Tuliokuwa tunamponda Magufuli akiwa hai, sasa tutamtetea akiwa Amekufa!

Tuliokuwa tunamponda Magufuli akiwa hai, sasa tutamtetea akiwa Amekufa!

Kwema Wakuu!

Hakuna atakayemsema Hayatti Magufuli akapata Faida yoyote Ile, zaidi nawaona wanaomkosoa hasa viongozi wakipata uharibifu mkubwa na kujenga chuki mioyoni mwa wananchi wa chini.

Nimemsikia Mhe. Zito Kabwe akimshambulia JPM Kwa namna mbalimbali, nataka kumhakikishia Zitto kuwa anachokifanya ni kujikorogea sumu na kuinywa ambayo itamuua POLEPOLE pasipo yeye kujua.

Magufuli anamabaya yake mengi mno, lakini pia hatuwezi kujidanganya kuwa anamazuri yake pia mengi tuu.

Hayo mazuri aliwafanyia kina man? Kisha hayo mabaya aliwatendea kina Nani?
Hapo ndipo tunaweza kukokotoa mlinganyo huo, ili Wale wakosoaji na wanaomtukana Magufuli waone Kama watafaidika au laah!

Tabaka la juu la wasomi, Wataalamu, matajiri, na wafanyabiashara, wanasiasa wa Vyama vya upinzani Kwa kweli walionja joto la jiwe. Wapo waliolia kuhusu Ajira, wapo waliolalamika kutekwa na kupotezwa, wapo waliotiwa Korokoroni Kwa kesi za uhujumu uchumi, wapo waliofunguliwa kesi za ugaidi, wapo waliofunga biashara zao n.k. kundi hili sio watu wengi ukilinganisha na Kundi la Tabaka la chini.

Tabaka la chini, la watu wasiosoma, Masikini hohehahe, wasio na Vyama, vibarua, Machinga na Mama ntilie, na watifua udongo(Wakulima wadogo) hawa walimpenda Magufuli Kwa sababu mbili kuu, mosi walimuona Kama mtetezi wao; pili, Kwa kuleta kilio Kwa Tabaka la juu.

Masikini wengi sio kama maisha yao yalibadilishwa na JPM, hilo halikutokea Ila walifurahia jinsi jpm alivyokuwa akiwahenyesha mavi matajiri, wafanyabiashara na akiwafokea na kuwadhalilisha wasomi na Wataalamu. Unajua Masikini anamsemo wake usemao; msiba wa wengi ni sherehe, hivyo awamu ya JPM ilikuwa ni sherehe Kwa masikini kwani sio wao tuu waliokuwa wakiteseka bali haya matajiri walikuwa wakiteseka Kwa namna Yao.

Sasa kitendo cha JPM kufariki, kilikuwa ni huzuni Kwa Tabaka la chini kwani mtetezi wao na kuumiza tabaka la juu hayupo tena. Sasa msiba umebakia tabaka la chini, tabaka la juu limeanza kuneemeka Kwa Kula asali ya nchi.

Ukweli ni kuwa Nchi hii zaidi ya 80% ni Tabaka la chini. Hivyo kumshambulia Magufuli ni kushambulia Watanzania waliowengi. Kuwazomea, kuwakashfu, JPM Kwa tabaka la chini ni Kama Mtume au Nabii wao aliyekuja kuwakomboa lakini ungejiuliza kuwakomboa na kitu gani? Maana Kama ni umasikini bado wanao na hawana Mabadiliko yoyote yale, ndipo hapo nikakuambia kuwa labda ni Kwa sababu alifanya Tabaka la juu lihenyeke na hiyo ni sherehe Kwa tabaka la watu masikini.

Wengine tulimkosoa Magufuli akiwa hai tukiwa na Nia nzuri tuu, wala hatukuwa na chuki naye isipokuwa kuwekana Sawa. Lakini ameshakufa tunamuwekaje Sawa marehemu aliyekwisha kufa na kuzikwa. Kama ni chuki nafikiri ingekuwa imeisha ndani ya miezi sita tangu alipozikwa lakini kinachoendelea sasa hivi kinashangaza.

Hakuna sababu ya kuendelea kumshambulia mtu ambaye hana lolote la kufanya katika ulimwengu wa waliohai.

