Kuna mmoja kaja juzi bila hata salamu eti demi nakutaka. Kha! Nikaishia kucheka tu[emoji23] [emoji23] [emoji23] pm kuna mambo...kuna watu ni wasumbufu yaani we acha tu. Wapo wale anakuja anakutumia pm ya kwanza kukusalimia ukimjibu meseji ya pili anataka kujua unapatikana wapi, ya tatu anaomba namba ya simu...ukishafika hapo nakupotezea sikujibu tena
Endelea kujua hvyo hvyoNyie na Saint Ivuga lazma mlifikia muafaka tuu... sisi tunakutambua kama shemeji yetu sio vinginevyo
Mbona pm yako nayo imefungwa swahiba![emoji1][emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] safi sana rafiki. Ukiona hivyo basi jua kwa asilimia zote na wewe unajielewa rafiki.
Hili ni funzo kwa wale wanaoleta maneno machafu kwenye PM za wenzao ili wajue wapo wanaojielewa na wastaarab wengi tu na wanakwenda na kupokelewa pia.
Mie Pia namshukuru Mwenyezi Mungu sijawahi kukaa na kuijutia Pm yangu. Hahaaaaa.
Acha uchoyo Shunie, share nasi experience yako ya pyem banaAcha niwe msomaji tu
We si umesema hukujui pm naona unatafuta kibuti kwa nguvuAsante sana
Hahahahah,,, htk kibentensitasahau kuna dada aliandika anatafuta kampan na mtu wa kujirusha nae...nikajiona mjanja nikaenda pm fasterr...kimbembe yeye yupo dar mimi mkoa mwingine...yeye anakuaga sana bussy ila tulienda ivo ivo mpaka whatsApp...nilichokuja kuharibu niliweka dp inayoonyesha timetable ya UE(university exam) kipindi nipo chuo..
hapo hapo akasema ha date wanafunzi[emoji23][emoji23][emoji23]...nikakosa papuchi jamani[emoji3]
wacha bwanaa!![emoji2]Pm bhana kuna mengi aiseee
Ukijiloga ufanye tu mistek kdogo
Unakuta umeanzishiwa Uzi
Ila pm n tamu Kwa kuombea
papuch ukiomba kistarabu
Unaila kama mahind choma vle
Twende PM ASAP!Acha niwe msomaji tu
[emoji23] [emoji23] [emoji23] pm kuna mambo...kuna watu ni wasumbufu yaani we acha tu. Wapo wale anakuja anakutumia pm ya kwanza kukusalimia ukimjibu meseji ya pili anataka kujua unapatikana wapi, ya tatu anaomba namba ya simu...ukishafika hapo nakupotezea sikujibu tena
[emoji23] [emoji23] [emoji23] pm kuna mambo...kuna watu ni wasumbufu yaani we acha tu. Wapo wale anakuja anakutumia pm ya kwanza kukusalimia ukimjibu meseji ya pili anataka kujua unapatikana wapi, ya tatu anaomba namba ya simu...ukishafika hapo nakupotezea sikujibu tena
Kumbeeee. Usijali Swahiba we ukitaka kuja niambie [emoji12] [emoji12] nitakufungulia tu. Hahahaaaa.Mbona pm yako nayo imefungwa swahiba![emoji1]
Haa haa haa sema ukiendawacha bwanaa!![emoji2]
Inna[emoji8]Endelea kujua hvyo hvyo
[emoji23] [emoji23] sasa mkuu si umeshaniona hapaMkuu siku nyingi sana sijakuona jukwaani ngoja nije kule PM nikusalimie vizuri. Hahahahah.
Kumbeee [emoji122] [emoji122] [emoji122] hongera kwaoPm yangu imejaa watu wastaarabu tupu. Watu wanaojielewa. Congrats my PM members!
[emoji1] leo nitajaribu km imefunguliwaKumbeeee. Usijali Swahiba we ukitaka kuja niambie [emoji12] [emoji12] nitakufungulia tu. Hahahaaaa.
kuomba no ya simu kawaida[emoji20] lkn japo inategemea ni kwa mlengo ganii![emoji23] [emoji23] [emoji23] pm kuna mambo...kuna watu ni wasumbufu yaani we acha tu. Wapo wale anakuja anakutumia pm ya kwanza kukusalimia ukimjibu meseji ya pili anataka kujua unapatikana wapi, ya tatu anaomba namba ya simu...ukishafika hapo nakupotezea sikujibu tena
Hahaaaa. Sanaaaaa.Huko p.m inaelekea kuna mengi dah!