Tuliowahi kuteswa na marejesho ya mkopo tukutane hapa

Hapo uliposema usichukue mkopo kuanzisha biashara umetumia vigezo vya wewe kukwama wakati mmoja tu. Sisi tunataka mikopo tuweke mabiashara
a
 
Mikopo inaleta fedheha hasa kausha damu ukishndwa kurudisha wanakuja
kubeba hadi chupi nilishudia kwa mdada mmoja iv.
Yaani mikopo si mizuri wallah, nina best yangu kakopana kwenue vicoba sijui black sijui wapi yaani na hana alichokifanya, sasa ni kazi ya mume kumlipia mkewe madeni.
 
Hahaha nina kamkopo kangu ka laki Tano hapa nashangaa mbona hakaishi, hapo nilikuwa natest nilitaka nichukue milioni Moja nikaona hapana embu nitest laki Tano dah nashangaa akaishi bana na mwisho wake ni Jumatatu ijayo doh
[emoji23][emoji23][emoji23],utapata presha[emoji23][emoji23]
 
Dadangu anafosi nimwandikie barua ya mkopo,
Anakopea kiwanja cha urithi, hii ni mali yetu mimi na yeye....hii pesa nina wasiwasi hatarudisha.
Naandika kesho kuepuka lawama ila najua ili deni nitalipa mimi dadeki.
Vizuri unajua kabisa utalipa mwenyewe hapo haina shida....
 
Heri mtu ukope ujue deni ni lako.....wengine tunaumizwa na kudhamini watu, kukopesha aisee mtu hupati hata usingizi

Sent from my SM-A042F using JamiiForums mobile app
Hii imenikuta mie na nimeapia sitomkopea mtu katu,labda mama yangu.


Yaani nilimkopea best yangu kwa jina langu so tarehe ya marejesho ilikuwa 19/12 mwezi huu, sasa ananiambia hana hela[emoji23]

Kiukweli nilijifungia ndani siku kama mbili hivi hata kula siwezi na nguvu sina, na mama sikumuambiaga kama nilimkopea mtu[emoji23],

Home niliwaambia tu kuwa naumwa,

J,pili ikapita na sikwenda niliagiza tu pesa ya hisa,

Nilivyoona yataniua,nilimwambia mama aisee,ikabidi anipe kiasi na nyingine akaniambia nitajua mwenyewe,na,

Na j,pili ya juzi ilikuwa ni siku ya mwisho kukabidhi pesa mezani aisee malengo yangu yote yameyeyuka maana nimekatwa hisa zangu na pesa za maafa,

Na kama kunilipa atanilipa lkn si kwa mwaka huu tena,

Najuta na sitorudia tena.
 
Nikupe pole in advance kabla hao wabia unaowatafuta hawajaja
 
Pol
Pole ni shngp ulimkopea
 
Yaani mikopo si mizuri wallah, nina best yangu kakopana kwenue vicoba sijui black sijui wapi yaani na hana alichokifanya, sasa ni kazi ya mume kumlipia mkewe madeni.
Yani unakuta ameachiwa hela ya matumiz anapeleka rejesho mwisho wa siku anaomba omba ili apate ya chakula...kweli kazi ipo
 
Yani unakuta ameachiwa hela ya matumiz anapeleka rejesho mwisho wa siku anaomba omba ili apate ya chakula...kweli kazi ipo
Inabidi tujue tofauti ya mke na wife hapa maana mioyo yetu inakufaa ganzi kila leo
 
Yaniu kausha damu sio mikopoo ni uuaji uleee
 
Yani unakuta ameachiwa hela ya matumiz anapeleka rejesho mwisho wa siku anaomba omba ili apate ya chakula...kweli kazi ipo
Yaani,kula kuvaa analetewa tu mahitaji no pesa, kila akipewa mtaji haudumu maana marejesho ni mengi,

Mumewa alikuwa anamkabidhi bajeti ya mwezi ya chakula lkn anunui mahitaji analisha ugali dagaa mwezi mzima, mume kwasasa ananunua kila kitu mwenyewe,

Sema tu huyu ni tamaa tu.
 
Poleni sana...maisha yamegeuka
Yamegeukaje apa wife material ukimwachia pesa unakuta kanunua kila kitu chenye pesa uliomwachia lkn mke unaweza sikute kitu chochote na pesa umemwachia isipokua Utaambiwa njoo na chakula chako au chips pesa yote imepelekwa kwenye vikoba na marejesho 🤣🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…