Tuliofanikiwa kwa michongo hatari baada ya kuona hakuna njia ya kutoboa

Tuliofanikiwa kwa michongo hatari baada ya kuona hakuna njia ya kutoboa

Tunaendelea.................๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡

Nikawaza kujiua ila nafsi ukasema nijiue kwa faida

Kumbuka benk wameuza nyumba cha juu kikabaki kama milion 3 hivi

Nikawatafutia wananngu na wife nyumba ya kupanga nikalipia miez 9 milioni moja nikampa wife apambane

mfukoni nikabaki na m1 huwa mambo yakiwa magumu huwa naamini kwenda kwenye mkoa au sehem wasipo nifaham

Baada ya kuiweka sawa familia ni huyo nikakwea roli hadi mkoa x nikalipia gest siku ya pili nikatafuta wenyeji uzuri wa mi ni mcheshi nikazama vilabu vya pombe za machicha aka komon

Nikawaagizia watu pombe uzuri hazina bei basi nikaanza tafuta data za huo mkoa kwa watu nikapata siku ya tatu wakanitafuta chumba nikalipa

Nikanunua jamvi na shuka nikatandika chini tayari kwa maisha mapya

Zangu jion ilikuwa kwenda vilabu vya pombe japo umri haukuendana na hizo mambo ila nilisha jizila lengo na nia ni maisha
Na yote ili kupata data wapi nianzie

Nimekaa kama wiki nikapata kazi ya kubebelea kifusi kwenetololi kujaza kwenye msingi wa nyumba kuna miamba ilini unganisha niwale wa vilabu
nikapiga kama siku tano nikajipatia laki tatu

nikanunua jiko na mazaga ya ndani kama ya mwezi hivi

Sijakaa sawa nikapata dili la kupasua mawe kwaajili ya kujengea msingi nikapiga

Kuna siku narud toka job nakutana na mama mmoja hivi alikuwa amepata ajali ya gari yaani alikosa njia akaingia mtaroni kilikuwa kifuku

haikuwa ajari kubwa ila kwa wamama ni kubwa nikawa nimeitoa wana tukamsaidia kutoa gari mtalon

And the day yule mama tulizoeana sana na anatokea nikubali siku moja nilipo mpa story yangu akanionea huruma ndipo alipo nipa mchongo wa pesa haramu dili la pesa bandia

Kwa vile sikuwa na chaguo nikazama


Akanipa masharti na kunionesha kazi inavyofanyika so ulinivutia sana nikasema kuliko kuua watu ngoja nipambane na serikali nikifa ndio kifo ambacho nimekichagua cha faida

Akaniahid kunipa m3 za mtaji na sio kwamba anafanya yeye hapana ila yeye ana watu huko na mbele na wapo kikazi yaan ipo hivi ukiwa njiani a m7 ukiipeleka wale miamba wanakutolea m21 ile saba og yakwao

Asee nikajikuta ndani ya mwezi nina milioni 45 mana ni mwendo wa kuiweka kwa wakala au bank kisha. Kutoa kurudi tena kwa mainjinia

So nikajikuta
Nikaingia kulima bangeeee na heka 8 uzuri connection ikiwepo tena ya matajiri wakubwa nikavuna nikapata kama m150

Sikuishia hapo na hakuna mchongo nilio utosa ni mwendo wa bulu bulu

Kuja piga hesabu miaka miwili nikawa na m345 nikasema ningejiua ingekuwaje

Katika hayo mambo sio kwamba sikukutana na sheria nimefungwa sana mpaka polisi wanaamua wakugeuze kitega uchumi so unachopaswa kujua ogopa

Sana mtu ambaye amejikatia tamaa ya kuishi au mtu ambaye kajiambia liwalo na liwe huyo ni sikio la kufa labda mumuue

nakumbuka nilifanya hizi misheni
Miaka mitano then nikahamia rasmi kwenye uuzaji wa mbao na ualimu wa shule za msingi

saivi napiga kelele na watoto wa shule ndoto zangu zimetimia nimetulia so kifikra nina maadili makubwa kibao kimwili nimeacha yote

Kwa sasa sioni la maana hapa duniani coz vyote nimefanya siwezi ijua kesho yangu ila nimejifunza mengi kupitia haya maisha

usikate tamaa
Haijalishi huna gar mtoto wala nyumba
Pamba ukiona hapa panizingua hamia pangine kulala njaa sio ishu ishu je inatimiza vipi ndoto zako nimemaliza

Nb sihamasishi uvunjwaji wa sheria hiyo ni story yangu tu

Karibu njombe tupigwe baridi ni mimi mwalimu mr pipaโœ‹โœ‹โœ‹โœ‹
pumbafuuuu nakujua wewe
 
