Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Swali langu ni hilo wakuu, japo kwa upande wangu nilimkubali na nitaendelea kumkubali sana mzee Hassan Rehani Bitchuka.
Wewe je unakubaliana na huyo huyo wa kwangu?
Au Cosmos Chidumule?
Au hayati Tx Moshi?
Ungewafafanua vzr tuwajueSwali langu ni hilo wakuu, japo kwa upande wangu nilimkubali na nitaendelea kumkubali sana mzee Hassan Rehani Bitchuka.
Wewe je unakubaliana na huyo huyo wa kwangu?
Au Cosmos Chidumule?
Au hayati Tx Moshi?
Wote walikuwa vizuri ila hakuna anayemfikia Simba la Masimba....Swali langu ni hilo wakuu, japo kwa upande wangu nilimkubali na nitaendelea kumkubali sana mzee Hassan Rehani Bitchuka.
Wewe je unakubaliana na huyo huyo wa kwangu?
Au Cosmos Chidumule?
Au hayati Tx Moshi?
Kwangu mimi wote walikuwa wakali, kwa maana kila mmoja alikuwa na aina ya utunzi na sauti ambazo zilifikisha ujumbe kwa wasikilizaji kwa aina tofauti. Hata hivyo mimi ni mshabiki wa nyimbo za Chidumule.Swali langu ni hilo wakuu, japo kwa upande wangu nilimkubali na nitaendelea kumkubali sana mzee Hassan Rehani Bitchuka.
Wewe je unakubaliana na huyo huyo wa kwangu?
Au Cosmos Chidumule?
Au hayati Tx Moshi?
Weka na nyimbo zao walizotunga tuone plzSwali langu ni hilo wakuu, japo kwa upande wangu nilimkubali na nitaendelea kumkubali sana mzee Hassan Rehani Bitchuka.
Wewe je unakubaliana na huyo huyo wa kwangu?
Au Cosmos Chidumule?
Au hayati Tx Moshi?
Swali langu ni hilo wakuu, japo kwa upande wangu nilimkubali na nitaendelea kumkubali sana mzee Hassan Rehani Bitchuka.
Wewe je unakubaliana na huyo huyo wa kwangu?
Au Cosmos Chidumule?
Au hayati Tx Moshi?
Kwa upande wangu, Shaban Ally Mhoja Kishiwa (TX Moshi William) ndio mtunzi bora wa mwisho mwisho wa muziki wa dansi.Swali langu ni hilo wakuu, japo kwa upande wangu nilimkubali na nitaendelea kumkubali sana mzee Hassan Rehani Bitchuka.
Wewe je unakubaliana na huyo huyo wa kwangu?
Au Cosmos Chidumule?
Au hayati Tx Moshi?
Alishiriki katika ugomvi uliopelekea kifo cha mtu mmoja si kwamba alimshambulia huyo marehemu moja kwa moja na kumuua.Kwa upande wangu, Shaban Ally Mhoja Kishiwa (TX Moshi William) ndio mtunzi bora wa mwisho mwisho wa muziki wa dansi.
Baada ya kifo chake, Msondo ngoma ikajifia kimyakimya!!
Anyway, jamaa alishawahi kuua huko Tanga na kukimbilia Dar
Muongeze na Kamanda Muhidin Gurumo na Mgosi mwenzangu Hussein Jumbe kwenye huu mpambano.Swali langu ni hilo wakuu, japo kwa upande wangu nilimkubali na nitaendelea kumkubali sana mzee Hassan Rehani Bitchuka.
Wewe je unakubaliana na huyo huyo wa kwangu?
Au Cosmos Chidumule?
Au hayati Tx Moshi?
HEmedi maneti huyo baba mkweNilivyomuhusudu mtoto merry sijapata kupenda toka nizaliwee🎵🎵.
Nasononekaaa,🎵🎵
Ee niemezama Kwenye dimbwi ,,la mapenzi 🎵
Mapenzi ninsawa na ajalli Haina kinga eee🎵🎵.
Ayaa yaa maria wangu ,ohh maria wangu 🎵🎵.
Huyu alikuwa nani ?
Hii nyimbo alipiga nani?