Rene Jr.
JF-Expert Member
- Jan 31, 2014
- 3,714
- 2,376
Hahahhaa, watumishi wa serikali naona mikopo inawaumiza kweli, hii ni kwa sababu tu hamzijuwi mbilinge na mishe za mtaa. Mke wangu mimi naye anaendelea kulipa mkopo wa pesa nyingi ambazo alikopa, akafungua duka na kununua pikipiki kadhaa. Wakati anaenda kukopa hakuniomba ushauri wowote, lakini mimi niliziona forms za mkopo...skumuuliza kwa sababu ni non of my business.
Alipoingiziwa pesa akaja kunambia amechukua mkopo wa pesa kadhaa anataka kufungua duka la rejareja anaomba nimsaidie kupata wasambazaji wa bidhaa kwa bei nzuri na kumsaidia hesabu jioni. Skuwa na hiyana, nikamwambia Duka la rejareja sina uzoefu nalo, lakini to what I know linahitaji usimamizi wa karibu sana muda wote uwepo dukani, na wote ninaowafaham mimi waliofanikiwa kwa biashara hiyo wanashinda dukani full time, yeye akanijibu ameshaamua, na ana maono makubwa sana mbele juu ya biashara hiyo.
Basi nikamsaidia kupata wauzaji wa bidhaa ninaowafaham akajaza mzigo dukani, suala la kusimamia hesabu nilimwambia akomae yeye mimi muda wangu uko tight afanye yeye mwenyewe (nikweli sikuwa na muda, na skutaka kujihusisha na biashara nisiyo na uelewa nayo), akanunua na pikipiki nne mishe zikaanza. Haukuisha mwaka anaomba nimwongezee pesa ya pango la duka!!!
Pikipiki zote ameshauza kwa kugombana na madereva. Wakati huo sisi wazee wa mishemishe tunazama na kuibuka, ukigeukia huku unatandikwa ukiinuka unacharaza biashara zinakwenda na mikopo tunachukua yakushiba vilevile, nyumba za kukopea zipo na tunaendelea kkujenga, ukiona mkopo huu biashara unayofanyia imezingua unawauzia benki nyumba pesa unahamishia kwenye biashara nyingine kunakuchwa kunakucha mishe zinaendelea.
Nyie watoto wa mama mmezowea kuingiziwa pesa kwa mwenzi wengi wenu mnaishi kwa ndoto bila kujua kukaza, japo wapo wengi pia ambao tunapigana nao vikumbo mjini wanakomaa na wanafanya poa sana tu!
Alipoingiziwa pesa akaja kunambia amechukua mkopo wa pesa kadhaa anataka kufungua duka la rejareja anaomba nimsaidie kupata wasambazaji wa bidhaa kwa bei nzuri na kumsaidia hesabu jioni. Skuwa na hiyana, nikamwambia Duka la rejareja sina uzoefu nalo, lakini to what I know linahitaji usimamizi wa karibu sana muda wote uwepo dukani, na wote ninaowafaham mimi waliofanikiwa kwa biashara hiyo wanashinda dukani full time, yeye akanijibu ameshaamua, na ana maono makubwa sana mbele juu ya biashara hiyo.
Basi nikamsaidia kupata wauzaji wa bidhaa ninaowafaham akajaza mzigo dukani, suala la kusimamia hesabu nilimwambia akomae yeye mimi muda wangu uko tight afanye yeye mwenyewe (nikweli sikuwa na muda, na skutaka kujihusisha na biashara nisiyo na uelewa nayo), akanunua na pikipiki nne mishe zikaanza. Haukuisha mwaka anaomba nimwongezee pesa ya pango la duka!!!
Pikipiki zote ameshauza kwa kugombana na madereva. Wakati huo sisi wazee wa mishemishe tunazama na kuibuka, ukigeukia huku unatandikwa ukiinuka unacharaza biashara zinakwenda na mikopo tunachukua yakushiba vilevile, nyumba za kukopea zipo na tunaendelea kkujenga, ukiona mkopo huu biashara unayofanyia imezingua unawauzia benki nyumba pesa unahamishia kwenye biashara nyingine kunakuchwa kunakucha mishe zinaendelea.
Nyie watoto wa mama mmezowea kuingiziwa pesa kwa mwenzi wengi wenu mnaishi kwa ndoto bila kujua kukaza, japo wapo wengi pia ambao tunapigana nao vikumbo mjini wanakomaa na wanafanya poa sana tu!