toka lini ngozi nyeusi ikiatoa mbegu nzuri1. Uzuri wa Mwanamke unasaidia kupata mbegu nzuri ya watoto
2. Wamekuwa ombaomba kwa sababu hawajapata kazi walizosomea
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
toka lini ngozi nyeusi ikiatoa mbegu nzuri1. Uzuri wa Mwanamke unasaidia kupata mbegu nzuri ya watoto
2. Wamekuwa ombaomba kwa sababu hawajapata kazi walizosomea
Kuna uhusiano gani kati ya ngazi ya elimu na mwanamke kuwa mama na mke bora katika familia?Wengine tunahitaji
1. Mwanamke mzuri
2. Mwenye elimu kuanzia Diploma
3. Mwenye uwezo wa kujitegemea kiuchumi hata siku tukiachana iwe kwa talaka au kifo.
4. Mwanamke mwenye Imani.
Chochote kikipungua hapo anakosa sifa ya kuwa Mke kwa upande wetu. Hii ni kutokana na karne tuliyonayo.
Darasa la saba wa umri wa 35 na tafuta wa nini huyu atakua singo maza tayari hana radha tena ya ubint darasa la saba ni kati ya miaka 5 hadi 10 tangu achee shule sio hizo kunguru.Kinachowasaidia au kuwabeba wanaooa darasa la saba ni kwamba; wanapata watoto ambao wanaweza kuwafold watakavyo!!
Pili; kwa walioa siku za nyuma walipata mabikra ambao hawana tabia za kuruka ruka!!
Hakuna tofauti yao na kinachotokea kwa Sadio Mane, kuoa mabinti wenye umri kati ya 18 hadi 20. Tena ukute kakulia kwenye miji midogo na tulivu. Anajua maisha ila mambo mengine ya kidunia hajui.
Kaoe darasa la saba mwenye miaka 25-35 keshafanya kazi kwenye makampuni ya usafi miaka mitano then uje na report hapa!!
Ni uzembe tu,wangapi wanafanya mishe tofauti na taaluma zao na maisha yanaenda?1. Uzuri wa Mwanamke unasaidia kupata mbegu nzuri ya watoto
2. Wamekuwa ombaomba kwa sababu hawajapata kazi walizosomea
Mkuu mbegu nzuri hawalipi ada shuleni? au supermarket wanapewa bidhaa bure? au nauli halipi kwenye daladala, tungekua tunazingatia hayo Mkapa asingekua Raisi wa nchi hi, Uzuri wa mtoto hauna any economic impact katika maosha ya ndoa au nchi1. Uzuri wa Mwanamke unasaidia kupata mbegu nzuri ya watoto
2. Wamekuwa ombaomba kwa sababu hawajapata kazi walizosomea
Ngoja tukuache hapohapo. Maana unasafari ndefu sanaSasa great thinker na darasa la saba mnaongega nini?
ila mke si yupo vzuri?Mkuu nimeoa darasa la Saba ila ninacho pambana nacho ni mafeminist yaani sehemu nilizo pita nae kakutana na majirani walio soma na kujenga nao urafiki baadhi yao aisee hao ndio wamekua chungu ya ndoa yangu bila hao ndoa ilikua inaelea tu kwenye bahari tulivu. Nikitulia nitaleta kisa juu ya hawa mafeminist jinsi wasivyo mtakia mema mke wangu.[emoji29]
toka lini ngozi nyeusi ikiatoa mbegu nzuri
Mkuu mbegu nzuri hawalipi ada shuleni? au supermarket wanapewa bidhaa bure? au nauli halipi kwenye daladala, tungekua tunazingatia hayo Mkapa asingekua Raisi wa nchi hi, Uzuri wa mtoto hauna any economic impact katika maosha ya ndoa au nchi
Hapa ndio wengi inatushinda. Unahitaji muda kumvumilia na mpaka aje ku adapt mazingira na kubadilisha fikra afikie kule unakotaka. Usipokua makini unaweza shangaa wewe ndio umeenda aliko yeye(kifikra).Ila pia wana mapungufu katika kufanya maamuzi, kutoa ushauri na katika ugomvi ukitokea
Mkuu unatumia kinywaji gani? Nakutumia maokoto mpesa ukajipozeMwanaume ufanikiwa kutokana na utulivu wa mkewe.
Utulivu utokana na malezi na kujitambua
Ukweli usiopingikaMimi nikioa sio kwamba natafuta bussiness partner nahitaji na huduma za mke hujulikana, kama nataka kujenga biashara ntatafuta bussiness partner au economic consultant au taenda benki wanipe ushauri, hiyo sio kazi ya mke.
Hata form four aliyepata ziro naye ni la sabaHao la saba wanapatikana wapi....! Na sasa hivi kufaulu kulivyo rahisi
Mkuu hamna kiumbe kisio kua na mbegu nzuri human race is superior, kutafuta uzuri wa muoneka ni ega ya mtu au udhaifu wa nafsa hauna uhusiano wowote katika vitu muhimu vinavyo uda maisha maziri........hiyo ni poor mentality mkuu.Kwenye uzazi viumbe wote huangalia mbegu.
Economic impact NI ishu ya akili