Zitto Kabwe na wengine wote mnaomshambulia JPM hakuna faaida yoyote mtakayoipata katika Jambo Hilo, zaidi Sana mnapoteza kukubalika Kwa Watanzania waliowengi ambao ni Wafuasi wa jpm waliomuona Kama mtetezi wao na mpiganaji wa matajiri ambao masikini huwaona Kama mafisadi na wezi wa Mali za nchi. Ambao masikini huwaona matajiri ndio wanaowasababishia umasikini wao

Huwaona matajiri ndio waliowasababishia wasisome
Ambao huwaona matajiri ndio wanaowatesa viwandani Kwa kuwalipa mishahara midogo.

Taikon Acha nipumzike sasa!

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa Sasa Twangoma.
Hakuna kupumzika, JPM lazima anangwe tu na Mtanzania anayeipenda Nchi yake. Yule baradhuli alikuwa anatuharibia nchi vibaya sana. Tushukuru Mungu tu aliiingilia kati akamchukua kumpeleka jehanam
 
Hakuna kupumzika, JPM lazima anangwe tu na Mtanzania anayeipenda Nchi yake. Yule baradhuli alikuwa anatuharibia nchi vibaya sana. Tushukuru Mungu tu aliiingilia kati akamchukua kumpeleka jehanam

Kila mtu atatetea kundi lake Mkuu, sio Dhambi
 
Mtoa mada ROBERT HERIEL uliwahi kuleta mada ukihusisha "umasikini na shetani" kwamba masikini ni mashetani yanayoishi, huku ukisema "matajiri ni wa Mungu maana Mungu naye ni tajiri.

Na ukasema utajiri ni Siri maana hata Mungu hajawahi kuonekana japo anamiliki mbingu na ardhi.

Sasa basi, kwa kuwa masikini ni shetani (kwa mujibu wako) je, jiwe alikuwa anayatetea mashetani (masikini) na kuwasulubu matajiri (Mungu)?, And aftermath, ni kipi kimejiri?

Sasa kwa kuwa Zitto hapati faida kwa kukosoa mtetezi wa shetani, je, jiwe alipata ni nini kwa kuwatetea masikini dhidi ya matajiri?
 
Kwema Wakuu!

Hakuna atakayemsema Hayatti Magufuli akapata Faida yoyote Ile, zaidi nawaona wanaomkosoa hasa viongozi wakipata uharibifu mkubwa na kujenga chuki mioyoni mwa wananchi wa chini.

Nimemsikia Mhe. Zito Kabwe akimshambulia JPM Kwa namna mbalimbali, nataka kumhakikishia Zitto kuwa anachokifanya ni kujikorogea sumu na kuinywa ambayo itamuua POLEPOLE pasipo yeye kujua.

Magufuli anamabaya yake mengi mno, lakini pia hatuwezi kujidanganya kuwa anamazuri yake pia mengi tuu.

Hayo mazuri aliwafanyia kina man? Kisha hayo mabaya aliwatendea kina Nani?
Hapo ndipo tunaweza kukokotoa mlinganyo huo, ili Wale wakosoaji na wanaomtukana Magufuli waone Kama watafaidika au laah!

Tabaka la juu la wasomi, Wataalamu, matajiri, na wafanyabiashara, wanasiasa wa Vyama vya upinzani Kwa kweli walionja joto la jiwe. Wapo waliolia kuhusu Ajira, wapo waliolalamika kutekwa na kupotezwa, wapo waliotiwa Korokoroni Kwa kesi za uhujumu uchumi, wapo waliofunguliwa kesi za ugaidi, wapo waliofunga biashara zao n.k. kundi hili sio watu wengi ukilinganisha na Kundi la Tabaka la chini.

Tabaka la chini, la watu wasiosoma, Masikini hohehahe, wasio na Vyama, vibarua, Machinga na Mama ntilie, na watifua udongo(Wakulima wadogo) hawa walimpenda Magufuli Kwa sababu mbili kuu, mosi walimuona Kama mtetezi wao; pili, Kwa kuleta kilio Kwa Tabaka la juu.

