Tumalize Ubishi: Tundu Lissu nitajie IGA au BIT inayoeleza kutakuwa na HGA alafu bado inayoenesha kiwango cha uwekezaji na mgawanyo wa mapato?

Tumalize Ubishi: Tundu Lissu nitajie IGA au BIT inayoeleza kutakuwa na HGA alafu bado inayoenesha kiwango cha uwekezaji na mgawanyo wa mapato?

Tuko page ya 4 sasa. Tunaomba majibu wana Chadema na Washirika wenu
 
Nimemsikia Lissu akiyasema makubaliano yetu ya Tanzania na Dubai hayaoneshi kiwango cha uwekezaji utakaofanywa na mgawanyo wa mapato, akitumia hiyo kama moja ya sababu ya kuyaponda makubaliano tuliyoingia na Dubai kuhusu masuala ya uwekezaji.

Lissu anasema haya huku nikiwa na uhakika kuwa anapotosha kwa sababu najua kwa hakika kuwa anajua IGA au BIT ikiwa imetoa nafasi ya kuwepo kwa HGA haiwezi kuzungumzia uwekezaji husika na mgawanyo wa mapato kwa kuwa HGA ndo mkataba wa uwekezaji mahsusi ambao ndiyo unaoonesha aina ya uwekezaji, kiwango cha uwekezaji na mgawanyo wa mapato.

Pili najua kuwa amesoma IGA yetu na Dubai na anajua imeeleza katika Ibara ya kwanza sehemu ya pili kuwa Kutakuwa na Mikataba Mahsusi ya Uwekezaji baina ya Tanzania na Dubai ambayo inaeleza haki na wajibu wa kila upande.
View attachment 2701848

Kwa kuwa najua Tundu Lissu yupo humu na nina uhakika atasoma huu uzi. Leo nataka atuambie humu.

Kuna IGA au BIT gani iliyowahi kuingiwa Duniani (POPOTE PALE) ambayo imetoa nafasi ya kuingiwa kwa HGA ( Mkataba mahsusi wa uwekezaji) alafu still ikaonyesha kiwango cha uwekezaji, aina ya uwekezaji na mgawanyo wa mapato?

Ninaweka ahadi apa! Endapo Tundu Lissu atajibu hili swali au mtu yeyote atajibu hili swali kwa ufasaha na kama nilivyouliza basi nitakuja na Verified ID humu.

Ifike kipindi sasa aache kuwadanganya watu kwa kuwa tu hawana uelewa wa mambo!

Tundu Lissu & Co nawasubiri humu.

Angalizo. Muje na Majibu sio longolongo.


Nawasubiri!!
Shida sio Lisu au wengine wanaopinga mkataba, shida ni nyinyi na uchawa wenu mnasema tutapata kiasi fulani au ajira kadhaa kutokana na huu uwekezaji.

Sasa sisi tunauliza imeandikwa wapi ??
 
Nimesema sitaki longolongo.

Mimi ni mwanasheria gwiji pia. Nimeweka swali hapo lijibiwe kama nilivyouliza. Hakuna longolongo hapa!!
Bqadq ya kupitia andiko lako, nimejionea kuwa Ugwiji wako upo kwenye poropaganda za kuambiwa na wajinga wachache wanaoendelea kujishikiza kwenye chama mfu CCM wakitarajia siku moja watapata fadhila ya uteuzi.

Endelea kumwaga pumba zako hapa tuendelee kupima kiwango chako cha ujinga. Ina maana wewe ni gwiji kumzidi hata profesa Shivji aliyewafundisha sheria majaji wengi unaowasikia?

Nchi hii imejaa watu wajinga sana. Na tatizo kubwa hao wajinga wanaosubiri mpaka waambiwe na kushikiwa akili na viongozi uchwara wa CCM, nao wanajiona eti wana akili sana.

Pole sana. Endapo Mungu atakupa neema ukajitambua utatubu hapa hapa.
 
Shida sio Lisu au wengine wanaopinga mkataba, shida ni nyinyi na uchawa wenu mnasema tutapata kiasi fulani au ajira kadhaa kutokana na huu uwekezaji.

