Ahmad Abdurahman
JF-Expert Member
- Mar 5, 2016
- 3,251
- 6,299
Shukran cariha.Na ni wote hyo hyo as long as huja Disco chuoni.
Hivi ada ya masters udsm sh ngp vile kama unajua mkuu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shukran cariha.Na ni wote hyo hyo as long as huja Disco chuoni.
Naskia zimeshuka kidogo Sasa hivi sijui exactly figure, I think mpaka umalize it's like 6 millions depending na course utakayochagua.Shukran cariha.
Hivi ada ya masters udsm sh ngp vile kama unajua mkuu?
Mimi nilishasahau Ila Kuna namna ya kutafta maana Kuna course nyingine Zina unit kubwa nyingine unit sio kubwa Sana. Mimi sikuhangaika nilisubiria transcript yangu maana wengine hesabu tulipata fa fa fa fa.
kwaiyo apo GPA mnayozungumzia ni ya mwaka wa mwisho au ni overall ya semista zoteMimi nilishasahau Ila Kuna namna ya kutafta maana Kuna course nyingine Zina unit kubwa nyingine unit sio kubwa Sana. Mimi sikuhangaika nilisubiria transcript yangu maana wengine hesabu tulipata fa fa fa fa.
hahah hiyo ada ya wapi hahahaNaskia zimeshuka kidogo Sasa hivi sijui exactly figure, I think mpaka umalize it's like 6 millions depending na course utakayochagua.
Huwa Kuna GPA ya mwaka wa kwanza, pili, na tatu, then Kuna overall GPA.kwaiyo apo GPA mnayozungumzia ni ya mwaka wa mwisho au ni overall ya semista zote
Chuo Cha jalalani mkuu kipindi flani kwa Sasa nilisikia zimeshuka kidogo so not surehahah hiyo ada ya wapi hahaha
Engineering na course za CoICT ni 4.5m zingine ni chini ya hapoChuo Cha jalalani mkuu kipindi flani kwa Sasa nilisikia zimeshuka kidogo so not sure
Umesema engineering na hapo zimeshuka Mimi Art's pale Ada milion Saba kasoro hivi hata risiti naweza kukupostia awamu hii ada ndo zimeshuka mzee baba.Engineering na course za CoICT ni 4.5m zingine ni chini ya hapo
Tena hapo ili uwe admitted lazima uanze na million mbili cash.Engineering na course za CoICT ni 4.5m zingine ni chini ya hapo
Katika soma yangu, hakuna sehemu ambayo naichukia kama UDSM.Ukijoin master's pale ukiwa na GPA ya 3.8 unaanza ka tutorial assistance Sasa hao wengine hata assignment za kawaida huwa zinawashinda wengine kupata supplementary kabisa, na wengi ufaulu huwa below so hawachukuliwi next step maana GPA haijafika na sio kuonewa huwa fair.
Pia chuoni huwa Kuna ukabila flani na kubebana GPA kwa watu wanaowataka hata kufaulishwa Kuna department unakuta wahaya tu, au Kanda flani basi watafaulisha watu wachache kiupendeleo ili wabaki.
Nadhani huyo wa MIT wivu tu uliwasumbua wakaamua kumchinjia baharini, in short udsm Kuna Mambo yawapasa kubadilika sio kukumbatia conservative tu siku zote.
Kwanini unaichukia? Shule ya pale Napo huwa stress tupu.Katika soma yangu, hakuna sehemu ambayo naichukia kama UDSM.
Ujuaji mwingi halafu ukija mtaani unaanza upya. Ingekuwa ni uwezi wangu kwanza tungebadilisha mitaala yote.Kwanini unaichukia? Shule ya pale Napo huwa stress tupu.
Na hyo ndo shida wengi hujisifia Mimi Niko vizuri Sana mwanafunzi huwezi nizidi na ukitofautiana mtazamo jiandae hata ku Disco vitu simple lazima wakutese, na ukikutana na prof mzungu mwenye CV na ma project mbalimbali duniani walah hawana shida kukufundisha na kukusikiliza, bwana wewe ukutane na Hawa wakwetu walikotoka huko vijijini wamefaulu wawili wilaya nzima kwanza hawajui kitu zaidi ya ku cremisha na roho mbaya, na hata project zake hazieleweki au research tu yenyewe.Ujuaji mwingi halafu ukija mtaani unaanza upya. Ingekuwa ni uwezi wangu kwanza tungebadilisha mitaala yote.
Nakumbuka mwaka wa tatu tulisomeshwa hesabu na Prof. mmoja Mkorea aisee hana hiyana yule mzee, kisha unakuja kujiuliza hawa ambao wametuzidi kila kitu mbona mambo wanayafanya kuwa mepesu halafu sisi ambao tuko nyuma kwa kila kitu tunafanya mambo yanakuwa magumu sana.
Sasa ukiritimba na kujifaragua kwa mataaluma ya uongo na kukariri wao ndiyo wanaona wajuaji.
Huenda hii inategemea na course unayosoma. Au huenda inategemea na chuo ulichosoma.Vipindi vingi tu one hour, the rest seminars.
Mziki wa three year's wasoma in one year unafikiri ni kazi ndogo undergraduate hicho kitu wakuta ulisoma as a topic, post graduate Hiyo ni course nzima inaenda deep zaidi.Huenda hii inategemea na course unayosoma. Au huenda inategemea na chuo ulichosoma.
Ni kweli maana kuna mmoja nilishangaa amepataje nafasi ya kufundisha wakati ufaulu wake ni wa kawaidaMakubwa pia pale Kuna kujuana flani flani hivi.
Mimi niliwahi kukamatwa somo la option hahaha yaliyonikuta sitayasahau...Tena hzo ulizoandika kubwa wengine wanachezea chini ya hapo Kuna option ukienda ujue hufaulu kupata A.
Kwa udsm ni 2.6 Tena kwa waliosoma hapo waliosoma nje ya udsm huwa GPA kubwa zaidi. Hapo labda vyuo vingine
Hyo new GPA hyo according to prospectus na hyo ilikuwa kwa waliosoma undergraduate the rest vyuo vingine GPA walichukuliwa kubwa zaidi vile hawajasoma hapo. Udsm Wana guideline yao hyo ya tcu ndo naona hata GPA ili uwe lecturer chuo Kikuu ni 3.5 Ila pale hawakuchui hata Kama una first class vyuo vya kata pale hawakuchukui so there is difference