Tuliofanikiwa kwa michongo hatari baada ya kuona hakuna njia ya kutoboa

Tuliofanikiwa kwa michongo hatari baada ya kuona hakuna njia ya kutoboa

Miaka kumi nyuma nimemaliza zangu shule naingia mtaani sina ramani ya kipi kifanyike nitoboe kimaisha

Nikaanza harakati za hapa na pale kuchimba vyoo nipo, ukuli nipo, nk piga kazi kwa nguvu zote kila mchongo ukitokea nipo

Lakini kila nikitazama malengo na kazi ninazofanya imani ya kutoboa inagoma

Nikaamua kwenda machimbo ya dhahabu asee kule nikakutana na miamba yenye bahati zao yaani yeye lengo lake kushika milion mia tano ile akipata milioni kumi ni kula bata siku tatu imekata anarudi tena job

Nikamwambia Mungu nisaidie na mimi nipate japo m5 tu nikaanzishe japo ka biashara

Basi nikaanza kupambana sana miez 8 ikakata nakuja ambulia laki 5 hapo familia inaitaji pesa ikabidi nigawe laki 3 niwatumie

hapo sina nguo na mademu sikuwagusa kitambo niko na haam hatari miez nane kwa mwanaume acha tu

Nikajikuta pesa imekata nikaanza upya nakumbuka nimesota chimbo kalibu miaka miwili

Nikawaza umri nao unaenda nikisema ni base kwenye jambo moja nitafeli nakumbuka nilikuwa na shilingi milioni moja

Nikarudi kitaa kuja kulima msimu umefika nikapata Junia za mahind kama 30

enzi zile ndio anajitokeza yule tajiri wa mkako basi nikapeleka kuuza kilichofuata hakuna mtanzania asiye jua yule mwamba alitufanya nini wakulima

Ikanipasa kuanza upya naingia wapi sielewi nikajikuta napanda gari naelekea mkoa x nimefika ule mkoa baada ya wiki kama tatu nikapata kazi ya kufyatua matofali ya block nikapiga

Hadi msimu unakata nikajikuta nina laki 8 nikarudi kufanya biashara ya mbao nimepambana, nikajikuta nimejenga kanyumba kakimtindo nikanunua na kapikipik nikasema asante Mungu

Nikakopa bank kama milioni 8 hivi ili kubusti mtaji kujazia mtaji kwenye mbao ile pesa ndani ya miezi 6 ikakua mpaka ikafikia milion 30

Nikasema kwa kuwa nimekuwa ngoja nitafute soko la nje ya mkoa
Nikapatana na mfanya biashara mwenzangu tukapata mteja dar es lam

Asee ile siku sitoi sahau picha linaanza tumewasili dar majila ya saa moja jioni tukiwa na mzigo wa mbao kama scania mbili hivi

Tukazishusha nikapewa shlng m1 kwaajili ya hapa na pale asubuhi tuje tupige hesabu tulipane

Ile nakuja asubuhi kwenye lile eneo hakuna kitu yaani tulipo shusha zile mbao ni peupe hata ubao hakuna

Pigia simu kwa wale jamaa hawapatikani kumbe dili lilishasukwa kitambo na yule jamaa ambaye nilifanya nae biashara mwanzo

asee nakumbuka natoka pale napanda gari hadi nafika home sijielewi na sielewi nini nifanye nikawa nusu mtu nusu chizi

Na vile sikumwambia mtu yoyote kilichonitokea baada ya muda watu wakahisi nimekosea masharti ya mganga

Miezi 7 imepita bank wakaja tangaza kuuza nyumba mana nilikopa tena kama m20

Hapo kila mtu kanitenga wakijua nimefilisika sababu ya hela za manyoka

Nikawaza kujiua roho ikaniambia hapana jiue kwa faida hapo ndipo nikaanza kuingia kwenye michongo hatari ...............nakuja endelea
Kudadeq
 
Miaka kumi nyuma nimemaliza zangu shule naingia mtaani sina ramani ya kipi kifanyike nitoboe kimaisha

Nikaanza harakati za hapa na pale kuchimba vyoo nipo, ukuli nipo, nk piga kazi kwa nguvu zote kila mchongo ukitokea nipo

Lakini kila nikitazama malengo na kazi ninazofanya imani ya kutoboa inagoma

Nikaamua kwenda machimbo ya dhahabu asee kule nikakutana na miamba yenye bahati zao yaani yeye lengo lake kushika milion mia tano ile akipata milioni kumi ni kula bata siku tatu imekata anarudi tena job

Nikamwambia Mungu nisaidie na mimi nipate japo m5 tu nikaanzishe japo ka biashara

Basi nikaanza kupambana sana miezi 8 ikakata nakuja ambulia laki 5 hapo familia inaitaji pesa ikabidi nigawe laki 3 niwatumie

Hapo sina nguo na mademu sikuwagusa kitambo niko na haam hatari miezi nane kwa mwanaume acha tu!

