Tulishauri, tukatoa tahadhari na tukaonya lakini kama walivosema wahenga, sikio la kufa halisikii dawa!

Tulishauri, tukatoa tahadhari na tukaonya lakini kama walivosema wahenga, sikio la kufa halisikii dawa!

Duh...!. Ushauri huu ni demokrasia mpya hii!, kwanini ajitoe kabla badala ya kusubiri kura ndio ziamue?.

Ila hili la Chadema kuwa ni sikio la kufa, tumelisema sana humu, na hatukuanza leo! CHADEMA ni sikio la kufa? Iambiwe vipi ili isikie? Masha ana hoja za msingi, zisikilizwe, zizingatiwe, zisipuuzwe!
P
Mkuu wangu!!, Wafuasi wa lisu walianziq mbali sana!! Wana democracy ya aina yake kabsa!!.

Wafuasi wa lisu wanaliogopa sana box la kura , wakati Wana uhakika wa kushinda uchaguzi,najiuliza sana lisu ana nguvu sana wangeacha kura ziamue tu maana atashinda.

Democracy yao ni kubwa na mpya kabsa hii ambapo mgombea anamu endorse mgombea wa ngazi nyengine waziwazi bila wasiwasi, sijui akishinda hao wengine (wapinzani) watafanya nn kama sio sabotage za hapa na pale!!!!
 
Inashangaza, inasikitisha na inaudhi kuwa pamoja na kushauri, kuonya na kutoa tahadhari kwa nia njema kabisa kuhusu mustakhabali wa taifa hatukusikilizwa...tulipuuzwa!

Najitokeza tena kumshauri Mh. F. A. Mobwe kuwa leo hii na bila kuchelewa achukue maamuzi mazito kuliko yote aliyowahi kuchukua maishani ya kutogombea uenyekiti Chadema.

Atangaze kuachana na wapambe maslahi waliomganda kama kupe aungane na wazalendo wa kweli kwa kuwaunga mkono wapiganaji wa kweli Mh. Tundu A Lissu na Mh John Heche.

Chelewa chelewa utakuta mtoto si wako.
Acha Democrasia ichukue nafasi yake. Kwani unaogopa nini? Kama Lissu anashinda si atashinda tu?

Hivi ni vielement vya Udikiteta.
 
Mama Abdul amefanikiwa sio tu kuthibiti upinzani lakini hata CCM yote. Mikakati yake kwa upinzani anawapa asali wakikataa jela, kutekwa, kifo. Maria Sarungi, Mzee Kibao, Dr Slaa, Soka, Sativa ni mashuhuda.

Kwa CCM ukifanya kazi vizuri au ukiwa na mawazo tofauti simply unafukuzwa kazi, unapunguzwa cheo, unawekwa pembeni au unaundiwa zengwe mashahidi ni watu kama JerLisry Slaa, Ndugai, Mpina, Lukuvi na wengine wengi.

Lissu anaweza kuwa sauti pekee iliyobaki kudai katiba mpya, tume huru, kupinga ufisadi, kupunguza kasi ya uuzwaji wa rasilimali zote muhimu za nchi hovyohovyo.
System ingekua ipo kwa ajili ya Maslai ya Nchi ingemuweka Lissu mwenyekiti watu wangefunga breki ila kwa sasa tunaitaji Maombi
 
Inashangaza, inasikitisha na inaudhi kuwa pamoja na kushauri, kuonya na kutoa tahadhari kwa nia njema kabisa kuhusu mustakhabali wa taifa hatukusikilizwa...tulipuuzwa!

Najitokeza tena kumshauri Mh. F. A. Mobwe kuwa leo hii na bila kuchelewa achukue maamuzi mazito kuliko yote aliyowahi kuchukua maishani ya kutogombea uenyekiti Chadema.

Atangaze kuachana na wapambe maslahi waliomganda kama kupe aungane na wazalendo wa kweli kwa kuwaunga mkono wapiganaji wa kweli Mh. Tundu A Lissu na Mh John Heche.

Chelewa chelewa utakuta mtoto si wako.
Hakuna kujitowa
Hakuna aibu ya kushindwa hata kura ikiwa ni moja
Ndio ukomavu
 
Mbowe tayari ana Kamati ya Roho mbaya ikiongozwa na Mdee, wenje, Boniface, Sugu na wenzao kazi yake kuu ni kumdhoofisha lisu na pia kufanya uchakachuaji kuiba kura kupora ushindi wa Lisu na mbowe kuwa mwenyekiti haramu alinde madudu yake yote aliyowatendea chadema miaka yote
Acheni kulia lia,Kapigeni kura
 
Ila, kwa jicho la tatu, wafuasi wa lissu wanaonekana Wana wasiwasi kuliko wa mbowe. Hawatulii, hapo Kuna maana kubwa kwa wenye akili.
Wanaweza wasitulie kwa sababu ya kukipenda chama, wanaona kabisa future ya chama Mbowe akiwa mwenyekiti inatia shaka, public opinion pia unaonesha hivyo. Uwezo wa kukemea maovu kwa Mbowe umepungua, miaka 60+ ni muda wa kutoa ushauri, siyo muda wa mikikimikiki. Zama hizi binafsi nafikiri zinahitaji approach tofauti katika siasa za upinzani ambazo huoni kabisa kama Mbowe anazimudu. Ni mtizamo tu lakini.
 
Inashangaza, inasikitisha na inaudhi kuwa pamoja na kushauri, kuonya na kutoa tahadhari kwa nia njema kabisa kuhusu mustakhabali wa taifa hatukusikilizwa...tulipuuzwa!

Najitokeza tena kumshauri Mh. F. A. Mobwe kuwa leo hii na bila kuchelewa achukue maamuzi mazito kuliko yote aliyowahi kuchukua maishani ya kutogombea uenyekiti Chadema.

Atangaze kuachana na wapambe maslahi waliomganda kama kupe aungane na wazalendo wa kweli kwa kuwaunga mkono wapiganaji wa kweli Mh. Tundu A Lissu na Mh John Heche.

Chelewa chelewa utakuta mtoto si wako.
Kwa nini ajitoe wakati anaenda kushinda?
 
Bado ana siku tatu za kujirudi na anaweza kupokelewa.
Au naye atangaze kujiunga na CCM.
Baada ya uchaguzi, milango itakuwa imefungwa na kutiwa kufuli.
Matokeo ya Bawacha vipi Kamanda?
 
Inashangaza, inasikitisha na inaudhi kuwa pamoja na kushauri, kuonya na kutoa tahadhari kwa nia njema kabisa kuhusu mustakhabali wa taifa hatukusikilizwa...tulipuuzwa!

Najitokeza tena kumshauri Mh. F. A. Mobwe kuwa leo hii na bila kuchelewa achukue maamuzi mazito kuliko yote aliyowahi kuchukua maishani ya kutogombea uenyekiti Chadema.

Atangaze kuachana na wapambe maslahi waliomganda kama kupe aungane na wazalendo wa kweli kwa kuwaunga mkono wapiganaji wa kweli Mh. Tundu A Lissu na Mh John Heche.

Chelewa chelewa utakuta mtoto si wako.
Bawacha wa kibaraka Lisu amegalagazwa huko,zamu yake imekatibia.
 
Back
Top Bottom