Masikini wengi sio kama maisha yao yalibadilishwa na JPM, hilo halikutokea Ila walifurahia jinsi jpm alivyokuwa akiwahenyesha mavi matajiri, wafanyabiashara na akiwafokea na kuwadhalilisha wasomi na Wataalamu. Unajua Masikini anamsemo wake usemao; msiba wa wengi ni sherehe, hivyo awamu ya JPM ilikuwa ni sherehe Kwa masikini kwani sio wao tuu waliokuwa wakiteseka bali haya matajiri walikuwa wakiteseka Kwa namna Yao.

Sasa kitendo cha JPM kufariki, kilikuwa ni huzuni Kwa Tabaka la chini kwani mtetezi wao na kuumiza tabaka la juu hayupo tena. Sasa msiba umebakia tabaka la chini, tabaka la juu limeanza kuneemeka Kwa Kula asali ya nchi.

Ukweli ni kuwa Nchi hii zaidi ya 80% ni Tabaka la chini. Hivyo kumshambulia Magufuli ni kushambulia Watanzania waliowengi. Kuwazomea, kuwakashfu, JPM Kwa tabaka la chini ni Kama Mtume au Nabii wao aliyekuja kuwakomboa lakini ungejiuliza kuwakomboa na kitu gani? Maana Kama ni umasikini bado wanao na hawana Mabadiliko yoyote yale, ndipo hapo nikakuambia kuwa labda ni Kwa sababu alifanya Tabaka la juu lihenyeke na hiyo ni sherehe Kwa tabaka la watu masikini.

Wengine tulimkosoa Magufuli akiwa hai tukiwa na Nia nzuri tuu, wala hatukuwa na chuki naye isipokuwa kuwekana Sawa. Lakini ameshakufa tunamuwekaje Sawa marehemu aliyekwisha kufa na kuzikwa. Kama ni chuki nafikiri ingekuwa imeisha ndani ya miezi sita tangu alipozikwa lakini kinachoendelea sasa hivi kinashangaza.

Hakuna sababu ya kuendelea kumshambulia mtu ambaye hana lolote la kufanya katika ulimwengu wa waliohai.

Zitto Kabwe na wengine wote mnaomshambulia JPM hakuna faaida yoyote mtakayoipata katika Jambo Hilo, zaidi Sana mnapoteza kukubalika Kwa Watanzania waliowengi ambao ni Wafuasi wa jpm waliomuona Kama mtetezi wao na mpiganaji wa matajiri ambao masikini huwaona Kama mafisadi na wezi wa Mali za nchi. Ambao masikini huwaona matajiri ndio wanaowasababishia umasikini wao

Huwaona matajiri ndio waliowasababishia wasisome
Ambao huwaona matajiri ndio wanaowatesa viwandani Kwa kuwalipa mishahara midogo.

Taikon Acha nipumzike sasa!

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa Sasa Twangoma.
Ukiipiga maiti, unaonekana unaionea kwa sababu haiwezi kujitetea.

Ndiyo maana Kiswahili kwa utamaduni tumekubaliana marehemu hasemwi vibaya.

Hata kama ni Idi Amin.

Achana na Magufuli.

Idi Amin anatetewa leo. Wanasema aliwezesha Waganda wengi, alikuwa Mzalendo, alipenda watu wake.

Watu wanasema hata vita kiukweli alianzisha Nyerere!

Kuna mtu alikuwa anamtetea Mobutu kwamba kafanya kazi nzuri sana Congo.

Sasa, kama Idi Amin na Mobutu wanaweza kutetewa, Magufuli kafanya kipi kibaya zaidi ya Idi Amin na Mobutu asitetewe?

Hata waliompinga kwa kijuujuu wanapata nostalgia ya rais aliyefia madarakani ambaye hawezi kurudi tena.

But Magufuli was a country bumpkin.
 
Nenda kazikwe naye Chato, huyo alikuwa muuwaji, fisadi, na dikteta kuliko Sani Abacha na Mobutu Sese Seko
AFYA Yako ya AKILI inazidi kuzorota ndugu yangu kila unapomtukana alielala. Umepita mwaka sasa jambo Hilo Hilo. Naamini hata ndoto zako ni MAUZAUZA tu unaona. MSAMEHE Ili upone ukichaa unaokunyemelea Kwa Kasi.
 