Nikajikuta pesa imekata nikaanza upya nakumbuka nimesota chimbo kalibu miaka miwili

Nikawaza umri nao unaenda nikisema ni base kwenye jambo moja nitafeli nakumbuka nilikuwa na shilingi milioni moja

Nikarudi kitaa kuja kulima msimu umefika nikapata Junia za mahindi kama 30

Enzi zile ndio anajitokeza yule tajiri wa mkako basi nikapeleka kuuza kilichofuata hakuna mtanzania asiye jua yule mwamba alitufanya nini wakulima

Ikanipasa kuanza upya naingia wapi sielewi nikajikuta napanda gari naelekea mkoa x nimefika ule mkoa baada ya wiki kama tatu nikapata kazi ya kufyatua matofali ya block nikapiga

Hadi msimu unakata nikajikuta nina laki 8 nikarudi kufanya biashara ya mbao nimepambana, nikajikuta nimejenga kanyumba kakimtindo nikanunua na kapikipiki nikasema asante Mungu

Nikakopa bank kama milioni 8 hivi ili kubusti mtaji kujazia mtaji kwenye mbao ile pesa ndani ya miezi 6 ikakua mpaka ikafikia milion 30

Nikasema kwa kuwa nimekuwa ngoja nitafute soko la nje ya mkoa
Nikapatana na mfanyabiashara mwenzangu tukapata mteja Dar es Salaam

Asee ile siku sitoisahau picha linaanza tumewasili dar majira ya saa moja jioni tukiwa na mzigo wa mbao kama gari Scania mbili hivi

Tukazishusha nikapewa shilingi milioni 1 kwa ajili ya hapa na pale asubuhi tuje tupige hesabu tulipane

Ile nakuja asubuhi kwenye lile eneo hakuna kitu yaani tulipo shusha zile mbao ni peupe hata ubao hakuna

Pigia simu kwa wale jamaa hawapatikani kumbe dili lilishasukwa kitambo na yule jamaa ambaye nilifanya nae biashara mwanzo

Aisee nakumbuka natoka pale napanda gari hadi nafika home sijielewi na sielewi nini nifanye nikawa nusu mtu nusu chizi

Na vile sikumwambia mtu yoyote kilichonitokea baada ya muda watu wakahisi nimekosea masharti ya mganga

Miezi 7 imepita bank wakaja tangaza kuuza nyumba maana nilikopa tena kama m20

Hapo kila mtu kanitenga wakijua nimefilisika sababu ya hela za manyoka

Nikawaza kujiua roho ikaniambia hapana jiue kwa faida hapo ndipo nikaanza kuingia kwenye michongo hatari ...............nakuja endelea
Hizi hadithi naona siku hizi zimataradadi hapa jukwaani. Na kila msimuliaji anasema ni true story... Well and Good, iwe true isiwe true bado tunawashukuru waletaji, it's too inspirational.

Wabheja wabhabha!!
 
Nimemkumbuka mfanyabiashara mmoja wa mbao alitamba sana enzi hizo barrier alikua anapita Kama chooni vile..... Siku hiyo ana gari zake tano zimejaa mbao na ndani Kama kawaida Kuna meno ya tembo!!!!! Siku hiyo akakamatwa dodoma usiku akaambiwa potea au ndio tayari kesi ya kukamatwa na nyara za serikali,,,, piga simu kwa mkuu wa kitengo Alie kuwa partner wake akajibiwa maamuzi unayo wewe....... Huku na huku jamaa akawampole!!!!! Jamaa akajikusanya akaenda pori Kama kawaida huku anakata mbao na pembe zinakusanywa Kama kawaida kamaliza kuita gari ule muda gari inafika na askari hao.... Jamaa alipata wehu akaanza kupambana mwisho wa siku alishazoea porini Kuna utajiri kule ikiwa bahati Safari moja tu unarudi barabarani..... Bahati haikus nzuri kwake akakamatwa na askari pori na nyama ya swala na tembo akatupwa gerezani alifanikiwa kutoka mwaka juzi. Sasa Yuko nusu mwehu.
 
