Tuliowahi kuvamiwa, kuibiwa au kutekwa na majambazi tujikumbushe

Chai

Sent from my TECNO KD6 using JamiiForums mobile app
 
Mwaka 2012 nikiwa na rafki angu tulipewa mtaji na mwl wetu wa sekondari baada ya kuhitimu kidato cha nne,,Basi tulianza biashara ya kununua samaki.
Siku moja majira ya saa nane usku tulitoka ziwan na samaki wengi karbia wa laki sita tumefunga kwenye baiskel zetu kila mmoja,
Gafla tulikula fimbo,,ngumi na mapanga kumbe ni majambazi tulipigwa sawa sawa aisee sitasahau
 
Mkuu we kiboko aisee
 
Mi nlipoona wanahangaika na mlango, nikalala chini huku nau'face mlango.kimyaaa!! tuliii!!
ile wamefanikiwa tu..nikaanza kuimba nao za kichwa tu
Ni za kichwa tu hamna vurugu
 
Ukatembea ukuni nje bro
 
Waarabu walitokea wapi vile
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…