Watanzania wengi hawakumpenda Magufuli kwa kuwa aliwanyanyasa tabaka la juu, hapana.

Katika Uongozi wa Magufuli tulishuhudia improvements kubwa sana katika huduma za kijamii ambazo kimsingi Watanzania wengi walikuwa wahanga wa huduma mbovu kabla yake, na sasa tunarejea huko kwa kasi ya ajabu.

Magufuli alileta elimu bure, aliwasaidia Watanzania wengi sana. Takwimu zinathibitisha hili baada ya wanafunzi wengi sana kuongezeka.

Magufuli alitatua kero za wanyonge na walioonewa ambao walishaomba msaada kwa wasaidizi wake karibu wote bila kusaidiwa, unategemea wamchukie?

Magufuli alilinda rasilimali za nchi. Tulifikia wakati hadi twiga wanapanda ndege! Unatarajia Watanzania wengi tungemchukia?

Magufuli aliwatetea machinga na mama ntilie, nao wakawa walau na uhuru wa kufanya boashara zao halali kwa amani ili kupata vipato vya kusaidia familia zao. Unatarajia wangemchukia?

Walimpenda kwa kuwa alikuwa kiongozi bora, not kwa kuwa aliwahenyesha matajiri. Magufuli hakuhenyesha matajiri, alihenyesha wapigaji.
Angekuwa mlinzi wa Raslimali za Taifa asingefanya UHAYAWANI wa kujenga Airport yenye runway ya kimataifa kijijini kwake Chato na Hospitali ya Rufaa.

Wewe ni mhanga wa propaganda za Magufuli ambaye mtaji wake mkubwa ulikuwa ni watanzania wasio na elimu
 
AFYA Yako ya AKILI inazidi kuzorota ndugu yangu kila unapomtukana alielala. Umepita mwaka sasa jambo Hilo Hilo. Naamini hata ndoto zako ni MAUZAUZA tu unaona. MSAMEHE Ili upone ukichaa unaokunyemelea Kwa Kasi.
Tunaweka kumbukumbu na historia sawasawa, alikuwa mwizi, fisadi,mkabila,muuwaji, mwizi wa Mali ya umma, mwongo mkubwa akipanua Domo lake mbele ya wananchi (the biggest liar ever witnessed in Africa's history)
 
Ukiipiga maiti, unaonekana unaionea kwa sababu haiwezi kujitetea.

Ndiyo maana Kiswahili kwa utamaduni tumekubaliana marehemu hasemwi vibaya.

Hata kama ni Idi Amin.

Achana na Magufuli.

Idi Amin anatetewa leo. Wanasema aliwezesha Waganda wengi, alikuwa Mzalendo, alipenda watu wake.

Watu wanasema hata vita kiukweli alianzisha Nyerere!

Kuna mtu alikuwa anamtetea Mobutu kwamba kafanya kazi nzuri sana Congo.

Sasa, kama Idi Amin na Mobutu wanaweza kutetewa, Magufuli kafanya kipi kibaya zaidi ya Idi Amin na Mobutu asitetewe?

Hata waliompinga kwa kijuujuu wanapata nostalgia ya rais aliyefia madarakani ambaye hawezi kurudi tena.

But Magufuli was a country bumpkin.

Shida ni pale viongozi kumnanga mtu ambaye wafuasi wake ni wengi zaidi
 
Kiburi wanapata kwa dada maana nae anamnanga kaka Sasa wadogo wataachaje!.. Mkuu usiseme hakuna maskini ambao hawakufaidika na awamu hiyo kiuchumi unahabari huko geita wachimbaji wadogo wadogo walineemeka! Ila kwa ninayosikia sahivi ni yale ya kufurumushwa!.

Kitendo cha hata kuleta nidhamu serikalini tayari ni neema maana watu watahudumiwa ipasavyo.

Kelele za umeme zilikuwa hakuna umeme unatumika na watu wote na ukiwa stable faida twapata sote.

Unakumbuka alizuia uvuvi kwa miezi kadhaa, unafikiri ilikuwa ni kwa faida ya nani kama sio taifa kiujumla japo na hao wavuvi wakiwemo watu wa chini aliwagusa!.

Leo hii wamachinga alivyowagusa kwa kuwaachia uhuru wa kutengeneza vipato vyao hatuwezi kusema hakuna alieneemeka kiuchumi!.

