Ambition plus
JF-Expert Member
- Feb 23, 2018
- 6,101
- 11,381
Ni stori ndefu, umeshawahi kuchukiwa bila sababu....basi from day one huyu HR alinichukia tu...Huyu HR wengi wanamwogopa,ana jina hapa,Neno lake ni sheria..akisema umekosa inatakiwa ukubali.
Sasa hapa staff wengi ni waoga,wanajipendekeza kwake mpaka na wazungu.
Mimi ni mtu ninayosimamia misimamo yangu siyumbishwi kabisa japo Corona imenitoa kwenye reli.
Baada ya miaka mingi kuona siingi 18 zake akajaribu kuunga urafiki baada ya miezi kadhaa nikaona haiwezi..nikaendelea na mfumo wangu wa mwanzo.
Nikaletewa boss,mapambano yakawa makubwa..Mwaka mimi na boss wangu hatuzungumzi...baadae tulimaliza tofauti zetu tukawa kitu kimoja...
Boss akanikubali sana,nikawa promoted
Miezi 7 sijaongezwa mshara wala sijapokea barua...
Nikaona wananitania,nikaanza tafuta kazi, simu zikapigwa kwa HR kama mimi ni staff wa hapa..
Akawa ananisiribia..mwezi wa nane nikaongezwa pesa na barua nikapewa.
Vita ikaanza upya kati yetu (mimi na boss wangu) na HR...
Tarehe 29 mwezi uliopita tukamfata mzungu,tukamweleza hali halisi...tukaona mzungu hana sauti.
Nikamwambia boss wangu hapa hamna kazi,na draft resignation letter, tarehe moja nawapa.
Usiku wake mzungu ananiita ananionesha boss wangu kashamtumia email ya ku-resign. Kaniwahi.
Leo hapa nimeshaandika yangu....
Nawaza ni wakati gani wa kuituma.
Nataka niondoke kwa wema tu,
Tuki-resign sote kwa pamoja itaonekana lengo ni kuikomoa kampuni.
Sent from my SM-G975U using JamiiForums mobile app
Sasa hapa staff wengi ni waoga,wanajipendekeza kwake mpaka na wazungu.
Mimi ni mtu ninayosimamia misimamo yangu siyumbishwi kabisa japo Corona imenitoa kwenye reli.
Baada ya miaka mingi kuona siingi 18 zake akajaribu kuunga urafiki baada ya miezi kadhaa nikaona haiwezi..nikaendelea na mfumo wangu wa mwanzo.
Nikaletewa boss,mapambano yakawa makubwa..Mwaka mimi na boss wangu hatuzungumzi...baadae tulimaliza tofauti zetu tukawa kitu kimoja...
Boss akanikubali sana,nikawa promoted
Miezi 7 sijaongezwa mshara wala sijapokea barua...
Nikaona wananitania,nikaanza tafuta kazi, simu zikapigwa kwa HR kama mimi ni staff wa hapa..
Akawa ananisiribia..mwezi wa nane nikaongezwa pesa na barua nikapewa.
Vita ikaanza upya kati yetu (mimi na boss wangu) na HR...
Tarehe 29 mwezi uliopita tukamfata mzungu,tukamweleza hali halisi...tukaona mzungu hana sauti.
Nikamwambia boss wangu hapa hamna kazi,na draft resignation letter, tarehe moja nawapa.
Usiku wake mzungu ananiita ananionesha boss wangu kashamtumia email ya ku-resign. Kaniwahi.
Leo hapa nimeshaandika yangu....
Nawaza ni wakati gani wa kuituma.
Nataka niondoke kwa wema tu,
Tuki-resign sote kwa pamoja itaonekana lengo ni kuikomoa kampuni.
Sent from my SM-G975U using JamiiForums mobile app