Lord denning
JF-Expert Member
- Jun 3, 2015
- 15,819
- 33,255
- Thread starter
-
- #61
Rejea angalizo. Nataka majibu sio longolongoKama mmekula pesa ya DPW changeni mrudishe
Ndiyo upeo wako ulipoishia?Kama mmekula pesa ya DPW changeni mrudishe
Watakuja kutukana tu sio vinginevyo.Naendelea kuwasibiri hapa. Tuko page ya 3 wanaupita uzi kama hawauoni
Katika hili la Bandari, watanzania tunaumbuka kwa kuonekana hatuelewi chochote duniani. IGA haina tatizo lolote ukweli tuseme tu.Kama mmekula pesa ya DPW changeni mrudishe
Shida sio Lisu au wengine wanaopinga mkataba, shida ni nyinyi na uchawa wenu mnasema tutapata kiasi fulani au ajira kadhaa kutokana na huu uwekezaji.Nimemsikia Lissu akiyasema makubaliano yetu ya Tanzania na Dubai hayaoneshi kiwango cha uwekezaji utakaofanywa na mgawanyo wa mapato, akitumia hiyo kama moja ya sababu ya kuyaponda makubaliano tuliyoingia na Dubai kuhusu masuala ya uwekezaji.
Lissu anasema haya huku nikiwa na uhakika kuwa anapotosha kwa sababu najua kwa hakika kuwa anajua IGA au BIT ikiwa imetoa nafasi ya kuwepo kwa HGA haiwezi kuzungumzia uwekezaji husika na mgawanyo wa mapato kwa kuwa HGA ndo mkataba wa uwekezaji mahsusi ambao ndiyo unaoonesha aina ya uwekezaji, kiwango cha uwekezaji na mgawanyo wa mapato.
Pili najua kuwa amesoma IGA yetu na Dubai na anajua imeeleza katika Ibara ya kwanza sehemu ya pili kuwa Kutakuwa na Mikataba Mahsusi ya Uwekezaji baina ya Tanzania na Dubai ambayo inaeleza haki na wajibu wa kila upande.
View attachment 2701848
Kwa kuwa najua Tundu Lissu yupo humu na nina uhakika atasoma huu uzi. Leo nataka atuambie humu.
Kuna IGA au BIT gani iliyowahi kuingiwa Duniani (POPOTE PALE) ambayo imetoa nafasi ya kuingiwa kwa HGA ( Mkataba mahsusi wa uwekezaji) alafu still ikaonyesha kiwango cha uwekezaji, aina ya uwekezaji na mgawanyo wa mapato?
Ninaweka ahadi apa! Endapo Tundu Lissu atajibu hili swali au mtu yeyote atajibu hili swali kwa ufasaha na kama nilivyouliza basi nitakuja na Verified ID humu.
Ifike kipindi sasa aache kuwadanganya watu kwa kuwa tu hawana uelewa wa mambo!
Tundu Lissu & Co nawasubiri humu.
Angalizo. Muje na Majibu sio longolongo.
Nawasubiri!!
Bqadq ya kupitia andiko lako, nimejionea kuwa Ugwiji wako upo kwenye poropaganda za kuambiwa na wajinga wachache wanaoendelea kujishikiza kwenye chama mfu CCM wakitarajia siku moja watapata fadhila ya uteuzi.Nimesema sitaki longolongo.
Mimi ni mwanasheria gwiji pia. Nimeweka swali hapo lijibiwe kama nilivyouliza. Hakuna longolongo hapa!!
Hilo sio swaliNimesema sitaki longolongo.
Mimi ni mwanasheria gwiji pia. Nimeweka swali hapo lijibiwe kama nilivyouliza. Hakuna longolongo hapa!!
Rejea angalizo la swaliShida sio Lisu au wengine wanaopinga mkataba, shida ni nyinyi na uchawa wenu mnasema tutapata kiasi fulani au ajira kadhaa kutokana na huu uwekezaji.
Sasa sisi tunauliza imeandikwa wapi ??
Umesoma angalizo? Majibu please sio longolongoBqadq ya kupitia andiko lako, nimejionea kuwa Ugwiji wako upo kwenye poropaganda za kuambiwa na wajinga wachache wanaoendelea kujishikiza kwenye chama mfu CCM wakitarajia siku moja watapata fadhila ya uteuzi.
Endelea kumwaga pumba zako hapa tuendelee kupima kiwango chako cha ujinga. Ina maana wewe ni gwiji kumzidi hata profesa Shivji aliyewafundisha sheria majaji wengi unaowasikia?
Nchi hii imejaa watu wajinga sana. Na tatizo kubwa hao wajinga wanaosubiri mpaka waambiwe na kushikiwa akili na viongozi uchwara wa CCM, nao wanajiona eti wana akili sana.
Pole sana. Endapo Mungu atakupa neema ukajitambua utatubu hapa hapa.
Hilo swali lako linatoka huko kwenu uchawani, linatokana, na nyie wenyewe mlivyokuwa mkijibu hoja.Rejea angalizo la swali
Nimemsikia Lissu akiyasema makubaliano yetu ya Tanzania na Dubai hayaoneshi kiwango cha uwekezaji utakaofanywa na mgawanyo wa mapato, akitumia hiyo kama moja ya sababu ya kuyaponda makubaliano tuliyoingia na Dubai kuhusu masuala ya uwekezaji.