Tunaendelea.................👇👇👇

Nikawaza kujiua ila nafsi ukasema nijiue kwa faida

Kumbuka benk wameuza nyumba cha juu kikabaki kama milion 3 hivi

Nikawatafutia wananngu na wife nyumba ya kupanga nikalipia miez 9 milioni moja nikampa wife apambane

mfukoni nikabaki na m1 huwa mambo yakiwa magumu huwa naamini kwenda kwenye mkoa au sehem wasipo nifaham

Baada ya kuiweka sawa familia ni huyo nikakwea roli hadi mkoa x nikalipia gest siku ya pili nikatafuta wenyeji uzuri wa mi ni mcheshi nikazama vilabu vya pombe za machicha aka komon

Nikawaagizia watu pombe uzuri hazina bei basi nikaanza tafuta data za huo mkoa kwa watu nikapata siku ya tatu wakanitafuta chumba nikalipa

Nikanunua jamvi na shuka nikatandika chini tayari kwa maisha mapya

Zangu jion ilikuwa kwenda vilabu vya pombe japo umri haukuendana na hizo mambo ila nilisha jizila lengo na nia ni maisha
Na yote ili kupata data wapi nianzie

Nimekaa kama wiki nikapata kazi ya kubebelea kifusi kwenetololi kujaza kwenye msingi wa nyumba kuna miamba ilini unganisha niwale wa vilabu
nikapiga kama siku tano nikajipatia laki tatu

nikanunua jiko na mazaga ya ndani kama ya mwezi hivi

Sijakaa sawa nikapata dili la kupasua mawe kwaajili ya kujengea msingi nikapiga

Kuna siku narud toka job nakutana na mama mmoja hivi alikuwa amepata ajali ya gari yaani alikosa njia akaingia mtaroni kilikuwa kifuku

haikuwa ajari kubwa ila kwa wamama ni kubwa nikawa nimeitoa wana tukamsaidia kutoa gari mtalon

And the day yule mama tulizoeana sana na anatokea nikubali siku moja nilipo mpa story yangu akanionea huruma ndipo alipo nipa mchongo wa pesa haramu dili la pesa bandia

Kwa vile sikuwa na chaguo nikazama


Akanipa masharti na kunionesha kazi inavyofanyika so ulinivutia sana nikasema kuliko kuua watu ngoja nipambane na serikali nikifa ndio kifo ambacho nimekichagua cha faida

Akaniahid kunipa m3 za mtaji na sio kwamba anafanya yeye hapana ila yeye ana watu huko na mbele na wapo kikazi yaan ipo hivi ukiwa njiani a m7 ukiipeleka wale miamba wanakutolea m21 ile saba og yakwao

Asee nikajikuta ndani ya mwezi nina milioni 45 mana ni mwendo wa kuiweka kwa wakala au bank kisha. Kutoa kurudi tena kwa mainjinia

So nikajikuta
Nikaingia kulima bangeeee na heka 8 uzuri connection ikiwepo tena ya matajiri wakubwa nikavuna nikapata kama m150

Sikuishia hapo na hakuna mchongo nilio utosa ni mwendo wa bulu bulu

Kuja piga hesabu miaka miwili nikawa na m345 nikasema ningejiua ingekuwaje

Katika hayo mambo sio kwamba sikukutana na sheria nimefungwa sana mpaka polisi wanaamua wakugeuze kitega uchumi so unachopaswa kujua ogopa

Sana mtu ambaye amejikatia tamaa ya kuishi au mtu ambaye kajiambia liwalo na liwe huyo ni sikio la kufa labda mumuue

nakumbuka nilifanya hizi misheni
Miaka mitano then nikahamia rasmi kwenye uuzaji wa mbao na ualimu wa shule za msingi

saivi napiga kelele na watoto wa shule ndoto zangu zimetimia nimetulia so kifikra nina maadili makubwa kibao kimwili nimeacha yote

Kwa sasa sioni la maana hapa duniani coz vyote nimefanya siwezi ijua kesho yangu ila nimejifunza mengi kupitia haya maisha

usikate tamaa
Haijalishi huna gar mtoto wala nyumba
Pamba ukiona hapa panizingua hamia pangine kulala njaa sio ishu ishu je inatimiza vipi ndoto zako nimemaliza

Nb sihamasishi uvunjwaji wa sheria hiyo ni story yangu tu

Karibu njombe tupigwe baridi ni mimi mwalimu mr pipa✋✋✋✋
 
Tunaendelea.................👇👇👇

Nikawaza kujiua ila nafsi ukasema nijiue kwa faida

Kumbuka benk wameuza nyumba cha juu kikabaki kama milion 3 hivi

Nikawatafutia wananngu na wife nyumba ya kupanga nikalipia miez 9 milioni moja nikampa wife apambane

mfukoni nikabaki na m1 huwa mambo yakiwa magumu huwa naamini kwenda kwenye mkoa au sehem wasipo nifaham

