Tumalize Ubishi: Naombeni Ushahidi wa Uuzwaji wa Bandari

Tumalize Ubishi: Naombeni Ushahidi wa Uuzwaji wa Bandari

Nadhani ni jukukumi lako wewe kuweka ushaidi kwamba Makubaliano husika ni ya muda gani na Tanganyika itafaifika vipi. We are tired with mere Blanket statements from your end. Hata unachokitetea hukijui. Ni endless/perpetual bla bla tu.
 
Nadhani ni jukukumi lako wewe kuweka ushaidi kwamba Makubaliano husika ni ya muda gani na Tanganyika itafaifika vipi. We are tired with mere Blanket statements from your end. Hata unachokitetea hukijui. Ni endless/perpetual bla bla tu.
Msisitizo.
Sitaki longolongo. Weka ushahidi
 
Kama kawaida yangu Lord Denning a.k.a kiboko ya wafiwa a.k.a kiboko wa ufipa fc na kiboko ya wapotoshaji leo nakuja kwenu wale mnaodai Rais ameuza Bandari zetu

Swali langu kwenu.
Upo wapi uthibitisho/ ushahidi wa Bandari zetu/ yetu kuuzwa?

Msisitizo: Sitaki longolongo , naombeni uthibitisho wa Bandari zetu kuuzwa!
Mkataba ni HIYARI au LAZIMA KWA SHURUTI?
 
Anzisha uzi wako wa kuuliza swali. Hapa tunataka uthibitisho tu wa Bandari kuuzwa sio longolongo
Lord Denning alikuwa reasonable philosophical Judge ambaye aliweka mfano bora wa namna Haki inavyowajibika kutumikia Haki.

Unatumia ID kwa jina hilo ambapo kimsingi upo below the any imbecile you know
 
Lord Denning alikuwa reasonable philosophical Judge ambaye aliweka mfano bora wa namna Haki inavyowajibika kutumikia Haki.

Unatumia ID kwa jina hilo ambapo kimsingi upo below the any imbecile you know
Huu ni muendelezo wa longolongo.

Kama huna ushahidi sema tu hatuna ushahidi yale ni maneno ya kisiasa na kizandiki tu
 
Kama kawaida yangu Lord Denning a.k.a kiboko ya wafiwa a.k.a kiboko wa ufipa fc na kiboko ya wapotoshaji leo nakuja kwenu wale mnaodai Rais ameuza Bandari zetu

Swali langu kwenu.
Upo wapi uthibitisho/ ushahidi wa Bandari zetu/ yetu kuuzwa?
My Lord, until proven otherwise, prima facie, do not rule!
 
Kama kawaida yangu Lord Denning a.k.a kiboko ya wafiwa a.k.a kiboko wa ufipa fc na kiboko ya wapotoshaji leo nakuja kwenu wale mnaodai Rais ameuza Bandari zetu

Swali langu kwenu.
Upo wapi uthibitisho/ ushahidi wa Bandari zetu/ yetu kuuzwa?

Msisitizo: Sitaki longolongo , naombeni uthibitisho wa Bandari zetu kuuzwa!
Hakuna mwenye akili timamu akasema hilo, isipokuwa mpotoshaji tu.


Hata mawakili wao walipoenda kuupinga mkataba hawakuja na hi;o la bandari kuuzwa, wanajuwa hilo hakuna na ni kosa la jinai kuesema uongo.

Hawa watu wa JF 08% kwa mia a hata IGA hawaelewi ni nini HGA hawaelewi ni nini "concession contracts hawaelewi ni nini.

Na tatizo kubwa, hawana muda wa kujisome kuelewa hivyo vitu ni nini.


Ntashangaa sana ikiwa Engli ni ya kama "Profesa" Tibaijuka halafu mapoyoyo wa JF wakausome mkataba au hukumu waelewe.


Humu watu wanafata mkumbo tu. Wajinga ndiyo waliwao.

Magufuli alishwadtukia, wakimwabia "Njaa" anawaambia "kufa".
 
Hakuna mwenye akili timamu akasema hilo, isipokuwa mpotoshaji tu.


Hata mawakili wao walipoenda kuupinga mkataba hawakuja na hi;o la bandari kuuzwa, wanajuwa hilo hakuna na ni kosa la jinai kuesema uongo.

Hawa watu wa JF 08% kwa mia a hata IGA hawaelewi ni nini HGA hawaelewi ni nini "concession contracts hawaelewi ni nini.

Na tatizo kubwa, hawana muda wa kujisome kuelewa hivyo vitu ni nini.


Ntashangaa sana ikiwa Engli ni ya kama "Profesa" Tibaijuka halafu mapoyoyo wa JF wakausome mkataba au hukumu waelewe.


Humu watu wanafata mkumbo tu. Wajinga ndiyo waliwao.

Magufuli alishwadtukia, wakimwabia "Njaa" anawaambia "kufa".
Nakubaliana na wewe
 
Pinga pinga FC hawana majibu ni watu wa hovyo tu, wamesoma elimu zao hazijawasaidia
wabaguzi na wadini kupindukia mbwa hao.
 
Pinga pinga FC hawana majibu ni watu wa hovyo tu, wamesoma elimu zao hazijawasaidia
wabaguzi na wadini kupindukia mbwa hao.
Jiulize na ujijibu mwenyewe - umewahi kulifanyia mafanikio gani nini TAIFA lako? Ukumbuke - udini, ukabila na ulevi mwingine wowote ule na hapo changanya na UJINGA binafsi, u-magna ignoramus inclusive ni UPUUZI per ce!
 
Kama kawaida yangu Lord Denning a.k.a kiboko ya wafiwa a.k.a kiboko wa ufipa fc na kiboko ya wapotoshaji leo nakuja kwenu wale mnaodai Rais ameuza Bandari zetu

Swali langu kwenu.
Upo wapi uthibitisho/ ushahidi wa Bandari zetu/ yetu kuuzwa?

Msisitizo: Sitaki longolongo , naombeni uthibitisho wa Bandari zetu kuuzwa!
nenda kwa mama abdul, kamuulize
 
Back
Top Bottom