Numbisa
JF-Expert Member
- Dec 12, 2016
- 301,221
- 1,172,274
Hahahaha mule mule,yaan wapo waliokaa kifacebook pyuuaaa
[emoji23] [emoji23] [emoji23] pm kuna mambo...kuna watu ni wasumbufu yaani we acha tu. Wapo wale anakuja anakutumia pm ya kwanza kukusalimia ukimjibu meseji ya pili anataka kujua unapatikana wapi, ya tatu anaomba namba ya simu...ukishafika hapo nakupotezea sikujibu tena