Baada ya kuiweka sawa familia ni huyo nikakwea roli hadi mkoa x nikalipia gest siku ya pili nikatafuta wenyeji uzuri wa mi ni mcheshi nikazama vilabu vya pombe za machicha aka komon

Nikawaagizia watu pombe uzuri hazina bei basi nikaanza tafuta data za huo mkoa kwa watu nikapata siku ya tatu wakanitafuta chumba nikalipa

Nikanunua jamvi na shuka nikatandika chini tayari kwa maisha mapya

Zangu jion ilikuwa kwenda vilabu vya pombe japo umri haukuendana na hizo mambo ila nilisha jizila lengo na nia ni maisha
Na yote ili kupata data wapi nianzie

Nimekaa kama wiki nikapata kazi ya kubebelea kifusi kwenetololi kujaza kwenye msingi wa nyumba kuna miamba ilini unganisha niwale wa vilabu
nikapiga kama siku tano nikajipatia laki tatu

nikanunua jiko na mazaga ya ndani kama ya mwezi hivi

Sijakaa sawa nikapata dili la kupasua mawe kwaajili ya kujengea msingi nikapiga

Kuna siku narud toka job nakutana na mama mmoja hivi alikuwa amepata ajali ya gari yaani alikosa njia akaingia mtaroni kilikuwa kifuku

haikuwa ajari kubwa ila kwa wamama ni kubwa nikawa nimeitoa wana tukamsaidia kutoa gari mtalon

And the day yule mama tulizoeana sana na anatokea nikubali siku moja nilipo mpa story yangu akanionea huruma ndipo alipo nipa mchongo wa pesa haramu dili la pesa bandia

Kwa vile sikuwa na chaguo nikazama


Akanipa masharti na kunionesha kazi inavyofanyika so ulinivutia sana nikasema kuliko kuua watu ngoja nipambane na serikali nikifa ndio kifo ambacho nimekichagua cha faida

Akaniahid kunipa m3 za mtaji na sio kwamba anafanya yeye hapana ila yeye ana watu huko na mbele na wapo kikazi yaan ipo hivi ukiwa njiani a m7 ukiipeleka wale miamba wanakutolea m21 ile saba og yakwao

Asee nikajikuta ndani ya mwezi nina milioni 45 mana ni mwendo wa kuiweka kwa wakala au bank kisha. Kutoa kurudi tena kwa mainjinia

So nikajikuta
Nikaingia kulima bangeeee na heka 8 uzuri connection ikiwepo tena ya matajiri wakubwa nikavuna nikapata kama m150

Sikuishia hapo na hakuna mchongo nilio utosa ni mwendo wa bulu bulu

Kuja piga hesabu miaka miwili nikawa na m345 nikasema ningejiua ingekuwaje

Katika hayo mambo sio kwamba sikukutana na sheria nimefungwa sana mpaka polisi wanaamua wakugeuze kitega uchumi so unachopaswa kujua ogopa

Sana mtu ambaye amejikatia tamaa ya kuishi au mtu ambaye kajiambia liwalo na liwe huyo ni sikio la kufa labda mumuue

nakumbuka nilifanya hizi misheni
Miaka mitano then nikahamia rasmi kwenye uuzaji wa mbao na ualimu wa shule za msingi

saivi napiga kelele na watoto wa shule ndoto zangu zimetimia nimetulia so kifikra nina maadili makubwa kibao kimwili nimeacha yote

Kwa sasa sioni la maana hapa duniani coz vyote nimefanya siwezi ijua kesho yangu ila nimejifunza mengi kupitia haya maisha

usikate tamaa
Haijalishi huna gar mtoto wala nyumba
Pamba ukiona hapa panizingua hamia pangine kulala njaa sio ishu ishu je inatimiza vipi ndoto zako nimemaliza

Nb sihamasishi uvunjwaji wa sheria hiyo ni story yangu tu

Karibu njombe tupigwe baridi ni mimi mwalimu mr pipa✋✋✋✋
Huyo mama alikupa mchongo gani? Hujaeleza kwa kina hapo.
 
Utakatulishaji fedha mwaka gani?? Namjua yule alikua meya wa kijani na mke wake mwalimu??? Boss zako hao au yule diwani maarufu wa kijani aliekua jambazi aliemalizwa na mfumo wa kumaliza majambazi??? Ulikua chama lipi?????
 
