Tuliopitia Vita Na Chuki Makazini Tushirikishane Hapa

Tuliopitia Vita Na Chuki Makazini Tushirikishane Hapa

Ni stori ndefu, umeshawahi kuchukiwa bila sababu....basi from day one huyu HR alinichukia tu...Huyu HR wengi wanamwogopa,ana jina hapa,Neno lake ni sheria..akisema umekosa inatakiwa ukubali.
Sasa hapa staff wengi ni waoga,wanajipendekeza kwake mpaka na wazungu.
Mimi ni mtu ninayosimamia misimamo yangu siyumbishwi kabisa japo Corona imenitoa kwenye reli.
Baada ya miaka mingi kuona siingi 18 zake akajaribu kuunga urafiki baada ya miezi kadhaa nikaona haiwezi..nikaendelea na mfumo wangu wa mwanzo.
Nikaletewa boss,mapambano yakawa makubwa..Mwaka mimi na boss wangu hatuzungumzi...baadae tulimaliza tofauti zetu tukawa kitu kimoja...
Boss akanikubali sana,nikawa promoted
Miezi 7 sijaongezwa mshara wala sijapokea barua...
Nikaona wananitania,nikaanza tafuta kazi, simu zikapigwa kwa HR kama mimi ni staff wa hapa..
Akawa ananisiribia..mwezi wa nane nikaongezwa pesa na barua nikapewa.

Vita ikaanza upya kati yetu (mimi na boss wangu) na HR...

Tarehe 29 mwezi uliopita tukamfata mzungu,tukamweleza hali halisi...tukaona mzungu hana sauti.

Nikamwambia boss wangu hapa hamna kazi,na draft resignation letter, tarehe moja nawapa.

Usiku wake mzungu ananiita ananionesha boss wangu kashamtumia email ya ku-resign. Kaniwahi.

Leo hapa nimeshaandika yangu....
Nawaza ni wakati gani wa kuituma.

Nataka niondoke kwa wema tu,
Tuki-resign sote kwa pamoja itaonekana lengo ni kuikomoa kampuni.



Sent from my SM-G975U using JamiiForums mobile app
 
Aisee kumbe nyie jamaa wa maofisini mnapigia mengi. Dah mmefanya nione bora hii kazi yangu ya bodaboda
Kila kazi ina changamoto zake kwa sababu Watanzania ni wale wale. Boda boda mnamchukia pia mwenzenu ambaye anapata wateja wengi mnaanza kusema ni mchawi, na nyie mnaanza kwenda kwa waganga. Basi inakuwa ni mwendo wa waganga tu! Hela yote inaishia huko kwa waganga halafu pikipiki ni ya hesabu.
 
Kila kazi ina changamoto zake kwa sababu Watanzania ni wale wale. Boda boda mnamchukia pia mwenzenu ambaye anapata wateja wengi mnaanza kusema ni mchawi, na nyie mnaanza kwenda kwa waganga. Basi inakuwa ni mwendo wa waganga tu! Hela yote inaishia huko kwa waganga halafu pikipiki ni ya hesabu.
Mie nashukuru sijafukka huko kwa waganga
 
Kila kazi ina changamoto zake kwa sababu Watanzania ni wale wale. Boda boda mnamchukia pia mwenzenu ambaye anapata wateja wengi mnaanza kusema ni mchawi, na nyie mnaanza kwenda kwa waganga. Basi inakuwa ni mwendo wa waganga tu! Hela yote inaishia huko kwa waganga halafu pikipiki ni ya hesabu.
Kabla sijanunua 'farasi' wangu, kulikuwa na bodaboda mmoja niliyekuwa ninamtumia mara kwa mara. Siku 1 nimefika kijiweni kwao, boda mwingine akaniita ila moja kwa moja nikaenda kwa boda niliye na ukaribu naye. Yule boda mwingine akanza kuropoka kuwa yule boda niliyemfata ni mchawi na wote wanajua.

Huyu boda nilikuwa nikikaa na kuongea naye unaona ni mtu mwenye malengo na anafanya kazi yake kwa umakini. Ila alikuja kuugua ugonjwa wa ajabu hospitalini haueleweki. Alizikwa mwaka juzi.
 
