Ndio kinaenda kutokea. Hao tume wanaenda kijibu kwanini figisu zimefanywa za kuengua wagombea na wao wanashiriki kwa maagizo.Hao tume wajiangalie wasije geuzwa wao ndio wa kuhojiwa. Tena ilifaa huyu kada wa ccm mahera ndio amhoji lisu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio kinaenda kutokea. Hao tume wanaenda kijibu kwanini figisu zimefanywa za kuengua wagombea na wao wanashiriki kwa maagizo.Hao tume wajiangalie wasije geuzwa wao ndio wa kuhojiwa. Tena ilifaa huyu kada wa ccm mahera ndio amhoji lisu
Mahera ni mtaalam Wa hesabu,sio mtaalam Wa sheria,hawezi kumhoji mwamba.Hao tume wajiangalie wasije geuzwa wao ndio wa kuhojiwa. Tena ilifaa huyu kada wa ccm mahera ndio amhoji lisu
Kutafuta haki ni maumbile ya ubinadamu ambayo hakuna duniani anayeweza kuyaondoa. Binadamu ni kiumbe kinachoweza kutenda au kutotenda haki na haki. Binadamu asitemtendea haki mwenzake hiyo ni dhuluma na kama hakuna sheria ya kuondoa dhuluma hiyo basi aliyedhlumiwa ana mamlaka ya kufanya lolote kupata haki yake.[emoji1536][emoji1536][emoji1536][emoji1536][emoji818][emoji818][emoji818][emoji818][emoji617][emoji617][emoji617][emoji777][emoji777][emoji777][emoji777][emoji1534][emoji1534][emoji1534]Tumetangaziwa kwamba Tundu Lissu ameitwa kujieleza kwa nini anasema wataingia barabarani. Suala hili linachiambuliwa kisheria namna hii...
Kutafuta haki ni maumbile ya ubinadamu ambayo hakuna duniani anayeweza kuyaondoa. Binadamu ni kiumbe kinachoweza kutenda au kutotenda haki na haki. Binadamu asitemtendea haki mwenzake hiyo ni dhuluma na kama hakuna sheria ya kuondoa dhuluma hiyo basi aliyedhlumiwa ana mamlaka ya kufanya lolote kupata haki yake.Umeandika vizuri mno Mkuu manana hawa Mataga wanadhani bado tunasiliza radio mkulima huku kijijini. Kama tume na mamlaka zingine hazina uwezo wa kumzuia mtu atakaye tangazwa Kuwa rais wetu hata kama ameiba kura au ni mgonjwa wa Akili sisi wananchi tuta fanya jambo letu hatutanii. Uonevu sasa baathiiiii
Sent from my TECNO-W3LTE using JamiiForums mobile app
Kutafuta haki ni maumbile ya ubinadamu ambayo hakuna duniani anayeweza kuyaondoa. Binadamu ni kiumbe kinachoweza kutenda au kutotenda haki na haki. Binadamu asitemtendea haki mwenzake hiyo ni dhuluma na kama hakuna sheria ya kuondoa dhuluma hiyo basi aliyedhlumiwa ana mamlaka ya kufanya lolote kupata haki yake.Lissu ameshaweka wazi tunataka uchaguzi huru na wahaki, hatutakubali kuibiwa kura zetu! Na amesema wakijaribu kuvuruga uchaguzi huu ataingiza watu barabarani! Tundu Lissu anawalaza watu na viatu
Neno langu la siku ya Jumatatu,huu ujumbe umekaa poa sana MkuuKutafuta haki ni maumbile ya ubinadamu ambayo hakuna duniani anayeweza kuyaondoa. Binadamu ni kiumbe kinachoweza kutenda au kutotenda haki na haki. Binadamu asitemtendea haki mwenzake hiyo ni dhuluma na kama hakuna sheria ya kuondoa dhuluma hiyo basi aliyedhlumiwa ana mamlaka ya kufanya lolote kupata haki yake.
Hili balaa.naona mwaka tutapata vitu 3
1.Tume huru inakuja
2.katiba mpya hiyoo
3.mahakama ya kimataifa itachukua watu
Hongera sana tumekusoma. Na wao wamekuelewa. Sukumiani huko jukwaani akajibu hoja sio mbinu chafu ya wizi.Tumetangaziwa kwamba Tundu Lissu ameitwa kujieleza kwa nini anasema wataingia barabarani. Suala hili linachiambuliwa kisheria namna hii..
Thus reasoning capacity yake iko chini Sana Kama ya boss wake.heaabu inataka claiming na sio reasoning.Mahera ni mtaalam Wa hesabu,sio mtaalam Wa sheria,hawezi kumhoji mwamba.