Tulipofika: Hawa Siyo Binadamu Halisi, ni Future of AI and Nonprofit Growth in Web 3

Game hilo na walilitoa kipindi kile corona inaanza hivi,,,,,, jamaa wanajua wanachofanya unaweza sema mambo yametokea kimakosa ila sio
 
Game hilo na walilitoa kipindi kile corona inaanza hivi,,,,,, jamaa wanajua wanachofanya unaweza sema mambo yametokea kimakosa ila sio
Yes mkuu, kuna wakati nilikutana na topic moja jamaa wakiongelea jinsi ambavyo mtu anaweza kumpatia ke' ujauzito wakiwa maeneo tofauti, pasipo kutuma mbegu.
 
Imzidi akili binadamu kivip wakati hiyo teknolojia yenyewe imetengenezwa na binadamu.Anayeongezeka maarifa ni binadamu sio vitu vilivyotengenezwa na binadamu.
Unajua shida ilipo mkuu!!!? Hiyo AI kama ingetengenezwa na mtu mmoja, ni sahihi isingeweza kumshinda akili binadamu mwingine, na bahati mbaya pia haitumiwi na mtu mmoja, upo mpaka hapo!!? Bahati mbaya nyingine kwa AI kadiri unavyo itumia/kutumiwa ndivyo inavyo zidi kupata data na kuexperience vitu vipya ( inajifunza kama ubongo wa binadamu mchanga na inaendelea kukua yenyewe ) hivyo sio mtu mmoja anayo itumia! Bahati mbaya nyingine unapo iuliza kitu ikawa haina majibu, usifikiri itaishia hapo kuto kujua! Itachukua swali lako na kulihifadhi na itakuuliza uisaidie kuifahamisha kitu ulicho uliza kina uhusiano na kitu gani kwa mfanano, au itauliza tena mtu mwingine kama akiulizwa swali litakalo endana na swali ulilouliza awali!

Hivyo technology kutuzidi binadamu akili inawezekana kabisa kwasababu ni akili za watu wengi zinaelekezwa kwenye mfumo mmoja amabao ukija kuutumia wewe mmoja lazima ukuzidi akili

Sent from my TECNO LB6 using JamiiForums mobile app
 
Hakuna kitu kama hicho bana.yaani kumputer iliyotengenezwa na binadamu imzidi mtengenezaji akili.hivyo vitu vyote unavyoviona nakukushangaza ni binadamu ndiye aliyevifikiria akavitegeneza nakuviweka humo.Nakamwe hakuna kitakachoweza kufikiria na kutenda nje ya vile kilivyotengenezwa.Hayo ni maprogram tu yanayotengenezwa na binadam wala usiumize sana kichwa.
 
Sipingani na ulicho andika

Rudia tena kusoma nilicho andika badala ya kukaza fuvu[emoji88][emoji88][emoji3517] mkuu!

Sent from my TECNO LB6 using JamiiForums mobile app
 
Imzidi akili binadamu kivip wakati hiyo teknolojia yenyewe imetengenezwa na binadamu.Anayeongezeka maarifa ni binadamu sio vitu vilivyotengenezwa na binadamu.
Facebook walitengeneza robots zao mbili lakin walilazimika kuzizima baada ya kuwazidi akili kwa kubuni lugha yao ambayo hakuna binadamu aliyeweza kuitambua zaidi Yao tu (robots)
 
Facebook walitengeneza robots zao mbili lakin walilazimika kuzizima baada ya kuwazidi akili kwa kubuni lugha yao ambayo hakuna binadamu aliyeweza kuitambua zaidi Yao tu (robots)
Umeona kasheshe hilo! [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Mkuu kama hutojali tupe story kidogo kuhusu hilo saga! Napenda sana kusikia habari za namna hii! Embu fanya hivyo

Sent from my TECNO LB6 using JamiiForums mobile app
 
Tunu ya upekee aliotupa mwenyezi Mungu ni uwezo wa akili.
Akili ya binadamu inakua kila siku, inajifunza kila siku, ina buni na kuunda muundo wowote kila siku.