Tunaendelea.................๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡

Nikawaza kujiua ila nafsi ukasema nijiue kwa faida

Kumbuka benk wameuza nyumba cha juu kikabaki kama milion 3 hivi

Nikawatafutia wananngu na wife nyumba ya kupanga nikalipia miez 9 milioni moja nikampa wife apambane

mfukoni nikabaki na m1 huwa mambo yakiwa magumu huwa naamini kwenda kwenye mkoa au sehem wasipo nifaham

Baada ya kuiweka sawa familia ni huyo nikakwea roli hadi mkoa x nikalipia gest siku ya pili nikatafuta wenyeji uzuri wa mi ni mcheshi nikazama vilabu vya pombe za machicha aka komon

Nikawaagizia watu pombe uzuri hazina bei basi nikaanza tafuta data za huo mkoa kwa watu nikapata siku ya tatu wakanitafuta chumba nikalipa

Nikanunua jamvi na shuka nikatandika chini tayari kwa maisha mapya

Zangu jion ilikuwa kwenda vilabu vya pombe japo umri haukuendana na hizo mambo ila nilisha jizila lengo na nia ni maisha
Na yote ili kupata data wapi nianzie

Nimekaa kama wiki nikapata kazi ya kubebelea kifusi kwenetololi kujaza kwenye msingi wa nyumba kuna miamba ilini unganisha niwale wa vilabu
nikapiga kama siku tano nikajipatia laki tatu

nikanunua jiko na mazaga ya ndani kama ya mwezi hivi

Sijakaa sawa nikapata dili la kupasua mawe kwaajili ya kujengea msingi nikapiga

Kuna siku narud toka job nakutana na mama mmoja hivi alikuwa amepata ajali ya gari yaani alikosa njia akaingia mtaroni kilikuwa kifuku

haikuwa ajari kubwa ila kwa wamama ni kubwa nikawa nimeitoa wana tukamsaidia kutoa gari mtalon

And the day yule mama tulizoeana sana na anatokea nikubali siku moja nilipo mpa story yangu akanionea huruma ndipo alipo nipa mchongo wa pesa haramu dili la pesa bandia

Kwa vile sikuwa na chaguo nikazama


Akanipa masharti na kunionesha kazi inavyofanyika so ulinivutia sana nikasema kuliko kuua watu ngoja nipambane na serikali nikifa ndio kifo ambacho nimekichagua cha faida

Akaniahid kunipa m3 za mtaji na sio kwamba anafanya yeye hapana ila yeye ana watu huko na mbele na wapo kikazi yaan ipo hivi ukiwa njiani a m7 ukiipeleka wale miamba wanakutolea m21 ile saba og yakwao

Asee nikajikuta ndani ya mwezi nina milioni 45 mana ni mwendo wa kuiweka kwa wakala au bank kisha. Kutoa kurudi tena kwa mainjinia

So nikajikuta
Nikaingia kulima bangeeee na heka 8 uzuri connection ikiwepo tena ya matajiri wakubwa nikavuna nikapata kama m150

Sikuishia hapo na hakuna mchongo nilio utosa ni mwendo wa bulu bulu

Kuja piga hesabu miaka miwili nikawa na m345 nikasema ningejiua ingekuwaje

Katika hayo mambo sio kwamba sikukutana na sheria nimefungwa sana mpaka polisi wanaamua wakugeuze kitega uchumi so unachopaswa kujua ogopa

Sana mtu ambaye amejikatia tamaa ya kuishi au mtu ambaye kajiambia liwalo na liwe huyo ni sikio la kufa labda mumuue

nakumbuka nilifanya hizi misheni
Miaka mitano then nikahamia rasmi kwenye uuzaji wa mbao na ualimu wa shule za msingi

saivi napiga kelele na watoto wa shule ndoto zangu zimetimia nimetulia so kifikra nina maadili makubwa kibao kimwili nimeacha yote

Kwa sasa sioni la maana hapa duniani coz vyote nimefanya siwezi ijua kesho yangu ila nimejifunza mengi kupitia haya maisha

usikate tamaa
Haijalishi huna gar mtoto wala nyumba
Pamba ukiona hapa panizingua hamia pangine kulala njaa sio ishu ishu je inatimiza vipi ndoto zako nimemaliza

Nb sihamasishi uvunjwaji wa sheria hiyo ni story yangu tu

Karibu njombe tupigwe baridi ni mimi mwalimu mr pipaโœ‹โœ‹โœ‹โœ‹
Ni vita mzee.
 
