Tuliowahi kuwasumbua mademu PM tukutane hapa

Kuna mmoja kaja juzi bila hata salamu eti demi nakutaka. Kha! Nikaishia kucheka tu
 
Mbona pm yako nayo imefungwa swahiba![emoji1]
 
Hahahahah,,, htk kibenten
 


Mkuu siku nyingi sana sijakuona jukwaani ngoja nije kule PM nikusalimie vizuri. Hahahahah.
 


Mkuu siku nyingi sana sijakuona jukwaani ngoja nije kule PM nikusalimie vizuri. Hahahahah.
 
Guys Pm ndo mtaa gani nielekeze na me nikapate rahaaa.....maana kwa ushuhuda huu....huu mtaaa co wa injiii hiii ni tupu...
 
kuomba no ya simu kawaida[emoji20] lkn japo inategemea ni kwa mlengo ganii!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…