Yote ya yote ni kumuwezesha binadamu kuyaweza mazingira katika uso wa dunia, iwe rahisi na iwe furaha kuishi kwenye dunia hii.
 
Kuna nyuklia huko, ina nguvu ya maangamizi ambayo binadamu hakutegemea kama asingeweza kudhibiti madhara yake, hata baada ya mlipuko, tena kwa miaka miiiiiiiiiiiingi sana! Achilia mbali hili wanalo liunda sasa

Sent from my TECNO LB6 using JamiiForums mobile app
 

AI inamtegemea binadamu kwa asilimia 100

AI inauweza mkubwa wa kufanya vitu ilivyolishwa kwa haraka na uhakika kuliko binaadamu.... LAKINI haitakaa itokee AI ikatawala dunia kwa kufanya itakavyo NEVER
 
LAKINI haitakaa itokee AI ikatawala dunia kwa kufanya itakavyo NEVER
Ina ukomo wa kuchota na kupokea taarifa inafanyia kazi taarifa ilizopewa tu, Ila pia Ina uwezo wa kusoma na kujifunza kupitia data inazopokea ingawa kuendana na muda na wakati inaweza kuleta mkanganyiko wa data km isipofanyiwa updates zozote za data kwa hio binadamu ambae amepandikiza akili bandia hio inabidi awe nyuma wa mfumo kuongeza na kupunguza data, jaribu kuangalia movie inaitwa Resident Evil kuna kitu utajifunza
 

Aiseee

Kwa AI imzidi akili binadamu?

AI ina limit kubwa sana ya vitu inavyoweza “kujifunza”
Akili ya binadamu haina ukomo wa kujifunza

AI inategemea kwa asilimia 100 AKILI za binadamu na inafanya yake tu Akili ya binadamu imeilisha kufanya..

AI inatoa tu kile ilicholishwa kwa UFASAHA na HARAKA kuliko akili ya binadamu

Akili ya binaadamu inaongozwa vitu kama utashi na hisia, vitu ambavyo AI haina
 

Mkuu ukitaka kuingia chaka zaidi basi angalia hizo movies
Humo kumejaa theories

Akili ya binadamu inaongozwa na vitu kama utashi na hisia kitu ambacho AI haina kabisa(achana na uongo wa kwenye movies)

AI inafanya tu kile akili ya binadamu imeifanya ifanye...... sio nje ya hapo

Dhana ya AI “inajifunza” mambo mapya hizo ni hadithi zilizo kuzwa kuliko uhalisia mkuu, yaani mtu anaweza kudhani labda AI anaweza kukuona unaogelea au kuendesha baskeli na ikajifunza....... NEVER

Kujifunza kwake kwa mfano mdogo sana ni kama simu yako unavyo type maneno fulani kila mara basi ukianza tu kutaype inakuletea suggestion ya maneno unayotaka kuandika

Na ukumbuke haya maroboti hakuna linalo tengenezwa kufanya kila kitu kama akili ya binadamu inaweza kufanya, yanatengenezwa tofauti kulingana na aina ya kitu inatakiwa kufanya
 
Soma kwa kutulia! Hayo yote yanafahamika! Chukua muda wa kurudia tena kusoma kwa utulivu

Sent from my TECNO LB6 using JamiiForums mobile app
 
Ok
Basi vitukuu wa vitukuu wetu watakuja kutawali na maroboti naona [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hapa haiongelewi robot mkuu, ndio maana mna kanganya mada! Yaani robot ni kifaa kama hiyo simu yako tu, hivyo hatupo kabisa kwenye robot

Labda ukitaka kuelewa vzr rudia kusoma kichwa cha habari, soma mleta mada kaandika nini, soma hizo comments zangu vizuri, ila kichwani mwako huyo roboti unae muwaza mtoe, pengine ndio utaelewa

Sent from my TECNO LB6 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…