Asee image mbili tatu kidude kimeshajaa, afu mov file moja tu kidude chali.Wakati huo nilikuwa nnaadiks report kubwa nilikuwa na floppy disc 32
Kulikuwa na DOS (Disk Operating System) ili kompyuta iwake unaweka floppy disk. Mwaka 1987.Wale wakongwe walio
anza kutumia computer na operating system za Ms DOS, Windows 95, Windows 98 na kabla ya hapo njoo tupe historia yako ulijifunzia wapi computer.
Nini au tukio gani linakukumbusha mbali na ilikuwaje.
Unakumbuka nini juu ya hofu ya Y2K?
Ilisemekana computer zote zitazima ukifika usiku wa saa sita kamili tarehe 1 mwezi wa kwanza mwaka 2000, new millennium.
Vijana wa Sasa umewahi kuwaza inawezekana kutumia computer bila mouse au touchpad?
Imagine unaingia na PDA chumba cha mtihani kwenye UE pale UDSM na wasimamizi hawaijui wanadhani ni calculator tu. Unaweka formulas zako za Math au Quantum Physics au za Statistics unafaulu vizuri tu mitihani.
Ameshakupa majibu hapo juu.Nani Nyani Ngabu ?
Mitaa hiyo ushanichanganya, huku kama Tv tu zimeanza kua common miaka ya 90s mwishoni,sijui computers wangapi walikua wameziona,sio tu kutumia..222 Aldrich Road, Cutteslowe, Oxford, Oxfordshire.
Cutteslowe Primary school na Bishop Kirk Middle school.
picha tulikuwa tunascan hard copy kiongoziSpeed ya ku copy files ilikuaje??data mlikua Mna transfer kwa njia gani?? internet speed ilikuaje??
HD disk storage kubwa ilikua na uwezo gani??Ram Storage? Multimedia files mlikua Mna access vipi??
Kulikua na Digital pictures??upige picha kwa camera then uhamishe kwenye Computer??
Ndo maana nikasema nimeanza kutumia kompyuta kabla ya 99% ya wanaJF wote.Mitaa hiyo ushanichanganya, huku kama Tv tu zimeanza kua common miaka ya 90s mwishoni,sijui computers wangapi walikua wameziona,sio tu kutumia..
picha tulikuwa tunascan hard copy kiongozi
Duh mzee Umetumia Amstrad π π π wewe Ni wakishua sana maana Hiyo kitu ilikuwepo Tangu miaka ya 80 sema Ilipunguzwa Na ikaanza kupotea Miaka ya 90 mwishoni..Ndo maana nikasema nimeanza kutumia kompyuta kabla ya 99% ya wanaJF wote.
Enzi hizo hata UDSM sidhani kama kulikuwa na kompyuta hata 2β¦..
Home computers za Amstrad ndo kompyuta za kwanza mimi kuanza kuzitumia shuleni kwenye assignments na nyumbani kucheza games.
Amstrad ilikuwa ni kampuni ya Uingereza iliyokuwa inatengeneza vifaa vya umeme vya nyumbani/ majumbani.
Hata zingekuepo Kuna "computer operator" enzi hizo??Ndo maana nikasema nimeanza kutumia kompyuta kabla ya 99% ya wanaJF wote.
Enzi hizo hata UDSM sidhani kama kulikuwa na kompyuta hata 2β¦..
Home computers za Amstrad ndo kompyuta za kwanza mimi kuanza kuzitumia shuleni kwenye assignments na nyumbani kucheza games.
Amstrad ilikuwa ni kampuni ya Uingereza iliyokuwa inatengeneza vifaa vya umeme vya nyumbani/ majumbani.
Free DOS CD inatolewa bure hadi kesho kila ukinunua computer mpya hasa yenye Intel processor.Yawezekana baadhi wametumia hizo kompyuta za zamani kwakua location uliyopo ilisapoti kutumia hizo kompyuta.
So siyo kila atayesema katumia DOS mkajua ni kikongwe. Ni vile tech ilichelewa kumfikia
Hapana, wala siyo wa kishua.Duh mzee Umetumia Amstrad π π π wewe Ni wakishua sana maana Hiyo kitu ilikuwepo Tangu miaka ya 80 sema Ilipunguzwa Na ikaanza kupotea Miaka ya 90 mwishoni
Hah nikajua angalau GB 5,window 95 sijawahi kuiona ila win98 nimeiona japo sijatumia,haipo tofauti Sana na XPKwa Window 95 Data Storage kubwa ikiwa MB 250..
Ndiyo zilikuwepo Japo zilikuwa Poor quality kulinganisha na Sasa hivi..
Na tulikuwa Tunahifadhi Kwenyr Floopy disc
Ila humu wakongwe mmejaa pia.Free DOS CD inatolewa bure hadi kesho kila ukinunua computer mpya hasa yenye Intel processor.
Siyo used computer.
Wakati nasoma high school kulikuwa na Comp Lab ya msaada.Hata zingekuepo Kuna "computer operator" enzi hizo??
Kuna Rafiki yangu Mama yake alikua anafanya kazi UDSM,bi mkubwa aliniambia miaka hiyo mkiingia Computer room lazima kuvua viatu,na ole wenu mpige kelele,mnatolewa...
Tulikuwa na kompyuta hom ili CPU iwake kuna switch unaweka ufunguo dah hatari sanaKulikuwa na DOS (Disk Operating System) ili kompyuta iwake unaweka floppy disk. Mwaka 1987.
Nakumbuka miaka ya kati ya 90, UDSM kulikuwa na computer lab moja tu.Hata zingekuepo Kuna "computer operator" enzi hizo??
Kuna Rafiki yangu Mama yake alikua anafanya kazi UDSM,bi mkubwa aliniambia miaka hiyo mkiingia Computer room lazima kuvua viatu,na ole wenu mpige kelele,mnatolewa...
WTF!!Ila humu wakongwe mmejaa pia.
Huo mwaka mnadeal na hizo mashine mi young bado.
Kompyuta kwa mara ya kwanza naishika 2005.