Lord denning
JF-Expert Member
- Jun 3, 2015
- 15,819
- 33,255
- Thread starter
- #21
View: https://youtu.be/ik2PWn6qjh0
Kwamba ni tawi la CCM na genge la wanasheria wanaosaka uteuzi wapo kimatumbotumbo tu.
Kwa kinachoendelea nchini na kinachowapata wenzao....
Sikutarajia kuwaona pale wakimkenulia huyo mtoa teuzi...kila mmoja anawaza uteuzi tupu!
Nchi hii inao wasomi wa ajabu sana
Umekuwa malaika kujua watu wanawaza nini mioyoni mwao?