Uchaguzi 2020 Tume imemwita Tundu Lissu, lakini haina mamlaka wala uwezo wa kumuadhibu

Uchaguzi 2020 Tume imemwita Tundu Lissu, lakini haina mamlaka wala uwezo wa kumuadhibu

Hio imekula kwenu waulizeni Kama bado wapo nanyi mlibugi kuwaongozea mishahara miaka 5 mtageukwa na roho zenu Hadi msiamini.Kuwapa kuwapa vihela vidogovidogo wakubwa zao sio kuwamiliki wao.
Nyie hamna lolote mnaloweza kulifanya zaidi ya kujificha nyuma ya keyboard..mngeonesha mfano kwenye yale maandamano aliyoyaanda mange kimambi mbona mlificha mkia na kupotea kusikojulikana.
 
Mwisho wa utawaala wa kibaguzi wa CCM unaelekea ukingoni, naiona katiba Mpya wa Warioba inakuja, naiona Nuru mpya yenye matumaini kwa Tanzania ikianza kung'aa.
 
Siku io ikifika sishangai ukaanzisha uzi wa matukio kwa picha kinacho endelea kwenye Maandamano ukiwa nyuma ya kibod ukiongoza uzi [emoji849][emoji2962][emoji1787][emoji1787][emoji1787] chadem mnamikwala Sana nimeamin hata nyie ni mediocre
 
Lissu ameshaweka wazi tunataka uchaguzi huru na wahaki, hatutakubali kuibiwa kura zetu! Na amesema wakijaribu kuvuruga uchaguzi huu ataingiza watu barabarani! Tundu Lissu anawalaza watu na viatu
Kwani wao wamepanga kuiba hats waanze kuwa na mashaka mapema?
 
nyie hamna lolote mnaloweza kulifanya zaidi ya kujificha nyuma ya keyboard..mngeonesha mfano kwenye yale maandamano aliyoyaanda mange kimambi mbona mlificha mkia na kupotea kusikojulikana.
Tulia dawa ikuingie
 
Bahati mbaya EAC iko weak, viongozi wa nchi hizi wanafananafanana. Itabidi tuwaombe ECOWAS waje wafanye kama walivyofanya kule Gambia.
 
Mimi siyo CHADEMA. Mimi nime research tu.

Siku io ikifika sishangai ukaanzisha uzi wa matukio kwa picha kinacho endelea kwenye Maandamano ukiwa nyuma ya kibod ukiongoza uzi [emoji849][emoji2962][emoji1787][emoji1787][emoji1787] chadem mnamikwala Sana nimeamin hata nyie ni mediocre
 
Una akili kubwa sana. Vinginevyo sheria ya uchaguzi au katiba ingeruhusu mgombea kukata rufaa kama ataona hajaridhika na matokeo baada ya uchaguzi.
 
Back
Top Bottom