Ni stori ndefu, umeshawahi kuchukiwa bila sababu....basi from day one huyu HR alinichukia tu...Huyu HR wengi wanamwogopa,ana jina hapa,Neno lake ni sheria..akisema umekosa inatakiwa ukubali.
Sasa hapa staff wengi ni waoga,wanajipendekeza kwake mpaka na wazungu.
Mimi ni mtu ninayosimamia misimamo yangu siyumbishwi kabisa japo Corona imenitoa kwenye reli.
Baada ya miaka mingi kuona siingi 18 zake akajaribu kuunga urafiki baada ya miezi kadhaa nikaona haiwezi..nikaendelea na mfumo wangu wa mwanzo.
Nikaletewa boss,mapambano yakawa makubwa..Mwaka mimi na boss wangu hatuzungumzi...baadae tulimaliza tofauti zetu tukawa kitu kimoja...
Boss akanikubali sana,nikawa promoted
Miezi 7 sijaongezwa mshara wala sijapokea barua...
Nikaona wananitania,nikaanza tafuta kazi, simu zikapigwa kwa HR kama mimi ni staff wa hapa..
Akawa ananisiribia..mwezi wa nane nikaongezwa pesa na barua nikapewa.

Vita ikaanza upya kati yetu (mimi na boss wangu) na HR...


Leo hapa nimeshaandika yangu....
Nawaza ni wakati gani wa kuituma.

Nataka niondoke kwa wema tu,
Tuki-resign sote kwa pamoja itaonekana lengo ni kuikomoa kampuni.



Sent from my SM-G975U using JamiiForums mobile app
Hapo umechemsha kampuni huwezi kuikomoa Kwa kuondoka wewe. Labda uitie loss...

Unaporesign ni kwa faida zako binafsi na si kumkomoa yoyote yule
 
Ni stori ndefu, umeshawahi kuchukiwa bila sababu....basi from day one huyu HR alinichukia tu...Huyu HR wengi wanamwogopa,ana jina hapa,Neno lake ni sheria..akisema umekosa inatakiwa ukubali.
Sasa hapa staff wengi ni waoga,wanajipendekeza kwake mpaka na wazungu.
Mimi ni mtu ninayosimamia misimamo yangu siyumbishwi kabisa japo Corona imenitoa kwenye reli.
Baada ya miaka mingi kuona siingi 18 zake akajaribu kuunga urafiki baada ya miezi kadhaa nikaona haiwezi..nikaendelea na mfumo wangu wa mwanzo.
Nikaletewa boss,mapambano yakawa makubwa..Mwaka mimi na boss wangu hatuzungumzi...baadae tulimaliza tofauti zetu tukawa kitu kimoja...
Boss akanikubali sana,nikawa promoted
Miezi 7 sijaongezwa mshara wala sijapokea barua...
Nikaona wananitania,nikaanza tafuta kazi, simu zikapigwa kwa HR kama mimi ni staff wa hapa..
Akawa ananisiribia..mwezi wa nane nikaongezwa pesa na barua nikapewa.

Vita ikaanza upya kati yetu (mimi na boss wangu) na HR...

Tarehe 29 mwezi uliopita tukamfata mzungu,tukamweleza hali halisi...tukaona mzungu hana sauti.

Nikamwambia boss wangu hapa hamna kazi,na draft resignation letter, tarehe moja nawapa.

Usiku wake mzungu ananiita ananionesha boss wangu kashamtumia email ya ku-resign. Kaniwahi.

Leo hapa nimeshaandika yangu....
Nawaza ni wakati gani wa kuituma.

Nataka niondoke kwa wema tu,
Tuki-resign sote kwa pamoja itaonekana lengo ni kuikomoa kampuni.