Maswala mengine ya kuvunja nyumba yaangaliwe kwa weledi mtu anavunjiaa nyumba kwa haki au sio haki maana watu wengine ni wabishi tu!.. Kama huko dar watu wanakaa kwenye mabonde Tanzania inaeneo kubwa tu na wakipata majanga serikali ndo inalalamikiwa..😁

Leo atanangwa juu ya covid lakini twende ndani turudi nje mzee alifanya maamuzi sahihi juu ya lile swala,hilo gonjwa tutaishinalo tu hata huko nje sasa wanaishinalo.

Magufuli hakukataa chanjo ila alitaka uhakika wa chanjo hizo kama ni salama kwanza.

Kinachofanyika sasa ni kutoa ile imani ya utendaji Kama wa magufuli ndani ya akili za watu!,maana watu wanaamini ule utendaji wake kama ndio kiongozi anavyopaswa kuwa maana waliopo wanajua tutawahukumu kwa kumtumia magufuli kama mfano!..

😅
Mfano swala la upatikanaji wa umeme lilivyoanza kusuasua ni mashahidi tosha watu walianza kupiga kelele!,hii ni kwasababu tulishazoeshwa huduma hii kutokuwa ya kusuasua ktk awamu yake!.

By the way kila mtu ahukumu vile aonavyo ila mzee angepewa muda wa kutosha vingebadirika vingi!,Kama ni mtu unaejua kuwaza vyema utajua taifa letu limekosa nini.
Mkuu umetema madini🙏🙏🙏
 
Shida ni pale viongozi kumnanga mtu ambaye wafuasi wake ni wengi zaidi
Kama mtu kakosea, asemwe tu.

Bila kujali wafuasi wake ni wengi ama la.

Bila kujali mzima ana kafa.

Huo ndio uongozi.

Uongozi ni kuonesha watu hapa mlikosea, bila kujali kama utaudhi wengi ama wachache.

Ukianza kuangalia nani ana wafuasi wachache ili umnange, unachanganya siasa na uongozi.

Tatizo ninaloliona ni huu ujinga wa mtu leo akiwa Tanzania anasema "Mimi na Magufuli ni kitu kimoja", akienda Marekani anasema "Tulitofautiana sana na Magufuli"
 
Angekuwa mlinzi wa Raslimali za Taifa asingefanya UHAYAWANI wa kujenga Airport yenye runway ya kimataifa kijijini kwake Chato na Hospitali ya Rufaa.

Wewe ni mhanga wa propaganda za Magufuli ambaye mtaji wake mkubwa ulikuwa ni watanzania wasio na elimu
Chatto ni Kenya? Au Algeria?

Watu wa Chatto hawahitaji huduma bora za afya? Au wao siyo Watanzania?
 
Kwa hiyo wewe unaamini mwaka 2015 au 2020 Magufuli alishinda kihalali kwenye uchaguzi?

Pole sana ndugu.
Kwa mujibu wenu na twaweza CCM na Magufuli wanapendwa na watu Masikini, wasio na elimu na wanawake na upinzani Wanapendwa na wasomi sasa nikuulize kwenye hayo makundi kundi lipi linawatu wengi zaidi? Kea namna hiyo unaona hoja yako ina nguvu?
 
Kwema Wakuu!

Hakuna atakayemsema Hayatti Magufuli akapata Faida yoyote Ile, zaidi nawaona wanaomkosoa hasa viongozi wakipata uharibifu mkubwa na kujenga chuki mioyoni mwa wananchi wa chini.

Nimemsikia Mhe. Zito Kabwe akimshambulia JPM Kwa namna mbalimbali, nataka kumhakikishia Zitto kuwa anachokifanya ni kujikorogea sumu na kuinywa ambayo itamuua POLEPOLE pasipo yeye kujua.

Magufuli anamabaya yake mengi mno, lakini pia hatuwezi kujidanganya kuwa anamazuri yake pia mengi tuu.

Hayo mazuri aliwafanyia kina man? Kisha hayo mabaya aliwatendea kina Nani?
Hapo ndipo tunaweza kukokotoa mlinganyo huo, ili Wale wakosoaji na wanaomtukana Magufuli waone Kama watafaidika au laah!

