Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Simulia michongo hiyo ya hatari, but I'm warning you to never trust the internet. Social media patrols are real.Miaka kumi nyuma nimemaliza zangu shule naingia mtaani sina ramani ya kipi kifanyike nitoboe kimaisha
Nikaanza harakati za hapa na pale kuchimba vyoo nipo, ukuli nipo, nk piga kazi kwa nguvu zote kila mchongo ukitokea nipo
Lakini kila nikitazama malengo na kazi ninazofanya imani ya kutoboa inagoma
Nikaamua kwenda machimbo ya dhahabu asee kule nikakutana na miamba yenye bahati zao yaani yeye lengo lake kushika milion mia tano ile akipata milioni kumi ni kula bata siku tatu imekata anarudi tena job
Nikamwambia Mungu nisaidie na mimi nipate japo m5 tu nikaanzishe japo ka biashara
Basi nikaanza kupambana sana miez 8 ikakata nakuja ambulia laki 5 hapo familia inaitaji pesa ikabidi nigawe laki 3 niwatumie
hapo sina nguo na mademu sikuwagusa kitambo niko na haam hatari miez nane kwa mwanaume acha tu
Nikajikuta pesa imekata nikaanza upya nakumbuka nimesota chimbo kalibu miaka miwili
Nikawaza umri nao unaenda nikisema ni base kwenye jambo moja nitafeli nakumbuka nilikuwa na shilingi milioni moja
Nikarudi kitaa kuja kulima msimu umefika nikapata Junia za mahind kama 30
enzi zile ndio anajitokeza yule tajiri wa mkako basi nikapeleka kuuza kilichofuata hakuna mtanzania asiye jua yule mwamba alitufanya nini wakulima
Ikanipasa kuanza upya naingia wapi sielewi nikajikuta napanda gari naelekea mkoa x nimefika ule mkoa baada ya wiki kama tatu nikapata kazi ya kufyatua matofali ya block nikapiga
Hadi msimu unakata nikajikuta nina laki 8 nikarudi kufanya biashara ya mbao nimepambana, nikajikuta nimejenga kanyumba kakimtindo nikanunua na kapikipik nikasema asante Mungu
Nikakopa bank kama milioni 8 hivi ili kubusti mtaji kujazia mtaji kwenye mbao ile pesa ndani ya miezi 6 ikakua mpaka ikafikia milion 30
Nikasema kwa kuwa nimekuwa ngoja nitafute soko la nje ya mkoa
Nikapatana na mfanya biashara mwenzangu tukapata mteja dar es lam
Asee ile siku sitoi sahau picha linaanza tumewasili dar majila ya saa moja jioni tukiwa na mzigo wa mbao kama scania mbili hivi
Tukazishusha nikapewa shlng m1 kwaajili ya hapa na pale asubuhi tuje tupige hesabu tulipane
Ile nakuja asubuhi kwenye lile eneo hakuna kitu yaani tulipo shusha zile mbao ni peupe hata ubao hakuna
Pigia simu kwa wale jamaa hawapatikani kumbe dili lilishasukwa kitambo na yule jamaa ambaye nilifanya nae biashara mwanzo
asee nakumbuka natoka pale napanda gari hadi nafika home sijielewi na sielewi nini nifanye nikawa nusu mtu nusu chizi
Na vile sikumwambia mtu yoyote kilichonitokea baada ya muda watu wakahisi nimekosea masharti ya mganga
Miezi 7 imepita bank wakaja tangaza kuuza nyumba mana nilikopa tena kama m20
Hapo kila mtu kanitenga wakijua nimefilisika sababu ya hela za manyoka
Nikawaza kujiua roho ikaniambia hapana jiue kwa faida hapo ndipo nikaanza kuingia kwenye michongo hatari ...............nakuja endelea
Katikati Tanzanian Dream, The dark side of business wiki ya story za magendo.
Yote heri.Ulifanyiwa Hatari,ukafanya michongo Hatari! Shamba la Bwana Ally,mbuzi wa Bwana Ally .
