magnifico
JF-Expert Member
- Jan 14, 2013
- 11,075
- 24,634
Kijana tukimtuma Mafwele aje akuhoji utaweza kuthibitisha madai yako?Hapana wezi ni wakina mwigulu na samia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kijana tukimtuma Mafwele aje akuhoji utaweza kuthibitisha madai yako?Hapana wezi ni wakina mwigulu na samia
😂😂😂😂😂😂 Alikuwa anakushona kinoma. Maana dose tatu ungenunua 36k angefunga faida yake ya 33K.Piga kwa sababu hata wewe kuna mahali unapigwa hivyo hivyo.
Kuna dawa juzi nimeenda kuchukua inauzwa tsh 1,000 ila yule dada mfamasia akasema 12K, nikacheka nikamwambia dada mi mwenyewe mfamasia tena mfamasiala haswa nipe bei nilipie nichukue changu, kwa aibu sana akaniuliza unahitaji ngapi, nikatoa 10K nikamwambia kata 3 nipe chenchi. Akarudisha 7,000 yangu nikasepa. Ningekua sijui bei ningepigwa.
Nyie ndio mkifika apa BL soda moja mnaangalia game zote za Jmosi.Bwana bwana miaka ya 2018-2020 kuna goli(duka) la magodoro nilikuwa nauza maeneo ya kinyerezi location ya duka haikuwa mbaya ilikuwa nzuri sana opo road kabisa na wanunuaji wengi walikuwa kipato cha kati.
Sasa bwana ilikuwa akija mteja ni lazima apigwe udalali kama bei ya kuuza ni tsh 200,000 basi godoro ningeliuza tsh 230,000.Ilikuwa godoro halitoki bila mimi kupata hata tsh 15,000 minimum
Nakumbuka kuna mzee mmoja mshabiki wa liverpool alikuja akanikuta nimelala akaniuliza "godoro 5 kwa 6 inchi 8 bei gani" mimi kwa wenge la usingizi nikaropoka tu "laki nne" wakati godoro bei yake ni tsh 210,000 yale ya kitambaa tunaita kashata.
Yule mzee bwana akaingia kwenye kiraumu chake akivuta kibunda cha milioni akanichomolea laki nne akaniuliza "na usafri vipi hakuna kirikuu??" nikamwambia "bodaboda mbona inabeba nalifunga freshi utanipa tsh 20,000 ya usafiri"...mzee akalipia usafiri akanielekeza kwake nikaita boda nikampa tsh 2000(hiyo sehemu gharama yake ni buku) kwahiyo nikawa nimepiga mshindo wa tsh 208,000.
Nilijifunza kitu kuna watu wana hela kiasi kwamba hata ukiwapiga ni sawa na unajiibia mwenyewe imagine hiko kilikuwa kipindi cha anko MAGU.
Jana nilikuwa maaneo ya BL park nachek game ya aseno nikamuona yule mzee niliyemdalalia tsh 200k bado anadunda tu wakati mimi bado najitafuta hahahaha.
Najua mpo wenzangu wengi ambao mmepiga sana mishindo ya udalali na bado life ni vita karibuni.
Ewaaaa na unakuta wana B za kutosha lakini hawaridhiki sie wengine wachuuzi tu...Hawa wanafanya wizi na udalali pia .wanaiba fedha za umma , pia wanadalalia mali za umma kwa waarabu na wawekezaji wengine wanalipwa 10% ya udalali
Udalali wa bongo na ujambazi umetenganishwa na uzi mwembamba sanaBwana bwana miaka ya 2018-2020 kuna goli(duka) la magodoro nilikuwa nauza maeneo ya kinyerezi location ya duka haikuwa mbaya ilikuwa nzuri sana opo road kabisa na wanunuaji wengi walikuwa kipato cha kati.
Sasa bwana ilikuwa akija mteja ni lazima apigwe udalali kama bei ya kuuza ni tsh 200,000 basi godoro ningeliuza tsh 230,000.Ilikuwa godoro halitoki bila mimi kupata hata tsh 15,000 minimum
Nakumbuka kuna mzee mmoja mshabiki wa liverpool alikuja akanikuta nimelala akaniuliza "godoro 5 kwa 6 inchi 8 bei gani" mimi kwa wenge la usingizi nikaropoka tu "laki nne" wakati godoro bei yake ni tsh 210,000 yale ya kitambaa tunaita kashata.
Yule mzee bwana akaingia kwenye kiraumu chake akivuta kibunda cha milioni akanichomolea laki nne akaniuliza "na usafri vipi hakuna kirikuu??" nikamwambia "bodaboda mbona inabeba nalifunga freshi utanipa tsh 20,000 ya usafiri"...mzee akalipia usafiri akanielekeza kwake nikaita boda nikampa tsh 2000(hiyo sehemu gharama yake ni buku) kwahiyo nikawa nimepiga mshindo wa tsh 208,000.
