Lord denning
JF-Expert Member
- Jun 3, 2015
- 15,819
- 33,255
- Thread starter
-
- #21
Umekuwa malaika kujua watu wanawaza nini mioyoni mwao?
View: https://youtu.be/ik2PWn6qjh0
Kwamba ni tawi la CCM na genge la wanasheria wanaosaka uteuzi wapo kimatumbotumbo tu.
Kwa kinachoendelea nchini na kinachowapata wenzao....
Sikutarajia kuwaona pale wakimkenulia huyo mtoa teuzi...kila mmoja anawaza uteuzi tupu!
Nchi hii inao wasomi wa ajabu sana
Kweli mkuu wasipotoshe watu hawa jamaaHili ni jukwaa huru. Hakuna aliyeshikiwa bunduki hapa. Watu waseme na kuweka uthibitisho wa huo uuzaji hapa
Kweli mkuu wasipotoshe watu hawa jamaa, kama wao wana uthibisho kuwa biashara ilishafanyika WALETE HAPA USHAHIDI !Hili ni jukwaa huru. Hakuna aliyeshikiwa bunduki hapa. Watu waseme na kuweka uthibitisho wa huo uuzaji hapa
Nawasubiri hapaKweli mkuu wasipotoshe watu hawa jamaa, kama wao wana uthibisho kuwa biashara ilishafanyika WALETE HAPA USHAHIDI !
WAACHE LONGOLONGO ZAO
Maana yake hauna ushahidi, unapiga porojo tu, au siyo?Ni ujinga zaidi pale unapotumia nguvu nyingi kumpa facts mjinga ambaye anatetea mambo yaliojaa ujinga. Msimamo wako kuhusu mjadala wa Bandari tunaujua fika. Usitulazimishe tuamini unachokiamini wewe. Tuache Watanganyika na Tanganyika yetu.
Acha maneno weka uthibitisho bwanaMwl Nyerere: Mtu akikuambia jambo la kipumbavu ilhali anajua kuwa unajua anasema upumbavu, basi mtu huyo ANAKUDHARAU!!!!
Lord Denim, dharau Kwa Watanzania Zina mwisho wake!!
Tusubiri.
Ewala🙏🙏Acha maneno weka uthibitisho bwana
Yaaani fasta nakutagg dada yangu. Wanapita kimya kama hawajauona uziUkiletwa ushahidi na mimi mni-tag.
Halafu ukipewa ufanye nini?Msisitizo:
Sitaki longolongo, Weka ushahidi wa Bandari kuuzwa
Weka kwanza huo ushahidi. Nitakachofanya nakijua mimiHalafu ukipewa ufanye nini?
Soma mada elewa ndo ujibuBandari za Zanzibar ivi zimo ama wao hawataki dp wedi,
Kikomo Cha muwekazaji Ni lini
Kwa hiyo wanaosema imeuzwa kina Lissu wanadanganya na ni wazandiki sio?Bora hata mngeuza MMEIGAWA BURE MILELE KWA WAJOMBA WAARABU WA DUBAI
Unataka kuanzisha ubishi wa kitoto siyo?Weka kwanza huo ushahidi. Nitakachofanya nakijua mimi
Wewe unaonaje? Wanadanganya au ni kweli?Kwa hiyo wanaosema imeuzwa kina Lissu wanadanganya na ni wazandiki sio?
Weka wewe ushahidi kua haijauzwa yoteyote bali wamepewa kwa muda watarudisha siku fulaniKama kawaida yangu Lord Denning a.k.a kiboko ya wafiwa a.k.a kiboko wa ufipa fc na kiboko ya wapotoshaji leo nakuja kwenu wale mnaodai Rais ameuza Bandari zetu
Swali langu kwenu.
Upo wapi uthibitisho/ ushahidi wa Bandari zetu/ yetu kuuzwa?
Msisitizo: Sitaki longolongo , naombeni uthibitisho wa Bandari zetu kuuzwa!