Tabaka la juu la wasomi, Wataalamu, matajiri, na wafanyabiashara, wanasiasa wa Vyama vya upinzani Kwa kweli walionja joto la jiwe. Wapo waliolia kuhusu Ajira, wapo waliolalamika kutekwa na kupotezwa, wapo waliotiwa Korokoroni Kwa kesi za uhujumu uchumi, wapo waliofunguliwa kesi za ugaidi, wapo waliofunga biashara zao n.k. kundi hili sio watu wengi ukilinganisha na Kundi la Tabaka la chini.

Tabaka la chini, la watu wasiosoma, Masikini hohehahe, wasio na Vyama, vibarua, Machinga na Mama ntilie, na watifua udongo(Wakulima wadogo) hawa walimpenda Magufuli Kwa sababu mbili kuu, mosi walimuona Kama mtetezi wao; pili, Kwa kuleta kilio Kwa Tabaka la juu.

Masikini wengi sio kama maisha yao yalibadilishwa na JPM, hilo halikutokea Ila walifurahia jinsi jpm alivyokuwa akiwahenyesha mavi matajiri, wafanyabiashara na akiwafokea na kuwadhalilisha wasomi na Wataalamu. Unajua Masikini anamsemo wake usemao; msiba wa wengi ni sherehe, hivyo awamu ya JPM ilikuwa ni sherehe Kwa masikini kwani sio wao tuu waliokuwa wakiteseka bali haya matajiri walikuwa wakiteseka Kwa namna Yao.

Sasa kitendo cha JPM kufariki, kilikuwa ni huzuni Kwa Tabaka la chini kwani mtetezi wao na kuumiza tabaka la juu hayupo tena. Sasa msiba umebakia tabaka la chini, tabaka la juu limeanza kuneemeka Kwa Kula asali ya nchi.

Ukweli ni kuwa Nchi hii zaidi ya 80% ni Tabaka la chini. Hivyo kumshambulia Magufuli ni kushambulia Watanzania waliowengi. Kuwazomea, kuwakashfu, JPM Kwa tabaka la chini ni Kama Mtume au Nabii wao aliyekuja kuwakomboa lakini ungejiuliza kuwakomboa na kitu gani? Maana Kama ni umasikini bado wanao na hawana Mabadiliko yoyote yale, ndipo hapo nikakuambia kuwa labda ni Kwa sababu alifanya Tabaka la juu lihenyeke na hiyo ni sherehe Kwa tabaka la watu masikini.

Wengine tulimkosoa Magufuli akiwa hai tukiwa na Nia nzuri tuu, wala hatukuwa na chuki naye isipokuwa kuwekana Sawa. Lakini ameshakufa tunamuwekaje Sawa marehemu aliyekwisha kufa na kuzikwa. Kama ni chuki nafikiri ingekuwa imeisha ndani ya miezi sita tangu alipozikwa lakini kinachoendelea sasa hivi kinashangaza.

Hakuna sababu ya kuendelea kumshambulia mtu ambaye hana lolote la kufanya katika ulimwengu wa waliohai.

Zitto Kabwe na wengine wote mnaomshambulia JPM hakuna faaida yoyote mtakayoipata katika Jambo Hilo, zaidi Sana mnapoteza kukubalika Kwa Watanzania waliowengi ambao ni Wafuasi wa jpm waliomuona Kama mtetezi wao na mpiganaji wa matajiri ambao masikini huwaona Kama mafisadi na wezi wa Mali za nchi. Ambao masikini huwaona matajiri ndio wanaowasababishia umasikini wao

Huwaona matajiri ndio waliowasababishia wasisome
Ambao huwaona matajiri ndio wanaowatesa viwandani Kwa kuwalipa mishahara midogo.

Taikon Acha nipumzike sasa!

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa Sasa Twangoma.
Nasisitiza na naomba mnielewe kwamba huu ni msimamo wangu rasmi..

Mwendazake lazima asimangwe na kuwaonyesha watu upande wake wa pili Kwa sababu alipokuwa hai hakutoa nafasi ya watu kuonyeshwa upande wake wa pili..

Tusipofanya hivi , Mwendazake ataonekana ni shujaa wakati sio kweli..

