee nakumbuka natoka pale napanda gari hadi nafika home sijielewi na sielewi nini nifanye nikawa nusu mtu nusu chizi

Na vile sikumwambia mtu yoyote kilichonitokea baada ya muda watu wakahisi nimekosea masharti ya mganga

Miezi 7 imepita bank wakaja tangaza kuuza nyumba maana nilikopa tena kama m20

Hapo kila mtu kanitenga wakijua nimefilisika sababu ya hela za manyoka

Nikawaza kujiua roho ikaniambia hapana jiue kwa faida hapo ndipo nikaanza kuingia kwenye michongo hatari ........ Mwendelezo nauweka hapo kwenye comment mana ni dili haramu haramu so asanten
 
Miaka kumi nyuma nimemaliza zangu shule naingia mtaani sina ramani ya kipi kifanyike nitoboe kimaisha

Nikaanza harakati za hapa na pale kuchimba vyoo nipo, ukuli nipo, nk piga kazi kwa nguvu zote kila mchongo ukitokea nipo

Lakini kila nikitazama malengo na kazi ninazofanya imani ya kutoboa inagoma

Nikaamua kwenda machimbo ya dhahabu asee kule nikakutana na miamba yenye bahati zao yaani yeye lengo lake kushika milion mia tano ile akipata milioni kumi ni kula bata siku tatu imekata anarudi tena job

Nikamwambia Mungu nisaidie na mimi nipate japo m5 tu nikaanzishe japo ka biashara


Basi nikaanza kupambana sana miez 8 ikakata nakuja ambulia laki 5 hapo familia inaitaji pesa ikabidi nigawe laki 3 niwatumie

hapo sina nguo na mademu sikuwagusa kitambo niko na haam hatari miez nane kwa mwanaume acha tu

Nikajikuta pesa imekata nikaanza upya nakumbuka nimesota chimbo kalibu miaka miwili

Nikawaza umri nao unaenda nikisema ni base kwenye jambo moja nitafeli nakumbuka nilikuwa na shilingi milioni moja

Nikarudi kitaa kuja kulima msimu umefika nikapata Junia za mahind kama 30

enzi zile ndio anajitokeza yule tajiri wa mkako basi nikapeleka kuuza kilichofuata hakuna mtanzania asiye jua yule mwamba alitufanya nini wakulima

Ikanipasa kuanza upya naingia wapi sielewi nikajikuta napanda gari naelekea mkoa x nimefika ule mkoa baada ya wiki kama tatu nikapata kazi ya kufyatua matofali ya block

nikapiga
Hadi msimu unakata nikajikuta nina laki 8 nikarudi kufanya biashara ya mbao nimepambana, nikajikuta nimejenga kanyumba kakimtindo nikanunua na kapikipik nikasema asante Mungu

Nikakopa bank kama milioni 8 hivi ili kubusti mtaji kujazia mtaji kwenye mbao ile pesa ndani ya miezi 6 ikakua mpaka ikafikia milion 30

Nikasema kwa kuwa nimekuwa ngoja nitafute soko la nje ya mkoa
Nikapatana na mfanya biashara mwenzangu tukapata mteja dar es lam


Asee ile siku sitoi sahau picha linaanza tumewasili dar majila ya saa moja jioni tukiwa na mzigo wa mbao kama scania mbili hivi

tukazishusha nikapewa shlng m1 kwaajili ya hapa na pale asubuhi tuje tupige hesabu tulipane


Ile nakuja asubuhi kwenye lile eneo hakuna kitu yaani tulipo shusha zile mbao ni peupe hata ubao hakuna


Pigia simu kwa wale jamaa hawapatikani kumbe dili lilishasukwa kitambo na yule jamaa ambaye nilifanya nae biashara mwanzo


asee nakumbuka natoka pale napanda gari hadi nafika home sijielewi na sielewi nini nifanye nikawa nusu mtu nusu chizi

Na vile sikumwambia mtu yoyote kilichonitokea baada ya muda watu wakahisi nimekosea masharti ya mganga

Miezi 7 imepita bank wakaja tangaza kuuza nyumba mana nilikopa tena kama m20

Hapo kila mtu kanitenga wakijua nimefilisika sababu ya hela za manyoka

Nikawaza kujiua roho ikaniambia hapana jiue kwa faida hapo ndipo nikaanza kuingia kwenye michongo hatari ...............nakuja endelea
Ulifanyiwa Hatari,ukafanya michongo Hatari! Shamba la Bwana Ally,mbuzi wa Bwana Ally .
 