Tunaendelea.................๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡

Nikawaza kujiua ila nafsi ukasema nijiue kwa faida

Kumbuka benk wameuza nyumba cha juu kikabaki kama milion 3 hivi

Nikawatafutia wananngu na wife nyumba ya kupanga nikalipia miez 9 milioni moja nikampa wife apambane

mfukoni nikabaki na m1 huwa mambo yakiwa magumu huwa naamini kwenda kwenye mkoa au sehem wasipo nifaham

Baada ya kuiweka sawa familia ni huyo nikakwea roli hadi mkoa x nikalipia gest siku ya pili nikatafuta wenyeji uzuri wa mi ni mcheshi nikazama vilabu vya pombe za machicha aka komon

Nikawaagizia watu pombe uzuri hazina bei basi nikaanza tafuta data za huo mkoa kwa watu nikapata siku ya tatu wakanitafuta chumba nikalipa

Nikanunua jamvi na shuka nikatandika chini tayari kwa maisha mapya

Zangu jion ilikuwa kwenda vilabu vya pombe japo umri haukuendana na hizo mambo ila nilisha jizila lengo na nia ni maisha
Na yote ili kupata data wapi nianzie

Nimekaa kama wiki nikapata kazi ya kubebelea kifusi kwenetololi kujaza kwenye msingi wa nyumba kuna miamba ilini unganisha niwale wa vilabu
nikapiga kama siku tano nikajipatia laki tatu

nikanunua jiko na mazaga ya ndani kama ya mwezi hivi

Sijakaa sawa nikapata dili la kupasua mawe kwaajili ya kujengea msingi nikapiga

Kuna siku narud toka job nakutana na mama mmoja hivi alikuwa amepata ajali ya gari yaani alikosa njia akaingia mtaroni kilikuwa kifuku

haikuwa ajari kubwa ila kwa wamama ni kubwa nikawa nimeitoa wana tukamsaidia kutoa gari mtalon

And the day yule mama tulizoeana sana na anatokea nikubali siku moja nilipo mpa story yangu akanionea huruma ndipo alipo nipa mchongo wa pesa haramu dili la pesa bandia

Kwa vile sikuwa na chaguo nikazama


Akanipa masharti na kunionesha kazi inavyofanyika so ulinivutia sana nikasema kuliko kuua watu ngoja nipambane na serikali nikifa ndio kifo ambacho nimekichagua cha faida

Akaniahid kunipa m3 za mtaji na sio kwamba anafanya yeye hapana ila yeye ana watu huko na mbele na wapo kikazi yaan ipo hivi ukiwa njiani a m7 ukiipeleka wale miamba wanakutolea m21 ile saba og yakwao

Asee nikajikuta ndani ya mwezi nina milioni 45 mana ni mwendo wa kuiweka kwa wakala au bank kisha. Kutoa kurudi tena kwa mainjinia

So nikajikuta
Nikaingia kulima bangeeee na heka 8 uzuri connection ikiwepo tena ya matajiri wakubwa nikavuna nikapata kama m150

Sikuishia hapo na hakuna mchongo nilio utosa ni mwendo wa bulu bulu

Kuja piga hesabu miaka miwili nikawa na m345 nikasema ningejiua ingekuwaje

Katika hayo mambo sio kwamba sikukutana na sheria nimefungwa sana mpaka polisi wanaamua wakugeuze kitega uchumi so unachopaswa kujua ogopa

Sana mtu ambaye amejikatia tamaa ya kuishi au mtu ambaye kajiambia liwalo na liwe huyo ni sikio la kufa labda mumuue

nakumbuka nilifanya hizi misheni
Miaka mitano then nikahamia rasmi kwenye uuzaji wa mbao na ualimu wa shule za msingi

saivi napiga kelele na watoto wa shule ndoto zangu zimetimia nimetulia so kifikra nina maadili makubwa kibao kimwili nimeacha yote

Kwa sasa sioni la maana hapa duniani coz vyote nimefanya siwezi ijua kesho yangu ila nimejifunza mengi kupitia haya maisha

usikate tamaa
Haijalishi huna gar mtoto wala nyumba
Pamba ukiona hapa panizingua hamia pangine kulala njaa sio ishu ishu je inatimiza vipi ndoto zako nimemaliza

Nb sihamasishi uvunjwaji wa sheria hiyo ni story yangu tu

Karibu njombe tupigwe baridi ni mimi mwalimu mr pipaโœ‹โœ‹โœ‹โœ‹
Story Nzuri sana imenyimwa Vinyama nyama2 kidogo ila sio kesi,,Kongole Mkuu
 
Huu uzi mzuri sana na ungekuwa shule sana sema tu umekosa wachangiaji wa deal hatari
 
Back
Top Bottom