Sasa sisi tunauliza imeandikwa wapi ??
Rejea angalizo la swali
 
Hii issue ya Bandari, kilichonyuma ya pazia kwa sehemu kubwa ya waluofront kuikataa kwa zaidi wanachagizwa na msukumo wa kidini na si vinginevyo. Hata kama kuna uwepo wa marekebisho madogo, lakini limekuzwa kwa kiwango kikubwa saana kwa vile tu walioingia Mkataba huo ni Waarabu (ambao wengi huchukulia kuwa ni waislam, ingawa hata uarabuni kuna wakristo kama ilivyokuwa Israel kuna Waislamu wengi zaidi ya wakristo), huku pia rais akiwa muislamu.

Kwa wasiojua wamelivaa kwa hasira kuu huku kiini kikiwekwa kwapani. Ndio maana kwenye hii issue ni agharabu kumkuta mkristo akiongea kwa uzuri juu ya jambo hili. Angalia jinsi kwenye mkutano pale Mbagara viongozi wa dini walivyosema.

Nadhani, mkataba ungeingiwa kati ya Tz na Wamarekani, Italy au Uingereza kama mikataba mingi iliyoingiwa huko nyuma kama EPA kusingekuwa na shida hii tunayoiona. Ndio maana hata Mkataba na TICKS pale bandarini tulioingia na Wazungu wa kikaguru haukuwahi kupigiwa kelele hizi licha ya kuwa nao walikaa bandarini muda muda mrefu na tija ikiwa ndogo.

Rai yaangu ni kwamba tukosoe kwa haki pale kweli panastahili kukosolewa, tuoneshe dosari iko wapi kwa kurejea taratibu za mikataba ya kimataifa inataka kwa maslahi ya taifa na sivinginevyo.
 
Bqadq ya kupitia andiko lako, nimejionea kuwa Ugwiji wako upo kwenye poropaganda za kuambiwa na wajinga wachache wanaoendelea kujishikiza kwenye chama mfu CCM wakitarajia siku moja watapata fadhila ya uteuzi.

Endelea kumwaga pumba zako hapa tuendelee kupima kiwango chako cha ujinga. Ina maana wewe ni gwiji kumzidi hata profesa Shivji aliyewafundisha sheria majaji wengi unaowasikia?

Nchi hii imejaa watu wajinga sana. Na tatizo kubwa hao wajinga wanaosubiri mpaka waambiwe na kushikiwa akili na viongozi uchwara wa CCM, nao wanajiona eti wana akili sana.

Pole sana. Endapo Mungu atakupa neema ukajitambua utatubu hapa hapa.
Umesoma angalizo? Majibu please sio longolongo
 
Nimemsikia Lissu akiyasema makubaliano yetu ya Tanzania na Dubai hayaoneshi kiwango cha uwekezaji utakaofanywa na mgawanyo wa mapato, akitumia hiyo kama moja ya sababu ya kuyaponda makubaliano tuliyoingia na Dubai kuhusu masuala ya uwekezaji.

Lissu anasema haya huku nikiwa na uhakika kuwa anapotosha kwa sababu najua kwa hakika kuwa anajua IGA au BIT ikiwa imetoa nafasi ya kuwepo kwa HGA haiwezi kuzungumzia uwekezaji husika na mgawanyo wa mapato kwa kuwa HGA ndo mkataba wa uwekezaji mahsusi ambao ndiyo unaoonesha aina ya uwekezaji, kiwango cha uwekezaji na mgawanyo wa mapato.

Pili najua kuwa amesoma IGA yetu na Dubai na anajua imeeleza katika Ibara ya kwanza sehemu ya pili kuwa Kutakuwa na Mikataba Mahsusi ya Uwekezaji baina ya Tanzania na Dubai ambayo inaeleza haki na wajibu wa kila upande.
View attachment 2701848

Kwa kuwa najua Tundu Lissu yupo humu na nina uhakika atasoma huu uzi. Leo nataka atuambie humu.