Sent from my SM-G975U using JamiiForums mobile app
Re-sign tu kama ulishaamua. Hakuna Cha hasara
 
Nilkuwa nafanya mishe zangu za kitaa nikanunua gari...
mungu ni mwema nikapata na kazi nikaanza kaz huku namilik gari wacha weee idara nzima tulio kuwa na gari tuko 4
boss hana gari aisee nilijuta maneno kibao mara naringa mara mvivu kazn
 
Nilikuwa nafanya kazi somewhere kuna safari ikatokea tulitakiwa tuende maboss walivyosikia kuna safari ya nje ya nchi wakaanza kuleta ndugu zao na watu wao wa karibu kumbe manager anawachora tu alikuwa mzungu na ni organisation ya nje international company wakaanza kuambiwa watafute passport wakaanza mchakato mda ulivyokaribia,

inapelekwa list majina yetu hayapo na sisi ndio wakongwe yapo majina ya wageni tu mzungu akakataa akatoa list yake akasema nataka hawa waende kweli tukaanza mchakato tukaondoka kumbe mabosi hawakuridhia wakatuwekea kinyongo tulivyorudi tukaundiwa zengwe tukaondolewa Kazini wakadai tulikuwa tuna ringa na tunajifanya much know tukakubali matokeo tukaondoka kila mtu akapata chaka jingine.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nilikuwa nafanya kazi somewhere kuna safari ikatokea tulitakiwa tuende maboss walivyosikia kuna safari ya nje ya nchi wakaanza kuleta ndugu zao na watu wao wa karibu kumbe manager anawachora tu alikuwa mzungu na ni organisation ya nje international company wakaanza kuambiwa watafute passport wakaanza mchakato mda ulivyokaribia,

inapelekwa list majina yetu hayapo na sisi ndio wakongwe yapo majina ya wageni tu mzungu akakataa akatoa list yake akasema nataka hawa waende kweli tukaanza mchakato tukaondoka kumbe mabosi hawakuridhia wakatuwekea kinyongo tulivyorudi tukaundiwa zengwe tukaondolewa Kazini wakadai tulikuwa tuna ringa na tunajifanya much know tukakubali matokeo tukaondoka kila mtu akapata chaka jingine.

Sent using Jamii Forums mobile app
Dah! inasikitisha sana aisee,roho mbaya haijengi kabisa,kwa style hii,hayo maendeleo yatakujaje sasa?
Poleni sana mkuu.
 
Habari za muda huu

Haya yalinikuta kwenye kazi yangu ya kwanza nilipokuwa bado sijafunzwa na Ulimwengu

1. Chuki ya kwanza nilijisababishia mwenyewe baada ya kutongoza wafanyakazi watatu kwa nyakati tofauti wote walichomoa na kumbe walihadithiana ndipo nikaanza kupitia sarakasi na vitimbi hadi nikaona Ofisi Ni chungu.

2. Chuki ya pili nilikuwa na mshkaji alikuwa anapenda kunitembelea, siku moja alikuta kifaa kinachofanana sana na cha Mradi wa Taasisi, akauliza tu friendly umekitoa wapi, nikamjibu nilinunua dukani. Kumbe alienda kumuambia boss kuwa nimeiba kifaa Cha Mradi! Boss na yeye mwanamke, badala ya kuniita na kunihoji, akachukua uamuzi wa kunipunguzia 75% ya majukumu ikwemo ya site kwa hoja ya kwamba nimekosa uaminifu(japo hakuniamba directly, ila aliongea kwa mafumbo).

3. Nilifiwa, wakateuliwa wawakilishi wa taasisi wanisindikize msibani, baada ya msiba wakarudi kuhadithiana Hali ngumu ya kijijini kwetu. Niliposikia kuwa wamehadithia, nikachukua uamuzi wa kumpiga makofi yule dada. Kumbe ilikuwa ni Mali ya Boss, boss akazidisha vitimbi Hadi nikaona nikubali yaishe nikaacha kazi.

Namshukuru Mungu nilipata kazi Nyingine ambayo Ndiyo naifanya Hadi Sasa. Jambo la Msingi nililojifunza ni PRIVACY& CONFIDENTIALITY Ni muhimu Sana wakati wa kujumuika na workmates. Lingine ni KUTOKUMUAMINI YEYOTE KWA WAKATI WOWOTE kwani sehemu kubwa ya Chuki na vita makazini husababishwa na mtu kuwa na DETAILS zako.

Karibuni tushirikishane matukio ya Chuki na Vita tulivyowahi kupitia kazini.

Hizo lines za mwisho ume conclude vema sana. Privacy and Confidentiality.
 
Back
Top Bottom