Tuliopiga sana pesa za udalali kwenye biashara na bado life gumu tukutane hapa

Ujafa na ukimwi

Madalali weΓ±gi wamekufa sana na vih
 

Huu ni wizi huyo muuzaji alikuwa anataka kukuibia wala sio udalali huo

Mkuu ulichokuwa unafanya ni wizi wala sio udalali.
Udalali ni hali inahusisha mtu wa kati kupata kitu .
So bei ya bidhaa inajulikana na bei ya udalali inajulikana .
So mteja anamlipa mwenye mali fedha yake na dalali anapewa commision yake.
Yaani unakabidhiwa duka uuze bidhaa wewe unapandisha bei unasema udalali? Wewe ulikuwa unafanya wizi wala sio udalali
 
Hapana wezi ni wakina mwigulu na samia
 
Hapa watu watajifanya walokole ila wezi kuliko uwizi wenyewe.
 
Kaka me nilitaja tu bei kwa wenge la usingizi na yeye wala hakuomba punguzo .....sasa ningefanyaje ningekataa pesa?

Sasa una piga 200k unataka ikufikishe wapi bruh πŸ˜„

Huyo alikuwa anafanya wizi , kwa maelezo yake alipewa duka la magodoro auze, magodoro yanabei elekezi , aliyemkabidhi duka la magodoro alikuwa anamlipa mshahara .
Yeye anataja bei ya juu kulipo bei elekezi .
Huo ni wizi wala sio udalali
 
Huyo alikuwa anafanya wizi , kwa maelezo yake alipewa duka la magodoro auze, magodoro yanabei elekezi , aliyemkabidhi duka la magodoro alikuwa anamlipa mshahara .
Yeye anataja bei ya juu kulipo bei elekezi .
Huo ni wizi wala sio udalali
Huu udalali wake mwenyewe nilikuwa nashangaa ni wa namna gani πŸ˜„
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…