Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 32,406
- 55,148
Hebu angalia yaani wanampangia maisha mtu mwenye mali yakeMtu mweusi akipata kazi anawaza anaiba vipi. Kuna Transporter ana chinese trucks saizi kaanza kufunga mfumo wa gesi sasa madereva wazoefu walikuwa wanapata pesa kwa kupiga Diesel. Mtu akiambiwa week hii peleka gari workshop ikafungwe gesi anaacha kazi hawataki gesi
Kuna siku cousin yangu aliita usaili wa madereva garage
Madereva wakajitokeza, wakiwa wanasubiri kuitwa wakawa wanaongea zao
Hapo alikuwa amekaa mtoto wa boss akiwasikiliza na kucheka kwa story zao
Basi akaja dereva mtarajiwa akakaa nae basi kwa ukiherehere akawauliza waliomtangulia akasema jamani kuna upigaji lakini hapa au ni ka mshahara tu?
Yule dogo mtoto wa boss akaenda kumtonya anaefanya interview