Mwalimu Nyerere ni marehemu na tunamsifu kwa mema mengi aliyowafanyia Taifa hili na anasimama kama mfano mwema..

Kinyume chake ni kwa Mwendazake ambae watetezi wake walitaka kuaminisha watu kwamba anastahili hadhi ya baba wa Taifa wa pili na Shujaa wa Afrika..

Sasa ndio tunasema hizo sifa hana kwa sababu alikuwa muovu na fisadi kupindukia.

Mwendazake aliwatumia maskini wasiojitambua kuhalalisha ushenzi wake..

Kwa hiyo tunaonyesha kwamba ni mfano mbaya ..

Tuna Marais wengi wamelala walikuwa na mema na maovu ila yule alizidi,na lengo tusirudie kule.

We must mark a clear demarcation here..
 
Kwema Wakuu!

Hakuna atakayemsema Hayatti Magufuli akapata Faida yoyote Ile, zaidi nawaona wanaomkosoa hasa viongozi wakipata uharibifu mkubwa na kujenga chuki mioyoni mwa wananchi wa chini.

Nimemsikia Mhe. Zito Kabwe akimshambulia JPM Kwa namna mbalimbali, nataka kumhakikishia Zitto kuwa anachokifanya ni kujikorogea sumu na kuinywa ambayo itamuua POLEPOLE pasipo yeye kujua.

Magufuli anamabaya yake mengi mno, lakini pia hatuwezi kujidanganya kuwa anamazuri yake pia mengi tuu.

Hayo mazuri aliwafanyia kina man? Kisha hayo mabaya aliwatendea kina Nani?
Hapo ndipo tunaweza kukokotoa mlinganyo huo, ili Wale wakosoaji na wanaomtukana Magufuli waone Kama watafaidika au laah!

Tabaka la juu la wasomi, Wataalamu, matajiri, na wafanyabiashara, wanasiasa wa Vyama vya upinzani Kwa kweli walionja joto la jiwe. Wapo waliolia kuhusu Ajira, wapo waliolalamika kutekwa na kupotezwa, wapo waliotiwa Korokoroni Kwa kesi za uhujumu uchumi, wapo waliofunguliwa kesi za ugaidi, wapo waliofunga biashara zao n.k. kundi hili sio watu wengi ukilinganisha na Kundi la Tabaka la chini.

Tabaka la chini, la watu wasiosoma, Masikini hohehahe, wasio na Vyama, vibarua, Machinga na Mama ntilie, na watifua udongo(Wakulima wadogo) hawa walimpenda Magufuli Kwa sababu mbili kuu, mosi walimuona Kama mtetezi wao; pili, Kwa kuleta kilio Kwa Tabaka la juu.

Masikini wengi sio kama maisha yao yalibadilishwa na JPM, hilo halikutokea Ila walifurahia jinsi jpm alivyokuwa akiwahenyesha mavi matajiri, wafanyabiashara na akiwafokea na kuwadhalilisha wasomi na Wataalamu. Unajua Masikini anamsemo wake usemao; msiba wa wengi ni sherehe, hivyo awamu ya JPM ilikuwa ni sherehe Kwa masikini kwani sio wao tuu waliokuwa wakiteseka bali haya matajiri walikuwa wakiteseka Kwa namna Yao.

Sasa kitendo cha JPM kufariki, kilikuwa ni huzuni Kwa Tabaka la chini kwani mtetezi wao na kuumiza tabaka la juu hayupo tena. Sasa msiba umebakia tabaka la chini, tabaka la juu limeanza kuneemeka Kwa Kula asali ya nchi.

Ukweli ni kuwa Nchi hii zaidi ya 80% ni Tabaka la chini. Hivyo kumshambulia Magufuli ni kushambulia Watanzania waliowengi. Kuwazomea, kuwakashfu, JPM Kwa tabaka la chini ni Kama Mtume au Nabii wao aliyekuja kuwakomboa lakini ungejiuliza kuwakomboa na kitu gani? Maana Kama ni umasikini bado wanao na hawana Mabadiliko yoyote yale, ndipo hapo nikakuambia kuwa labda ni Kwa sababu alifanya Tabaka la juu lihenyeke na hiyo ni sherehe Kwa tabaka la watu masikini.

