Tuliopitia Vita Na Chuki Makazini Tushirikishane Hapa

Tuliopitia Vita Na Chuki Makazini Tushirikishane Hapa

Wanyakyusa hawana shida kabisa. Mimi ni mnyakyusa nafanya kazi kaskazini yaani natamani kurudi nyumbani tu maana hawa watu wa kaskazini especially wachaga wana roho chafu sana yaani itoshe tu kusema haya mashetani ni ma mbwa kabisa
Hii comment naenda ku print na kuweka lamination kabisaa
 
Sio kweli hakuna watu wako peace kama wafipa,mm nafanya kazi unyakyusani Cha moto nakiona mm Nina upendo na Kila mtu lkn hii mijamaa imezidi ukabila na roho mbaya.
Hawa wapumbavu ni wabaguzi sijapata ona.
Haha wanyaki noma niliumwa wakati Niko mbeya nikaenda hospital Moja rungwe uko inaitwa makandana nikaona watu wanaudumiwa uku kinapigwa kilugha wewe ambae hujui utakaa kweny bench adi ukome
 
Wanyakyusa hawana shida kabisa. Mimi ni mnyakyusa nafanya kazi kaskazini yaani natamani kurudi nyumbani tu maana hawa watu wa kaskazini especially wachaga wana roho chafu sana yaani itoshe tu kusema haya mashetani ni ma mbwa kabisa
Dah kwamba sisi wachaga mbwa mkuu??
 
Niliacha kazi yangu ya kwanza niliyoipenda sana kisa kumtia mimba mfanyakazi mwenzangu, yaani kila nikimuona akija kazini kitumbo kinachomoza ndio na hamu ya kua kazini inazidi kukata mpaka mwisho wa siku nikaamua ku resign.
 
Hilo reymage nakuona Kwa watu wa kwetu huku uswahilini. Wanatishia Amani sana Yani unapata hela Kwa shida then huambui kitu. Yani wanga kichizi. Na mwaka huu nataka kuhamia kawe
Wauswazi wengi Sio watu wazuri brother...jiulize why elf4 ,is it a coincidence???!!
Take extra care...mtumie Kwa simu Pesa za mkononi Kwa waswazi Sio nzuri
 
Back
Top Bottom