Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi nilitumia pesa ya Ada nikapanda Deci kabla sijavuna ikafutwa lolNilikopa mil.2 nikapanda DESI,kabla hata sijavuna DESI ikafutwa....sitakaa nisahau machungu ya pesa ile.
Niunganishe na huyo mtu mkuu hela ninayoMbona mnanitisha wakuu nataka inivute mil 15 crdb then nikachukue nyumba kuna jamaa kafail kufanya mrejesho so ameona bora aniuzie mimi nyumba yake kuliko kupigwa mnada daa kanitia nyege kichizi nataka nivumilie ila niwe nishapata nyumba maana kujenga ni mbinde siku hizi
Sasa mimi niikose sio?Niunganishe na huyo mtu mkuu hela ninayo
Maisha siyo barabara iliyonyooka na kumbuka siku hazigandi yatapita kaza buti baba, ndo kwanza alfajiri.Mimi nilikopa mwaka jana NMB Mi. 9 kwa miaka mitano. Nikachukua pikipiki mbili. Moja ya bodaboda na nyingine ya kwangu kutembelea. Mil.4 nikachukua kiwanja na shamba kwa ajili ya kilimo. Laki 5 nikalimisha shmaba na kupanda mahindi na laki tano nikafanyia mambo yangu menginene. Mshahara nikabaki 247,000
Matokeo yake;
i)Bodaboda ilidumu miezi sita ikaibiwa.
ii) mahindi sikupata hata nusu gunia,kwa sababu ya ukame.
iii)mipango yangu ilikuwa mwaka huu nioe kama mambo yangeenda vizur kinyume chake nimeshindwa,mchumba wangu alipoona hali imekuwa tete akaanza visa kumbe kashaanza mahusiano na mwanaume mwingine,nikabaki mimi kama mimi.
iv)Baada ya bodi ya mkopo kuanza kukata 15% nikaanza kuchukua 197,000/= kwa mwezi
v) kwa sasa siwezi saidia chochote kwa mama na ndugu zangu kibaya zaidi mdogo wangu kachaguliwa chuo cha afya diploma ada mil.2. 5 sijaweza kumpa hata mia.
Sina bahati kabisa
Mmmh!..hii lugha IPO kweli au ujanjaujanja!?Funzo tosha mkuu aya maisha aya wakwaya wanasema omurume ni kwikaza ukiregeza abhakukaza wish you happy strong day aluta continue
Moja bado ninayo. Ni boxer ambayo ni kwa ajili ya matumizi yangu. Ninapokaa na kazini kwangu kuna umbali hivyo inahitaji usafiri.Bado una bodaboda moja mkuu
Asante mamaMaisha siyo barabara iliyonyooka na kumbuka siku hazigandi yatapita kaza buti baba, ndo kwanza alfajiri.
Mi nakufunga mkuu....unaenda jela asubuhiii na mapema hata kama ni Ndugu au rafiki wa karibu...mtu asilete upimbi kwenye masuala ya shilingiKutapeliwa na ndugu/rafiki wa karibu inauma sana maana huna hata la kumfanya [emoji22]
mambo Koku?Ouww so sorry,.Marry Christmas & Happy New Year to you too.[emoji318] [emoji322] [emoji323]