Wengine tulimkosoa Magufuli akiwa hai tukiwa na Nia nzuri tuu, wala hatukuwa na chuki naye isipokuwa kuwekana Sawa. Lakini ameshakufa tunamuwekaje Sawa marehemu aliyekwisha kufa na kuzikwa. Kama ni chuki nafikiri ingekuwa imeisha ndani ya miezi sita tangu alipozikwa lakini kinachoendelea sasa hivi kinashangaza.

Hakuna sababu ya kuendelea kumshambulia mtu ambaye hana lolote la kufanya katika ulimwengu wa waliohai.

Zitto Kabwe na wengine wote mnaomshambulia JPM hakuna faaida yoyote mtakayoipata katika Jambo Hilo, zaidi Sana mnapoteza kukubalika Kwa Watanzania waliowengi ambao ni Wafuasi wa jpm waliomuona Kama mtetezi wao na mpiganaji wa matajiri ambao masikini huwaona Kama mafisadi na wezi wa Mali za nchi. Ambao masikini huwaona matajiri ndio wanaowasababishia umasikini wao

Huwaona matajiri ndio waliowasababishia wasisome
Ambao huwaona matajiri ndio wanaowatesa viwandani Kwa kuwalipa mishahara midogo.

Taikon Acha nipumzike sasa!

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa Sasa Twangoma.

Hao watu wa chini wengi ni watu wa kuburuzwa tu hawana uelewa wowote. Wengi Magufuli aliwapata maana aliua Uhuru wa vyombo vya habari, na kubaki kuwatangazia alichokitaka. Lakini watu hao hao wa chini wakipata upande wa pili wa shilingi watabadilika na watajiuliza waliwezaje kuongozwa na mtu muovu na mwizi wa aina hiyo. Kama kweli Magufuli alikuwa anakubalika na hao watu wa chini angeheshimu box la kura. Kwakuwa mikutano ya wazi imezuiliwa ndio maana unaamini kuna kundi la chini kubwa tiifu kwa Magufuli. Watu watakapoanza kwenda kwenye mikutano ndio utajua hawana msimamo wowote.
 
kiama cha hao wazandiki kinakuja watakoma kubwabwaja hali yakuwa mazuri yake wanayajua...
 
Lisu alikuwa mpigaji wa nini?Ben Saanane alikuwa mpigaji wa nini?Mbowe alikuwa mpigaji wa nini?Acheni upimbi nyie.******** alikuwa mnywa damu za watu.Halafu;Miundo mbinu aliyoijenga ******** ni ipi?Mradi gani aliuanzisha na kuumaliza?Acheni kuendeleza propaganda,Sasa hivi nchi haiendeshwi kwa propaganda,inaendeshwa kwa uhalisia .Kiuhalisia Mama Samia kwa muda mchache tu amejenga miundombinu mingi kuliko ******** wenu.
Watanzania wengi hawakumpenda Magufuli kwa kuwa aliwanyanyasa tabaka la juu, hapana.

Katika Uongozi wa Magufuli tulishuhudia improvements kubwa sana katika huduma za kijamii ambazo kimsingi Watanzania wengi walikuwa wahanga wa huduma mbovu kabla yake, na sasa tunarejea huko kwa kasi ya ajabu.

Magufuli alileta elimu bure, aliwasaidia Watanzania wengi sana. Takwimu zinathibitisha hili baada ya wanafunzi wengi sana kuongezeka.

Magufuli alitatua kero za wanyonge na walioonewa ambao walishaomba msaada kwa wasaidizi wake karibu wote bila kusaidiwa, unategemea wamchukie?

Magufuli alilinda rasilimali za nchi. Tulifikia wakati hadi twiga wanapanda ndege! Unatarajia Watanzania wengi tungemchukia?

Magufuli aliwatetea machinga na mama ntilie, nao wakawa walau na uhuru wa kufanya boashara zao halali kwa amani ili kupata vipato vya kusaidia familia zao. Unatarajia wangemchukia?

Walimpenda kwa kuwa alikuwa kiongozi bora, not kwa kuwa aliwahenyesha matajiri. Magufuli hakuhenyesha matajiri, alihenyesha wapigaji.
 
Back
Top Bottom