Ego is the Enemy
JF-Expert Member
- Mar 21, 2014
- 8,201
- 16,246
Ungejibu kabla ya kuendelea. Vipi na za Zanzibar zipo kwenye mktaba ama zipo tu za Tanganyika.Kwa hiyo ushahidi wako wa kuuzwa ni suala la ukomo wa mkataba?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ungejibu kabla ya kuendelea. Vipi na za Zanzibar zipo kwenye mktaba ama zipo tu za Tanganyika.Kwa hiyo ushahidi wako wa kuuzwa ni suala la ukomo wa mkataba?
Jikite kwenye swali la uzi. Acha longolongoUngejibu kabla ya kuendelea. Vipi na za Zanzibar zipo kwenye mktaba ama zipo tu za Tanganyika.
Wewe umelifanyia nini Tanganyika lako - LOFA wewe.oJiulize na ujijibu mwenyewe - umewahi kulifalnyia mafanikio gani nini TAIFA lako? Ukumbuke - udini, ukabila na ulevi mwingine wowote ule na hapo changanya na UJINGA binafsi, u-magna ignoramus inclusive ni UPUUZI per ce!
Ili upate jibu lisililo na utatanishi, jiulize, tatizo la bandari ni uendeshaji au mtaji wa kuboresha? Kama ni uendeshaji, Serikali inakwama vipi kusimamia? Kama ni mtaji wa kuboresha, kwa nini isiweke mazingira ya kuwawezesha Wazawa kuwekeza kama ina amini bandari ikiboreshwa italeta mapato maradufu.Kama kawaida yangu Lord Denning a.k.a kiboko ya wafiwa a.k.a kiboko wa ufipa fc na kiboko ya wapotoshaji leo nakuja kwenu wale mnaodai Rais ameuza Bandari zetu
Swali langu kwenu.
Upo wapi uthibitisho/ ushahidi wa Bandari zetu/ yetu kuuzwa?
Msisitizo: Sitaki longolongo , naombeni uthibitisho wa Bandari zetu kuuzwa!
Rejea msisitizoIli upate jibu lisililo na utatanishi, jiulize, tatizo la bandari ni uendeshaji au mtaji wa kuboresha? Kama ni uendeshaji, Serikali inakwama vipi kusimamia? Kama ni mtaji wa kuboresha, kwa nini isiweke mazingira ya kuwawezesha Wazawa kuwekeza kama ina amini bandari ikiboreshwa italeta mapato maradufu.
Sikiliza ushauri wa Baba wa Taifa kuhusu uwekezaji
Ni pale utakapoitaka utaambiwa utoe kigombozi ambacho huwezi kukitoa .Kama kawaida yangu Lord Denning a.k.a kiboko ya wafiwa a.k.a kiboko wa ufipa fc na kiboko ya wapotoshaji leo nakuja kwenu wale mnaodai Rais ameuza Bandari zetu
Swali langu kwenu.
Upo wapi uthibitisho/ ushahidi wa Bandari zetu/ yetu kuuzwa?
Msisitizo: Sitaki longolongo , naombeni uthibitisho wa Bandari zetu kuuzwa!
Mbona Kama wewe ndiye unaye lingo longo.Jikite kwenye swali la uzi. Acha longolongo
Huo ndo ushahidi wako wa Bandari kuuzwa?Mbona Kama wewe ndiye unaye lingo longo.
Hivi jamaa watakuwa wanalipa Kodi kiasi gani. Na tumewamilikisha asilimia ngapi bandari yetu hivi ndugu mtanganyika?
Umecheki terms walizowekeana na swedeni miaka ya 1991 wakati wanawekeza huko Sweden na leo hii Karne ya 21 zinafanana kweli hata robo na za kwenu.
Kama hawatolipa Kodi kuwa wasamehewe Kodi huku wanyonge mkizidi kuwakamua adi boda anawekea Kodi ya 60k kwa mwaka ,iweje huyo mgeni awe na uthamani gani wa kufaidika na nchi ambayo sio ya kwake na asilipe,yaani Kama Taifa litanufaika vipi lakini.
Hapa najua nature ya ubongo huwezi jibu hasahasa utapata maumivu na utatoa matusi. Najua asili na namna ya ubongo wa mnyama unavyofanya kazi,kwa iyo karibu ,
Ndio umejibu kwa perception yako lakini ama ndio umeamua kuziba sikio na macho. Poa Ziba sikio.hapa unaongelea raslimali za Taifa zinazomgusa kila mtanzaniaHuo ndo ushahidi wako wa Bandari kuuzwa?
Weka uthibitisho, vinginevyo ni uhaini tuNi ujinga zaidi pale unapotumia nguvu nyingi kumpa facts mjinga ambaye anatetea mambo yaliojaa ujinga. Msimamo wako kuhusu mjadala wa Bandari tunaujua fika. Usitulazimishe tuamini unachokiamini wewe. Tuache Watanganyika na Tanganyika yetu.
Uthibitisho, wapi uthibitisho, hivi mnaelewa kweli?Sasa ndiyo imeweka ujinga wako hadharani! Ni nafuu kumfundisha chizi kuliko wewe!
Wataishia matusi tu uthibitisho hawanangoja nisubiri hapa huo ushahidi nikawaoneshe kwenye kijiwe chetu cha kahawa, huwa wabishi sana wale wazee..
Uthibitisho, anataka uthibitisho, mwekeeni tu jamani mbona mnazunguka sana? Au haupo?Ndio umejibu kwa perception yako lakini ama ndio umeamua kuziba sikio na macho. Poa Ziba sikio.hapa unaongelea raslimali za Taifa zinazomgusa kila mtanzania
Asante sanaBasi mmeshinda uwekezaji uanze
Chap chap
Ova
mazuzu ktk ubora wenu, hivi hata hamjistukii? Eti Tanganyika yetu, mpumbavu ni mpumbavu tuNi ujinga zaidi pale unapotumia nguvu nyingi kumpa facts mjinga ambaye anatetea mambo yaliojaa ujinga. Msimamo wako kuhusu mjadala wa Bandari tunaujua fika. Usitulazimishe tuamini unachokiamini wewe. Tuache Watanganyika na Tanganyika yetu.
we mamako ana hasara ya maishaWee jamaa mwehu! Ukinunua kiwanja unondoka nacho nyumbani? Hati ya mauziano ndio inayokupa uhalali wa umiliki kutoka kwa muuzaji kwenda kwa mnunuaji!
Mkataba wa DPW aliokwisha kuusaini huyu SSH na kupitishwa na bunge, hapa tunapoongea bandari ni mali ya Dubai!
Tunachotaka serikali ifanye ni kuuvunja kabla ya Dubai kuanza utekelezaji na kama ni fidia itakuwa ni kidogo kuliko akishaanja utekelezaji!
Wautoe wapi hup ushahidi?kuna uwezekano mkubwa hapa hamna huo ushahidi, au umeshatolewa post zilopita mtu aniambie ni post namba ngapi?