atlas copco
JF-Expert Member
- Jun 15, 2015
- 8,497
- 9,728
Nakumbuka kuna kipindi nilishi Kijiji kimoja wilaya ya Handeni,basi yupo dada mmoja alikuwa mke wa teacher yaani sijui hata nisemaje,asubuhi mume wake akiwa ameenda kazini lzm aje kuniamsha na kuniuliza why nachelewa kuamka mambo ya msosi ndio usiseme mpaka mumewe akanihisi vibaya,mm kwakweli nilimheshimu yule dada na vilevile niliogopa mazingira ya pale,ila mwisho wa siku yule dada alinichukia mpaka kunisema Kwa watu vibaya nikajuta nikasema Wema wangu umeniponzaKweli kabisa mana sio kila chakula lazima ule. [emoji2] [emoji2]
Na unaona it's right to torture him, you're taking advantage just coz he seduced you. It's not right.Kabisa mkuu, mpaka kesho nikitaka pesa ninangoja akiwa amekaa na sister nikiziingiza yeye hawa anajibu wa kwanza tutakupatia usijali.
Nakumbuka kuna kipindi nilishi Kijiji kimoja wilaya ya Handeni,basi yupo dada mmoja alikuwa mke wa teacher yaani sijui hata nisemaje,asubuhi mume wake akiwa ameenda kazini lzm aje kuniamsha na kuniuliza why nachelewa kuamka mambo ya msosi ndio usiseme mpaka mumewe akanihisi vibaya,mm kwakweli nilimheshimu yule dada na vilevile niliogopa mazingira ya pale,ila mwisho wa siku yule dada alinichukia mpaka kunisema Kwa watu vibaya nikajuta nikasema Wema wangu umeniponza
[emoji2] [emoji2] [emoji2] Hapo wema haujakuponza bana ila umekuepusha na majuto yasiyo na ulazima
I didn't ask him did I?Na unaona it's right to torture him, you're taking advantage just coz he seduced you. It's not right.
[emoji12]Tujikumbushe ilivyokua ama mbinu tulizotumia kufanikisha azma ya kutembea na mashemeji zetu(rafiki ama ndugu wa mke/mume).
Mie nilikua na rafiki yangu ambae tulipangiwa kazi wilaya flani huko porini.. Rafiki yangu alitangulia na kuwa mwenyeji wangu, nilipofika nilimkuta kazama katika mahusiano na mtoto mmoja matata.
Kosa lake alipenda kuandamana nae kila sehem hata katika vikao vyetu vya jioni(kinywaji).. Katika mvinyo kuna ukweli.. Nilipiga sound kama waziri wetu wa biashara, mtoto kanielewa. Kesho yake nikatumbukiza.
Karibuni mtoe uzoefu wenu.
Sina jibu aisee kwa sababu sijawahi kujaribu hiyo kitu.
Ivi mfano nikuulize swali.,, Kwa nini wanawake mkijipendekeza mkakuta hampendekeziki kwa mtu, mnajazaga maneno, dharau yan lengo lenu huwa ni kumfanya mtu aliyekukataa aonekane Nnya...!!!
Kwa nini...?? Na tusivyojuaga kujitetea ndo kabisaaa...!!
Ndio sababu mm nasema yeyote akijipendeza ss hivi ni kutafuna tuu hamna namna
Ivi mfano nikuulize swali.,, Kwa nini wanawake mkijipendekeza mkakuta hampendekeziki kwa mtu, mnajazaga maneno, dharau yan lengo lenu huwa ni kumfanya mtu aliyekukataa aonekane Nnya...!!!
Kwa nini...?? Na tusivyojuaga kujitetea ndo kabisaaa...!!
[emoji134] [emoji134] [emoji134] [emoji134] [emoji134]mm nimemlamba mdogo wa demu wangu mpk akaniganda ila demu wangu mwenyewe sijawahi kumgegeda
MmhhhNdio sababu mm nasema yeyote akijipendeza ss hivi ni kutafuna tuu hamna namna
Sina jibu aisee kwa sababu sijawahi kujaribu hiyo kitu.
Ila watakuwa na sababu zao sio bure
Unashangaa nini sasa. Si ndio nawewe unakokutaka huko [emoji124] [emoji124][emoji134] [emoji134] [emoji134] [emoji134] [emoji134]
Nimazingira tu yalisababishaNdio ukikaa uuone ni ujinga ambao haukuwa na faida kwa sababu unaweza ukarudia siku nyingine.
Lazima ujitetee. Ila na wewe ulipenda ndio maana ikawa hivyo.Nimazingira tu yalisababisha
Nikisema shetani hapana nitakuwa nakosea ni mm mwenyewe ila mdogo mtu nilmtaka mwenyewe dada mtu alitaka mwenyeweLazima ujitetee. Ila na wewe ulipenda ndio maana ikawa hivyo.
Shemeji mbona unagunaMmhhh
Siku zote huwa ni jambo jepesi kuzungumza ila ukishafanya ndio utaona nafsi inavyokusuta.Muwe mnashaurianapo huko mnakosukana..!! Mnaweza mkawatupia lawama zote wanaume kumbe nyie ndo vyanzo vikuu..!! Mi naona waaaiii kwan bei gani kumbwinya akati nikimkataa atanipaka kashfa 100 kidogo...!!! Napita tu huku nimefumba macho
Nimemshangaa jamaa coz ambae ndio dem wake hajatafuna lkn Mdogo mtu kala ss hapo hapo nimeshindwa kuelewa mpaka sasa hivi anasubiria nin,au ndio wanachunguzana tabia[emoji23] [emoji23]Unashangaa nini sasa. Si ndio nawewe unakokutaka huko [emoji124] [emoji124]