Miaka kumi nyuma nimemaliza zangu shule naingia mtaani sina ramani ya kipi kifanyike nitoboe kimaisha

Nikaanza harakati za hapa na pale kuchimba vyoo nipo, ukuli nipo, nk piga kazi kwa nguvu zote kila mchongo ukitokea nipo

Lakini kila nikitazama malengo na kazi ninazofanya imani ya kutoboa inagoma

Nikaamua kwenda machimbo ya dhahabu asee kule nikakutana na miamba yenye bahati zao yaani yeye lengo lake kushika milion mia tano ile akipata milioni kumi ni kula bata siku tatu imekata anarudi tena job

Nikamwambia Mungu nisaidie na mimi nipate japo m5 tu nikaanzishe japo ka biashara

Basi nikaanza kupambana sana miezi 8 ikakata nakuja ambulia laki 5 hapo familia inaitaji pesa ikabidi nigawe laki 3 niwatumie

Hapo sina nguo na mademu sikuwagusa kitambo niko na haam hatari miezi nane kwa mwanaume acha tu!

Nikajikuta pesa imekata nikaanza upya nakumbuka nimesota chimbo kalibu miaka miwili

Nikawaza umri nao unaenda nikisema ni base kwenye jambo moja nitafeli nakumbuka nilikuwa na shilingi milioni moja

Nikarudi kitaa kuja kulima msimu umefika nikapata Junia za mahindi kama 30

Enzi zile ndio anajitokeza yule tajiri wa mkako basi nikapeleka kuuza kilichofuata hakuna mtanzania asiye jua yule mwamba alitufanya nini wakulima

Ikanipasa kuanza upya naingia wapi sielewi nikajikuta napanda gari naelekea mkoa x nimefika ule mkoa baada ya wiki kama tatu nikapata kazi ya kufyatua matofali ya block nikapiga

Hadi msimu unakata nikajikuta nina laki 8 nikarudi kufanya biashara ya mbao nimepambana, nikajikuta nimejenga kanyumba kakimtindo nikanunua na kapikipiki nikasema asante Mungu

Nikakopa bank kama milioni 8 hivi ili kubusti mtaji kujazia mtaji kwenye mbao ile pesa ndani ya miezi 6 ikakua mpaka ikafikia milion 30

Nikasema kwa kuwa nimekuwa ngoja nitafute soko la nje ya mkoa
Nikapatana na mfanyabiashara mwenzangu tukapata mteja Dar es Salaam

Asee ile siku sitoisahau picha linaanza tumewasili dar majira ya saa moja jioni tukiwa na mzigo wa mbao kama gari Scania mbili hivi

Tukazishusha nikapewa shilingi milioni 1 kwa ajili ya hapa na pale asubuhi tuje tupige hesabu tulipane

Ile nakuja asubuhi kwenye lile eneo hakuna kitu yaani tulipo shusha zile mbao ni peupe hata ubao hakuna

Pigia simu kwa wale jamaa hawapatikani kumbe dili lilishasukwa kitambo na yule jamaa ambaye nilifanya nae biashara mwanzo

Aisee nakumbuka natoka pale napanda gari hadi nafika home sijielewi na sielewi nini nifanye nikawa nusu mtu nusu chizi

Na vile sikumwambia mtu yoyote kilichonitokea baada ya muda watu wakahisi nimekosea masharti ya mganga

Miezi 7 imepita bank wakaja tangaza kuuza nyumba maana nilikopa tena kama m20

Hapo kila mtu kanitenga wakijua nimefilisika sababu ya hela za manyoka

Nikawaza kujiua roho ikaniambia hapana jiue kwa faida hapo ndipo nikaanza kuingia kwenye michongo hatari ........ Mwendelezo nauweka hapo kwenye comment mana ni dili haramu haramu so asanten
Mkuu ungelala pale pale mpaka Asubuhi
 
Nilishawamba msalabani na askari Vishoka wa huko boda ya kenya na tanzania baada ya kukutwa na furushi la mirungi , wakanimenya visigino vya miguu wakaniachia katikati ya pori lina wanyama wakali , kwa kukosa kitu kinaitwa kipande na 1000 ksh .

Nikajiburuza na tumbo mpaka nikatokea upande wa tanzania rombo, nikabubujikwa na machozi ya furaha, ndio hiyo siku nikajua ukitaka kujua wewe ni mzalendo wa taifa lako utiwe nguvuni kwenye nchi za watu , halafu uponee chupuchupu ukanyage ardhi ya Tz ndio utaona jinsi ulivyo mzalendo wa kweli .🤣🤣🤣🤣🤣
Dah!!!
 
Back
Top Bottom