Lissu anasema haya huku nikiwa na uhakika kuwa anapotosha kwa sababu najua kwa hakika kuwa anajua IGA au BIT ikiwa imetoa nafasi ya kuwepo kwa HGA haiwezi kuzungumzia uwekezaji husika na mgawanyo wa mapato kwa kuwa HGA ndo mkataba wa uwekezaji mahsusi ambao ndiyo unaoonesha aina ya uwekezaji, kiwango cha uwekezaji na mgawanyo wa mapato.
Pili najua kuwa amesoma IGA yetu na Dubai na anajua imeeleza katika Ibara ya kwanza sehemu ya pili kuwa Kutakuwa na Mikataba Mahsusi ya Uwekezaji baina ya Tanzania na Dubai ambayo inaeleza haki na wajibu wa kila upande.
View attachment 2701848
Kwa kuwa najua Tundu Lissu yupo humu na nina uhakika atasoma huu uzi. Leo nataka atuambie humu.
Kuna IGA au BIT gani iliyowahi kuingiwa Duniani (POPOTE PALE) ambayo imetoa nafasi ya kuingiwa kwa HGA ( Mkataba mahsusi wa uwekezaji) alafu still ikaonyesha kiwango cha uwekezaji, aina ya uwekezaji na mgawanyo wa mapato?
Ninaweka ahadi apa! Endapo Tundu Lissu atajibu hili swali au mtu yeyote atajibu hili swali kwa ufasaha na kama nilivyouliza basi nitakuja na Verified ID humu.
Ifike kipindi sasa aache kuwadanganya watu kwa kuwa tu hawana uelewa wa mambo!
Tundu Lissu & Co nawasubiri humu.
Angalizo. Muje na Majibu sio longolongo.
Nawasubiri!!
Umeshajibiwa hujaelewa tu endelea kukariri si muda utaelewa jibu tayari unalo mwenyeweTuko page ya 2 hapa. Simuoni Lissu na sioni hata mmoja aliyejibu swali langu.
Naendelea kuwasubiri tu
mm najiuliza kama mkataba ni mnono kwa nn kwao Zanzibar hakutaka pawekezwe pia.hyo ndio inanitatanisha.Nimemsikia Lissu akiyasema makubaliano yetu ya Tanzania na Dubai hayaoneshi kiwango cha uwekezaji utakaofanywa na mgawanyo wa mapato, akitumia hiyo kama moja ya sababu ya kuyaponda makubaliano tuliyoingia na Dubai kuhusu masuala ya uwekezaji.
Lissu anasema haya huku nikiwa na uhakika kuwa anapotosha kwa sababu najua kwa hakika kuwa anajua IGA au BIT ikiwa imetoa nafasi ya kuwepo kwa HGA haiwezi kuzungumzia uwekezaji husika na mgawanyo wa mapato kwa kuwa HGA ndo mkataba wa uwekezaji mahsusi ambao ndiyo unaoonesha aina ya uwekezaji, kiwango cha uwekezaji na mgawanyo wa mapato.
Pili najua kuwa amesoma IGA yetu na Dubai na anajua imeeleza katika Ibara ya kwanza sehemu ya pili kuwa Kutakuwa na Mikataba Mahsusi ya Uwekezaji baina ya Tanzania na Dubai ambayo inaeleza haki na wajibu wa kila upande.
View attachment 2701848
Kwa kuwa najua Tundu Lissu yupo humu na nina uhakika atasoma huu uzi. Leo nataka atuambie humu.
Kuna IGA au BIT gani iliyowahi kuingiwa Duniani (POPOTE PALE) ambayo imetoa nafasi ya kuingiwa kwa HGA ( Mkataba mahsusi wa uwekezaji) alafu still ikaonyesha kiwango cha uwekezaji, aina ya uwekezaji na mgawanyo wa mapato?
Ninaweka ahadi apa! Endapo Tundu Lissu atajibu hili swali au mtu yeyote atajibu hili swali kwa ufasaha na kama nilivyouliza basi nitakuja na Verified ID humu.
Ifike kipindi sasa aache kuwadanganya watu kwa kuwa tu hawana uelewa wa mambo!
Tundu Lissu & Co nawasubiri humu.
Angalizo. Muje na Majibu sio longolongo.
Nawasubiri!!
Wanakangwa na mafuta yao wenyeweHao "wasomi" ndiyo wajinga namba moja na wanaendelea kusomesha ujinga.
Ushahidi kamili tazama wazungu walivyotuchezea kwenye shauri la uchimbaji madini. Wameitumia sheria yetu hiyohiyo mpya iliyotungwa na kina Kabudi na wataalam wa madini kina mhongo na mruma wanatuchapa nayo live, tujione tulivyo wajinga.
Tazama jinsi wanasheria wetu walivyoonesha ujinga wa hali ya juu kwenye ile kesi, ipo mytandaoni, na wameshaambiwa, wangoje siku ya "award" tu. maana yake siku ya ngapi zilipwe. Siyo kuwa kuna shauri tena.
Kwa swali hili inaonyesha kuwa tayari umeshakata pumzi.Mbona UAE hawalalamiki unalalamika wewe? Unataka kusema UAE hawajaliona hilo hadi wakaanza kulalamika?