Sawa
Miaka kumi nyuma nimemaliza zangu shule naingia mtaani sina ramani ya kipi kifanyike nitoboe kimaisha

Nikaanza harakati za hapa na pale kuchimba vyoo nipo, ukuli nipo, nk piga kazi kwa nguvu zote kila mchongo ukitokea nipo

Lakini kila nikitazama malengo na kazi ninazofanya imani ya kutoboa inagoma

Nikaamua kwenda machimbo ya dhahabu asee kule nikakutana na miamba yenye bahati zao yaani yeye lengo lake kushika milion mia tano ile akipata milioni kumi ni kula bata siku tatu imekata anarudi tena job

Nikamwambia Mungu nisaidie na mimi nipate japo m5 tu nikaanzishe japo ka biashara

Basi nikaanza kupambana sana miez 8 ikakata nakuja ambulia laki 5 hapo familia inaitaji pesa ikabidi nigawe laki 3 niwatumie

hapo sina nguo na mademu sikuwagusa kitambo niko na haam hatari miez nane kwa mwanaume acha tu

Nikajikuta pesa imekata nikaanza upya nakumbuka nimesota chimbo kalibu miaka miwili

Nikawaza umri nao unaenda nikisema ni base kwenye jambo moja nitafeli nakumbuka nilikuwa na shilingi milioni moja

Nikarudi kitaa kuja kulima msimu umefika nikapata Junia za mahind kama 30

enzi zile ndio anajitokeza yule tajiri wa mkako basi nikapeleka kuuza kilichofuata hakuna mtanzania asiye jua yule mwamba alitufanya nini wakulima

Ikanipasa kuanza upya naingia wapi sielewi nikajikuta napanda gari naelekea mkoa x nimefika ule mkoa baada ya wiki kama tatu nikapata kazi ya kufyatua matofali ya block nikapiga

Hadi msimu unakata nikajikuta nina laki 8 nikarudi kufanya biashara ya mbao nimepambana, nikajikuta nimejenga kanyumba kakimtindo nikanunua na kapikipik nikasema asante Mungu

Nikakopa bank kama milioni 8 hivi ili kubusti mtaji kujazia mtaji kwenye mbao ile pesa ndani ya miezi 6 ikakua mpaka ikafikia milion 30

Nikasema kwa kuwa nimekuwa ngoja nitafute soko la nje ya mkoa
Nikapatana na mfanya biashara mwenzangu tukapata mteja dar es lam

Asee ile siku sitoi sahau picha linaanza tumewasili dar majila ya saa moja jioni tukiwa na mzigo wa mbao kama scania mbili hivi

Tukazishusha nikapewa shlng m1 kwaajili ya hapa na pale asubuhi tuje tupige hesabu tulipane

Ile nakuja asubuhi kwenye lile eneo hakuna kitu yaani tulipo shusha zile mbao ni peupe hata ubao hakuna

Pigia simu kwa wale jamaa hawapatikani kumbe dili lilishasukwa kitambo na yule jamaa ambaye nilifanya nae biashara mwanzo

asee nakumbuka natoka pale napanda gari hadi nafika home sijielewi na sielewi nini nifanye nikawa nusu mtu nusu chizi

Na vile sikumwambia mtu yoyote kilichonitokea baada ya muda watu wakahisi nimekosea masharti ya mganga

Miezi 7 imepita bank wakaja tangaza kuuza nyumba mana nilikopa tena kama m20

Hapo kila mtu kanitenga wakijua nimefilisika sababu ya hela za manyoka

Nikawaza kujiua roho ikaniambia hapana jiue kwa faida hapo ndipo nikaanza kuingia kwenye michongo hatari ...............nakuja endelea
 
20241217_115525~2.jpg
 
Back
Top Bottom