Tuliowahi kuvuta bangi tukutane hapa

Hii ni chai ya waziwazi........., kusokota bangi yenyewe ina ufundi kama hujakaa na wavuta bangi sana huwezi kuisokota maisha....... zaidi utaishia kuimwaga yote au kuchana rizla

Watu wanasema washavuta ila kuna style ya kuvuta la sivyo itakupalia au uvute uicha mdomoni halafu utoe moshi hapo hujavuta ila umechezea.....

Kwanza mwandishi hata stimu ya sigara inaonyesha haiwezi halafu anakuja kuleta upuuzi huku kutafuta kiki kwa vitu vya ajabu..
 
wewe ndo unapotosha. wasiufute kabla hawajavuta! Vitu vingne tunaaminishwa tu na kuogopeshwa lakini havina uhalisia wowote.
Hao vijana wako itakuwa walivuta vitu vingne sio bangi nina uhakika!
 
hao mnaosema wanachanganyikiwa ndo wanavuta kwa style stahiki? Risla na bangi vitu viwil tofauti mzee
 
Wakati huo wewe ulikuwa unamuona, au ulisimuliwa?
 
wewe ndo unapotosha. wasiufute kabla hawajavuta! Vitu vingne tunaaminishwa tu na kuogopeshwa lakini havina uhalisia wowote.
Hao vijana wako itakuwa walivuta vitu vingne sio bangi nina uhakika!
Nikikuita mpumbavu nitakuwa nimekuvunjia heshima?
 
hao mnaosema wanachanganyikiwa ndo wanavuta kwa style stahiki? Risla na bangi vitu viwil tofauti mzee
Ndiyo wanavuta kwa style stahiki ndio maana wanapata madhara kama hayo maana kila kitu ukizidisha kina madhara....

Kwa hyo Bwana Mvutaji Bangi yako ulisokota kwenye gazeti[emoji28][emoji28]..... Bhas wewe hukuvuta Bangi ila ulivuta "sonyo" hebu kawaulize waliokuuzia walikupa Bangi kweli
 
Wakati huo wewe ulikuwa unamuona, au ulisimuliwa?
Nakwambia tena wewe hujawahi kuvuta hata majani ya mdimu na mpapai hata kujaribu hujawahi sembuse bangi siku ukijaribu ndio siku unaenda kutolewa Malinda hakikisha una msosi wa kutosha
 
nilivuta zaidi ya mara 2 maeneo tofauti tofauti. mzee baba mimi naijuwa bangi vizuri sana
 
Nakwambia tena wewe hujawahi kuvuta hata majani ya mdimu na mpapai hata kujaribu hujawahi sembuse bangi siku ukijaribu ndio siku unaenda kutolewa Malinda hakikisha una msosi wa kutosha
umekaririshwa na ukakariri rafiki yangu
 
MAWEED fika hapa
 
Vp kuhusu cocaine ushawahi kujaribu???
 
nilivuta zaidi ya mara 2 maeneo tofauti tofauti. mzee baba mimi naijuwa bangi vizuri sana
Halafu Mkuu tokea nimekuuliza maswali yangu hujajibu hata moja........

Hapa yenyewe nimekuuliza ulivutia kwenye gazeti ila mpaka sa hivi hujanijibu
 
Hizi ni mbwembwe tu, kwanza mbegu za bangi zina mafuta sana hivyo kuwasha mbegu pekee haiwezekani lazima msokoto uzime. We fikiria kama mtu unavuta bangi(majani) ikifika sehemu yenye mbegu kwenye msokoto moto unalipuka alafu baada ya hapo inazima.

Dogo haya mambo tupo ma legend ila tulishaacha long. Kifupi bangi haina issue ni ujana tu.
 
ok mimi nilivutia kwenye gazeti, je rizla inaongeza nini kwenye bangi?
Unaijua rizla kwanza ? Kifungashio Cha Tumbaku Cha zamani ambacho kimeachwa kiendelee kutumika kwa matumizi ya kunyongea bangi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…