Kuna IGA au BIT gani iliyowahi kuingiwa Duniani (POPOTE PALE) ambayo imetoa nafasi ya kuingiwa kwa HGA ( Mkataba mahsusi wa uwekezaji) alafu still ikaonyesha kiwango cha uwekezaji, aina ya uwekezaji na mgawanyo wa mapato?

Ninaweka ahadi apa! Endapo Tundu Lissu atajibu hili swali au mtu yeyote atajibu hili swali kwa ufasaha na kama nilivyouliza basi nitakuja na Verified ID humu.

Ifike kipindi sasa aache kuwadanganya watu kwa kuwa tu hawana uelewa wa mambo!

Tundu Lissu & Co nawasubiri humu.

Angalizo. Muje na Majibu sio longolongo.


Nawasubiri!!


Umekaa humu wewe keyboard worrier, hufahamiki popote, unataka ku challenge Lisu kwa Mambo ya sheria, wewe ni wa Kupuuza, kwamba kuna mtu atapoteza mda kuku jibu.
 
Nimemsikia Lissu akiyasema makubaliano yetu ya Tanzania na Dubai hayaoneshi kiwango cha uwekezaji utakaofanywa na mgawanyo wa mapato, akitumia hiyo kama moja ya sababu ya kuyaponda makubaliano tuliyoingia na Dubai kuhusu masuala ya uwekezaji.

Lissu anasema haya huku nikiwa na uhakika kuwa anapotosha kwa sababu najua kwa hakika kuwa anajua IGA au BIT ikiwa imetoa nafasi ya kuwepo kwa HGA haiwezi kuzungumzia uwekezaji husika na mgawanyo wa mapato kwa kuwa HGA ndo mkataba wa uwekezaji mahsusi ambao ndiyo unaoonesha aina ya uwekezaji, kiwango cha uwekezaji na mgawanyo wa mapato.

Pili najua kuwa amesoma IGA yetu na Dubai na anajua imeeleza katika Ibara ya kwanza sehemu ya pili kuwa Kutakuwa na Mikataba Mahsusi ya Uwekezaji baina ya Tanzania na Dubai ambayo inaeleza haki na wajibu wa kila upande.
View attachment 2701848

Kwa kuwa najua Tundu Lissu yupo humu na nina uhakika atasoma huu uzi. Leo nataka atuambie humu.

Kuna IGA au BIT gani iliyowahi kuingiwa Duniani (POPOTE PALE) ambayo imetoa nafasi ya kuingiwa kwa HGA ( Mkataba mahsusi wa uwekezaji) alafu still ikaonyesha kiwango cha uwekezaji, aina ya uwekezaji na mgawanyo wa mapato?

Ninaweka ahadi apa! Endapo Tundu Lissu atajibu hili swali au mtu yeyote atajibu hili swali kwa ufasaha na kama nilivyouliza basi nitakuja na Verified ID humu.

Ifike kipindi sasa aache kuwadanganya watu kwa kuwa tu hawana uelewa wa mambo!

Tundu Lissu & Co nawasubiri humu.

Angalizo. Muje na Majibu sio longolongo.


Nawasubiri!!
mm najiuliza kama mkataba ni mnono kwa nn kwao Zanzibar hakutaka pawekezwe pia.hyo ndio inanitatanisha.
 
Hao "wasomi" ndiyo wajinga namba moja na wanaendelea kusomesha ujinga.

Ushahidi kamili tazama wazungu walivyotuchezea kwenye shauri la uchimbaji madini. Wameitumia sheria yetu hiyohiyo mpya iliyotungwa na kina Kabudi na wataalam wa madini kina mhongo na mruma wanatuchapa nayo live, tujione tulivyo wajinga.

Tazama jinsi wanasheria wetu walivyoonesha ujinga wa hali ya juu kwenye ile kesi, ipo mytandaoni, na wameshaambiwa, wangoje siku ya "award" tu. maana yake siku ya ngapi zilipwe. Siyo kuwa kuna shauri tena.
Wanakangwa na mafuta yao wenyewe
 
Back
Top Bottom