Nilijifunza kitu kuna watu wana hela kiasi kwamba hata ukiwapiga ni sawa na unajiibia mwenyewe imagine hiko kilikuwa kipindi cha anko MAGU.
Jana nilikuwa maaneo ya BL park nachek game ya aseno nikamuona yule mzee niliyemdalalia tsh 200k bado anadunda tu wakati mimi bado najitafuta hahahaha.
Najua mpo wenzangu wengi ambao mmepiga sana mishindo ya udalali na bado life ni vita karibuni.
Kwenye maswala ya ngono nipo makini na selective sana.Shukuru Mungu sana mkuu
Zile pesa ilikuwa ukizipata zinaconnection na Lodge bar na mwanamke yaani...
Acha tu mkuuHizo pesa ndogo sana na hazina uhakika na haziwezi kukukwamua kiuchumi zaidi ya kununua kashata na kahawa tu
Sawa mwakasege.Wewe ni mwizi na kamwe hautafanikiwa kujikwamua kimaisha kwa kutumia mbinu hizo.Utabaki masikini tu kwakuwa kwenye kichwa chako hakuna mawazo mbadala ya namna ya kujipatia kipato zaidi ya kuiba.
Pia hiyo fedha unayodhulumu haiwezi kukaa wala huwezi kufanyia jambo la maana kwakuwa umeipata kirahisi,hivyo inaondoka kiraisi:EASY COME, EASY GO!
Sasa mimi udalali wa laki mbili ndio uniite mwizi na tumefanya biashara....au mbona mliman city mnapigwa sana lakini hamna makelele.Hawa wanafanya wizi na udalali pia .wanaiba fedha za umma , pia wanadalalia mali za umma kwa waarabu na wawekezaji wengine wanalipwa 10% ya udalali
Boss akupe mshahara hana akili ....anajua sana kuna genji za hapa na pale.Huyo alikuwa anafanya wizi , kwa maelezo yake alipewa duka la magodoro auze, magodoro yanabei elekezi , aliyemkabidhi duka la magodoro alikuwa anamlipa mshahara .
Yeye anataja bei ya juu kulipo bei elekezi .
Huo ni wizi wala sio udalali
Umejitambulisha vizuriPiga kwa sababu hata wewe kuna mahali unapigwa hivyo hivyo.
Kuna dawa juzi nimeenda kuchukua inauzwa tsh 1,000 ila yule dada mfamasia akasema 12K, nikacheka nikamwambia dada mi mwenyewe mfamasia tena mfamasiala haswa nipe bei nilipie nichukue changu, kwa aibu sana akaniuliza unahitaji ngapi, nikatoa 10K nikamwambia kata 3 nipe chenchi. Akarudisha 7,000 yangu nikasepa. Ningekua sijui bei ningepigwa.
Aisee nimeiwakalisha vibaya ila sio udalali ni kama genji hiviUdalali wa bongo na ujambazi umetenganishwa na uzi mwembamba sana
Sawa muuza makange mna makange mazuri sana.Nyie ndio mkifika apa BL soda moja mnaangalia game zote za Jmosi.
Leo ukija jitambulishe upate angalae bia mbili upunguze ugumu wa maisha
Hakuna maajabu....hayo maisha nishatoka huko.Sio kila jambo ni la kuandika humu, vitu vingine vinakuongezea huzuni na simanzi badala ya furaha
Huko famasi ndio hakufai watu wanapoga genji mlima.😂😂😂😂😂😂 Alikuwa anakushona kinoma. Maana dose tatu ungenunua 36k angefunga faida yake ya 33K.
Mafwele mtu mbadiKijana tukimtuma Mafwele aje akuhoji utaweza kuthibitisha madai yako?
Kwa tafsiri hiyo kila mtu ni mwizi hata wewe.Huu ni wizi huyo muuzaji alikuwa anataka kukuibia wala sio udalali huo
Mkuu ulichokuwa unafanya ni wizi wala sio udalali.
Udalali ni hali inahusisha mtu wa kati kupata kitu .
So bei ya bidhaa inajulikana na bei ya udalali inajulikana .
So mteja anamlipa mwenye mali fedha yake na dalali anapewa commision yake.
Yaani unakabidhiwa duka uuze bidhaa wewe unapandisha bei unasema udalali? Wewe ulikuwa unafanya wizi wala sio udalali
Mbowe.Bongo hii nani sio mwizi?
Mbowe Kazikutaa zishaibwa na baba yake.Mbowe.