Mkuu dili hatare nililofanya mpaka sasa ni kutembea na mke wa askali wanyana poli...Maisha Yana mengi mno. Poor Brain secretarybird
Aisee funguka jombaMiaka kumi nyuma nimemaliza zangu shule naingia mtaani sina ramani ya kipi kifanyike nitoboe kimaisha
Nikaanza harakati za hapa na pale kuchimba vyoo nipo, ukuli nipo, nk piga kazi kwa nguvu zote kila mchongo ukitokea nipo
Lakini kila nikitazama malengo na kazi ninazofanya imani ya kutoboa inagoma
Nikaamua kwenda machimbo ya dhahabu asee kule nikakutana na miamba yenye bahati zao yaani yeye lengo lake kushika milion mia tano ile akipata milioni kumi ni kula bata siku tatu imekata anarudi tena job
Nikamwambia Mungu nisaidie na mimi nipate japo m5 tu nikaanzishe japo ka biashara
Basi nikaanza kupambana sana miez 8 ikakata nakuja ambulia laki 5 hapo familia inaitaji pesa ikabidi nigawe laki 3 niwatumie
hapo sina nguo na mademu sikuwagusa kitambo niko na haam hatari miez nane kwa mwanaume acha tu
Nikajikuta pesa imekata nikaanza upya nakumbuka nimesota chimbo kalibu miaka miwili
Nikawaza umri nao unaenda nikisema ni base kwenye jambo moja nitafeli nakumbuka nilikuwa na shilingi milioni moja
Nikarudi kitaa kuja kulima msimu umefika nikapata Junia za mahind kama 30
enzi zile ndio anajitokeza yule tajiri wa mkako basi nikapeleka kuuza kilichofuata hakuna mtanzania asiye jua yule mwamba alitufanya nini wakulima
Ikanipasa kuanza upya naingia wapi sielewi nikajikuta napanda gari naelekea mkoa x nimefika ule mkoa baada ya wiki kama tatu nikapata kazi ya kufyatua matofali ya block nikapiga
Hadi msimu unakata nikajikuta nina laki 8 nikarudi kufanya biashara ya mbao nimepambana, nikajikuta nimejenga kanyumba kakimtindo nikanunua na kapikipik nikasema asante Mungu
Nikakopa bank kama milioni 8 hivi ili kubusti mtaji kujazia mtaji kwenye mbao ile pesa ndani ya miezi 6 ikakua mpaka ikafikia milion 30
Nikasema kwa kuwa nimekuwa ngoja nitafute soko la nje ya mkoa
Nikapatana na mfanya biashara mwenzangu tukapata mteja dar es lam
Asee ile siku sitoi sahau picha linaanza tumewasili dar majila ya saa moja jioni tukiwa na mzigo wa mbao kama scania mbili hivi
Tukazishusha nikapewa shlng m1 kwaajili ya hapa na pale asubuhi tuje tupige hesabu tulipane
Ile nakuja asubuhi kwenye lile eneo hakuna kitu yaani tulipo shusha zile mbao ni peupe hata ubao hakuna
Pigia simu kwa wale jamaa hawapatikani kumbe dili lilishasukwa kitambo na yule jamaa ambaye nilifanya nae biashara mwanzo
asee nakumbuka natoka pale napanda gari hadi nafika home sijielewi na sielewi nini nifanye nikawa nusu mtu nusu chizi
Na vile sikumwambia mtu yoyote kilichonitokea baada ya muda watu wakahisi nimekosea masharti ya mganga
Miezi 7 imepita bank wakaja tangaza kuuza nyumba mana nilikopa tena kama m20
Hapo kila mtu kanitenga wakijua nimefilisika sababu ya hela za manyoka
Nikawaza kujiua roho ikaniambia hapana jiue kwa faida hapo ndipo nikaanza kuingia kwenye michongo hatari ...............nakuja endelea
Kwenye haya maisha ukijiona umepata basi ujue ndo umepatikana.Maisha Yana mengi mno. Poor Brain secretarybird
Nikaamua kwenda machimbo ya dhahabu asee kule nikakutana na miamba yenye bahati zao yaani yeye lengo lake kushika milion mia tano ile akipata milioni kumi ni kula bata siku tatu imekata anarudi tena job
Nikamwambia Mungu nisaidie na mimi nipate japo m5 tu nikaanzishe japo ka biashara
Basi nikaanza kupambana sana miez 8 ikakata nakuja ambulia laki 5 hapo familia inaitaji pesa ikabidi nigawe laki 3 niwatumie
Nilishawamba msalabani na askari Vishoka wa huko boda ya kenya na tanzania baada ya kukutwa na furushi la mirungi , wakanimenya visigino vya miguu wakaniachia katikati ya pori lina wanyama wakali , kwa kukosa kitu kinaitwa kipande na 1000 ksh .
Nakukumbuka vizuri raia wema tulikuokota ulikua umebeba miraha kwenye trankaNilishawamba msalabani na askari Vishoka wa huko boda ya kenya na tanzania baada ya kukutwa na furushi la mirungi , wakanimenye visigino vya miguu wakaniachia katikati ya pori lina wanyama wakali , kwa kukosa kitu kinaitwa kipandae na shi 1000 ya ksh .
Nikajiburuza na tumbo mpaka nikatokea upande wa tanzania rombo, nikabubujikwa na majozi ya ndio hiyo siku nikajua ukitaka kujua wewe ni mzalendo wa taifa lako utiwe nguvuni kwenye nchi za watu , halafu uponee chupuchupu ukanyage ardhi ya Tz ndio utaona jinsi ulivyo mzalendo wa kweli .🤣🤣🤣🤣🤣
Itaendelea... au ndo mwisho😁😁😁Nilishawamba msalabani na askari Vishoka wa huko boda ya kenya na tanzania baada ya kukutwa na furushi la mirungi , wakanimenye visigino vya miguu wakaniachia katikati ya pori lina wanyama wakali , kwa kukosa kitu kinaitwa kipandae na shi 1000 ya ksh .
Nikajiburuza na tumbo mpaka nikatokea upande wa tanzania rombo, nikabubujikwa na majozi ya ndio hiyo siku nikajua ukitaka kujua wewe ni mzalendo wa taifa lako utiwe nguvuni kwenye nchi za watu , halafu uponee chupuchupu ukanyage ardhi ya Tz ndio utaona jinsi ulivyo mzalendo wa kweli .🤣🤣🤣🤣🤣