Tuliopiga sana pesa za udalali kwenye biashara na bado life gumu tukutane hapa

Suala la wizi hapa kwetu linakatisha tamaa. Watu si waaminifu na biashara zinakufa hivyo. Mauzo hayapatikani kwa sababu aliyewekwa anapandisha bei
 
Fisadi naye ni mwizi, tena mwizi mkubwa.

Unazungumziaje maisha ya Seth wa IPTL, maisha ya late Lowasa, maisha ya ..., maisha ya madelu.
Wabongo tunaacha mapapa wezi wa taifa halafu wanaleta unafiki kwa sie wazee wa genji
 
Mara nyingi pesa zisizo za jasho Huwa haziwezi kukuimarisha kiuchumi.

Utaishia kulewa, kuvaa Nguo, kula kwa anasa na kushughulikia wanawake.

Hii inatokana na fikra kuwa hata kesho utapata pesa Tena, kumbe sivyo!
akili ya mtu, wengine hujiwekeza pesa hizo kwa uwoga wa maisha ya kesho wengine huzitumbua kwa kuamini kesho watapata tena
 
Duh 😁😁😁
 
Sio powa kaka....watu wanaropoka tu.
Ukifata maandiko unalaza familia njaa kabisa lazima ule kwa haki, lakini ukiona unaminywa sana lazima upigane ugawane kidogo na mwenzako.....japo wanasema faida iwe robo tatu ya mtaji.

Mfano uza product 10,000 na ulinunua 7,500.....2,500 ni faida yako ✅✅✅✅

Ukija kwenye udalali basi ale 1,000 mpaka 2,000 means product isiuzwe zaidi ya 12,000 isizidi hapo.

Sio kuuza 18,000 sijui 25000 product ya 10,000 hii ni dhambi wandugu,

sikatai mimi nimewahi fanya udalali lakini nilizingatia hizi standards.....
 
Hauwezi kuendelea kwa fedha za dhuluma ,udalali ni udhulumati tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…